Harry Belafonte, Sidney Poitier, Miriam Makeba na Sal Davis: Kenya Independence Celebrations 1963

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,850
30,191
HARRY BELAFONTE, MIRIAM MAKEBA, SIDNEY POITIER AND SAL DAVIS KENYA INDEPENDENCE CELEBRATIONS 1963

Nakuwekeni kipande hiki kama kumbukumbu ya Harry Belafonte kama nilivyoelezwa na Sal Davis.

Nilimwambia Sal Davis siku moja tukae kitako tuandike maisha yake.
Akanikubalia.

Haya yalitokea baada ya kuandika makala yake na kuchapwa katika The East African.

Tanzania: Sal Davis - the Man Who Brought the Roaring 60s to Swinging Dar​


Si kazi nyepesi kumkalisha chini kitako Sal Davis.

Hivyo ikawa kila nikija Dar es Salaam kutoka Tanga katika miaka ya 2000 mwishoni na mwanzoni tukiwa Barzani kwetu namchokoza na atazungumza.

Kwake yeye ni rahisi kuzungumza na hadhira kuliko mtu mmoja.
Huyu ni mtu wa ''show business.''

Nikamfungia safari nyumbani kwake Nyali Beach anapokuwa Mombasa kumaliza kitabu na hii ilikuwa baada ya yeye kunialika nyumbani kwake Zanzibar.

Msikikilize Shariff Salim Abdallah Salim ukipenda mwite, ''Sal Davis.''

1682952209922.jpeg

Sal Davis na Mwandishi
Chef Pride Restaurant (Barzani)
Lumumba Avenue​

''One day Tom Mboya rang me and asked me to go and see him.

Tom Mboya came to England in 1957 to study at Ruskin College, Oxford the same year I came to England.

Tom Mboya was staying at Cumberland Hotel opposite Marble Arch near Hyde Park.

I went to see him and he informed me of the government’s intention to invite me to uhuru celebrations along with Sidney Poitier, Harry Belafonte and Miriam Makeba.

Mboya was the Chairman of Independence Celebrations Committee.
I had an occasion of seeing Miriam Makeba in London when she appeared in a show with other South Africans called ‘King Kong.’

Usually after a show, we in the show business as is the tradition go backstage to meet fellow stars.

It was here that I met Makeba briefly.

At that time Makeba was not a very big celebrity, which he came out to be later.

Mboya told me that I should write a song for Kenya’s independence.
I wrote ”Ayayaa Uhuru” and the song was recorded by Philips of Holland.

When Kenyatta and his delegation came to London to Lancaster House for constitution conference, I went to see him and I presented the song to the Kenyan delegation.

Jomo Kenyatta was with Paul Ngei, Charles Njonjo, Njoroge Mungai and others.
I had the tape with me and I played it to them.

They loved the song.

I arrived in Nairobi and government officials received me at the airport.
What a homecoming.

In 1957 I left for England and no one except my immediate family was aware of my journey.

I was coming back not as a learned brother’ as my poor father had envisaged but I was coming back as a pop star at the invitation of the new Kenyan government.

I was coming back home and the whole country was aware that Sal Davis was coming home to take part in the independence celebrations.

I was a state guest and together with Harry Belafonte, Sidney Poitier and Miriam Makeba we stayed at the Norfolk Hotel.

As state guests, the police escorted us wherever we went with the press not so far away from us.

It was very difficult for me everyone was trying to reach me at the hotel, friends and relatives let alone the press, which wanted to have interviews.

I had not realised that I had grown this big.
I was a big star.''

(The Autobiography of Sal Davis)
Bado kitabu hakijachapwa.

PICHA: Sal Davis, Sidney Poitier, Harry Belafonte na Miriam Makeba.

343293955_6137848829625527_5835301933250054950_n.jpg

343345378_572631714969590_6816993036099555021_n.jpg

343139208_515397670627427_374411558282423804_n.jpg
 
Kumbe Sal Davis ni mkenya, nilidhani mtanzania. Ndio maana hasemwi Sana hapa bongo.
 
Sal Davis ana nyimbo za Tanzania pia..ikiwemo wimbo wa Kikwete..
 
The Boss,
Tumeandika kitabu tayari.

Kipo kwa publisher.
In Shaa Allah utakiona.

Ahmed Rajab je Hana mpango wa kuandika kitabu?

Natamani kupata history ya ufupi ya jarida la African events...lilianzaje?
Ni kweli Nyerere alilipiga marufuku?..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom