Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 22,483
- 33,024
SAL DAVIS NA MIMI 2006 - 2026
Katika urafiki wangu na Sal Davis nimeweza kumsikiliza akizungumza maisha yake kuanzia kitongoji cha Makadara, Mombasa (Sasa Prof. Ali Mazrui) alikokulia hadi anapelekwa Manchester akiwa kijana mdogo kusoma shule ya msingi hadi anakuwa mwanamuziki wa sifa wa kimataifa, nimeweza kuandika kitabu cha maisha yake kilichochapwa na Amazon.
Jumatano iliyopita baada ya muda mrefu nimekutana na Sal Davis ambae jana yake alikuwa amesheherekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake na tukapiga hiyo picha hapo chini mimi nikiwa nimefikisha miaka 74 mwezi Februari.
Katika urafiki wangu na Sal Davis nimeweza kumsikiliza akizungumza maisha yake kuanzia kitongoji cha Makadara, Mombasa (Sasa Prof. Ali Mazrui) alikokulia hadi anapelekwa Manchester akiwa kijana mdogo kusoma shule ya msingi hadi anakuwa mwanamuziki wa sifa wa kimataifa, nimeweza kuandika kitabu cha maisha yake kilichochapwa na Amazon.
Jumatano iliyopita baada ya muda mrefu nimekutana na Sal Davis ambae jana yake alikuwa amesheherekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake na tukapiga hiyo picha hapo chini mimi nikiwa nimefikisha miaka 74 mwezi Februari.