Sal Davis na Mimi 2006 -2016 (4)

Sal Davis na Mimi 2006 -2016 (4)

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
22,483
Reaction score
33,024
SAL DAVIS NA MIMI 2006 - 2026

Katika urafiki wangu na Sal Davis nimeweza kumsikiliza akizungumza maisha yake kuanzia kitongoji cha Makadara, Mombasa (Sasa Prof. Ali Mazrui) alikokulia hadi anapelekwa Manchester akiwa kijana mdogo kusoma shule ya msingi hadi anakuwa mwanamuziki wa sifa wa kimataifa, nimeweza kuandika kitabu cha maisha yake kilichochapwa na Amazon.

Jumatano iliyopita baada ya muda mrefu nimekutana na Sal Davis ambae jana yake alikuwa amesheherekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake na tukapiga hiyo picha hapo chini mimi nikiwa nimefikisha miaka 74 mwezi Februari.

1775407232117.png
1775407374361.png

1775407794484.png
 

Attachments

  • 1775407306583.png
    1775407306583.png
    1.6 MB · Views: 1
Tanganyika isiyo na Udini inapendeza sana.
Yoda,
Mwalimu Nyerere akiungwa mkono na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir.

Mwalimu Nyerere akienda kwenye madras ya Sheikh Hassan bin Ameir ameongozana
na Abdulwahid Sykes na Waziri Dossa Aziz.

Sheikh Hassan bin Ameir akiuza kadi za TANU misikitini.

Hali ilikuwa hivi.
Labda nikuulize huu udini kauleta nani na nini sababu yake?
 
Yoda,
Mwalimu Nyerere akiungwa mkono na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir.

Mwalimu Nyerere akienda kwnye madras ya Sheikh Hassan bin Ameir ameongozana
na Abdulwahid Sykes na Waziri Dossa Aziz.

Sheikh Hassan bin Ameir akiuza kadi za TANU misikitini.

Hali ilikuwa hivi.
Labda nikuulize huu udini kauleta nani na nini sababu yake?
Unazzungumziaje BAKWATA je ni mkonbozi na msimamizi sahihi WA waisilanu na uisliam kwanini WENGI hawakubali baraza hilo
 
Tanganyika isiyo na Udini inapendeza sana.
Kumbukizi ya Wazee wa Vuguvugu la Uhuru wa Tanganyika

1775419115622.png

Wazee hawa walikuwa sehemu ya msingi ya vuguvugu la kusaka uhuru. Kutoka kulia waliosimama:
1. Abdallah Shomari (Tandamti no. 3 )
2. Nassoro Kalumbanya (Simba str.)
3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.)
4. Mtoro Ally (Muhonda str.)
5. John Rupia (Misheni kota)
6. Julius Nyerere (Pugu Sekondari)
7. Said Chaurembo (Congo/ Mkunguni str.)
8. Jumbe Tambaza (Upanga)
9. Sheikh Suleiman Takadir (Mafia/Swahili)
10. Dossa Aziz (Mbaruku/Somali kipande)
11. Mshume Kiyate (Tandamti)
12. Juma Sultan (Kitchwele karibu na kanisa dogo)
13. Maalim Shubeti (Masasi/Likoma)
14. Rajab Simba (Kiungani str.)
15. Waziri Mtonga (Kilosa no. 18, Ilala)
16. Mwinjuma Mwinyikambi (Mwananyamala)
17. Maxi Mbwana (Aggrey/Kongo)
18. Usia Omari (Sungwi, Kisarawe)
19. Sheh Issa Nasir (Bagamoyo)
 
Mzee mwamedi weka andiko si unajua mambo ya record ni RAHISI Kwa text hasa HIZI mb na kizazi kijacho
OgaBoy,
Ngoja nitafute andiko nikilipata nitaliweka hapa.
Jina langu ni ''Mohamed.''

Soma historia ya BAKWATA hapo chini:

 
Yoda,
Mwalimu Nyerere akiungwa mkono na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir.

Mwalimu Nyerere akienda kwenye madras ya Sheikh Hassan bin Ameir ameongozana
na Abdulwahid Sykes na Waziri Dossa Aziz.

Sheikh Hassan bin Ameir akiuza kadi za TANU misikitini.

Hali ilikuwa hivi.
Labda nikuulize huu udini kauleta nani na nini sababu yake?
Nyerere mkatoliki aliufifisha sana udini Tanganyika kwa kuwa mwanachama mzuri wa madrasa na msikitini pamoja na kuvaa baraghashia.
 
Kumbukizi ya Wazee wa Vuguvugu la Uhuru wa Tanganyika

View attachment 3568126
Wazee hawa walikuwa sehemu ya msingi ya vuguvugu la kusaka uhuru. Kutoka kulia waliosimama:
1. Abdallah Shomari (Tandamti no. 3 )
2. Nassoro Kalumbanya (Simba str.)
3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.)
4. Mtoro Ally (Muhonda str.)
5. John Rupia (Misheni kota)
6. Julius Nyerere (Pugu Sekondari)
7. Said Chaurembo (Congo/ Mkunguni str.)
8. Jumbe Tambaza (Upanga)
9. Sheikh Suleiman Takadir (Mafia/Swahili)
10. Dossa Aziz (Mbaruku/Somali kipande)
11. Mshume Kiyate (Tandamti)
12. Juma Sultan (Kitchwele karibu na kanisa dogo)
13. Maalim Shubeti (Masasi/Likoma)
14. Rajab Simba (Kiungani str.)
15. Waziri Mtonga (Kilosa no. 18, Ilala)
16. Mwinjuma Mwinyikambi (Mwananyamala)
17. Maxi Mbwana (Aggrey/Kongo)
18. Usia Omari (Sungwi, Kisarawe)
19. Sheh Issa Nasir (Bagamoyo)
Naomba picha ya wazee walioandika katiba ya kwanza ya nchi.
 
SAL DAVIS NA MIMI 2006 - 2026

Katika urafiki wangu na Sal Davis nimeweza kumsikiliza akizungumza maisha yake kuanzia kitongoji cha Makadara, Mombasa (Sasa Prof. Ali Mazrui) alikokulia hadi anapelekwa Manchester akiwa kijana mdogo kusoma shule ya msingi hadi anakuwa mwanamuziki wa sifa wa kimataifa, nimeweza kuandika kitabu cha maisha yake kilichochapwa na Amazon.

Jumatano iliyopita baada ya muda mrefu nimekutana na Sal Davis ambae jana yake alikuwa amesheherekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake na tukapiga hiyo picha hapo chini mimi nikiwa nimefikisha miaka 74 mwezi Februari.
View attachment 3568060
View attachment 3568062
Ni muislamu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom