Sakata la Wazee EAC: Litaisha lini?

Nimeipenda hii picha, wazee walivyokaa walipatia sana maaana kuna Bango hapo Nyuma nadhani ni la DHL linasema MORE POWER na Kuna Polisi na kalandinga lao, Nadhani hii picha inahabari zaidi ya habari
Baada ya kuona observation yako nimejikuta naungana nawe ...jambo limezua jambo! Bango limekaa pazuri! And more power is being used...
 
Leo tumejionea mengi kwa kweli...Kandoro, Kova na Kimbisa wakiongoza magari. Tusubiri tamko la serikali kuhusiana na hali hii...hasa hasa Rais Kikwete atakapoongea na taifa mwisho wa mwezi kama ilivyo ada.

Nani kakwambia kwamba Kikwete ana uwezo wa kuongea na taifa kila mwisho wa mwezi? Huo ulikuwa utaratibu aliojiwekea Mkapa ambao JK aliuiga na ukamshinda!

Sitaki kuamini moja kwa moja kwamba JK ni mvivu, wa kufanya kazi na hata kufikiri! Ila mambo jinsi yanavyokwenda nchi hii kwa sasa, inajidhihirisha hivyo!
 
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......

Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.

Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!

asubuhi njema....

Mwacheni Nyerere wangu apumzike.

Fedha za wastaafu hawa zilikuja baadaye zikaliwa na serikali katika matumizi mengine kwa visingizio mbalimbali. Serikali irudishe sasa!

Ujinga wa serikali umefanya hawa wazee waje na madai mapya ya kudai riba ya fedha zao zilizokaa serikalini na kulipwa kwa viwango vya thamani ya sasa ya sarafu.

Madai mapya na ongezeko la wadai ndio mambo yanayofanya serikali iwapige danadana hawa wazee wetu.

Hivi kuna wazanzibar wenzetu katika hawa wazee?

Asha
 
Hali inasikitisha...

sijajua nia na madhumuni ya Serikali kufanyas hivi ni nini. Danadana zimekuwa nyingi sana katika Suala la EAC.

Utawala wa Awamu ya nne unatawaliwa na Migomo, maandamano na Usanii mwingi. Najaribu fikiria ni nani atakuwa Mgombea upande wa CCM mwaka 2010.

JOHN POMBE MAGUFULI for CCM Presidential candidate in 2010!!! Huyu atatufaa sana! Tatizo lake hana mtandao wa mafisadi wa kum-back up!!!
 
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......

Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.

Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!

asubuhi njema....

Asante sana nimekupata ttz ndoo tuaamka sasa + kukurupuka + kupumbazwa kwa miaka yote matokeo ndo haya tunamlalamikia kila mtu tuu bila kuwa na data au kuzichimba... lkn naamini zaidi ya yote uwezo wa kutatua hili ttz JK analo tena sana kuliko kujidhalilisha hivi..... na ndo limemuangukia yeye sasa aachane na hizo safari mara mexico mara peru akatihuku kunaungua
 
JOHN POMBE MAGUFULI for CCM Presidential candidate in 2010!!! Huyu atatufaa sana! Tatizo lake hana mtandao wa mafisadi wa kum-back up!!!
kama ni kutokuwa na mtandao then hilo sii ttz kama anafaa achukue form mean while wabunge wa upinzani na wale wa ccm wanaoitakia mema TZ wakazane mpaka mgombea binafsi ipite.....
 
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......

Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.

Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!

asubuhi njema....

Mimi kila siku nasema humu humu ndani, KIKWETE kakumbana na matokeo, tunamlaumu bure mtandao wa majambazifisadi kuuondoa lazima uwe makini na subira sana. basi tu tumeamua kuwa OPP.
 
Nasikia baada ya kuondolewa pale darajani, sasa wamevamia central Police. kazi yaendelea

Kwenye saa tano polisi wamepiga mabomu ya machozi eneo lote la kuzunguka mnara wa saa kuwatawanya wazee hao (ingawa sikuona sababu ya kutumia nguvu kubwa kiasi hicho). Barabara za Uhuru (eneo kunakouzwa kanga na vitenge) Nkrumah, Samora ilikuwa balaa. Machozi matupu.
 
Wana JF...

Wazee wetu wamekuwa wakitamka kwamba, Wazee wenzao wa Kenya na Uganda walokuwa wakifanya kazi kwenye "EAC" walikwishalipwa mafao yao. Ningependa kujua kama kuna mjumbe yoyote anayeweza kupata usahihi wa taarifa hii...

Ni kweli kuwa serikali za Kenya na Uganda ziliwalipa wastaafu wao tangu kipindi hicho jumuiya ilipovunjika na hivi sasa wameshasahau. Lakini hapa Bongo, serikali haikufanya hivyo.
na hili ni suala moja tu, zipo pia fedha za wazee waliopigana vita kuu ya pili, zilishatolewa na wainfgereza kitambo lakini hadi leo wazee hao wanaendelea kusumbuka na fedha sijui zimeenda wapi!!!
 
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......

Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.

Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!

asubuhi njema....


Hukuona walioshauri wakitaja fungu la fweza ya EPA?


Jingine, RAISI akirithi tatizo ana haki ya kuliweka kapuni? Usianze ku-twist mambo hapa! KATIBA inasemaje kuhusu majukumu na wajibu wa RAISI?




.
 
kama ni kutokuwa na mtandao then hilo sii ttz kama anafaa achukue form mean while wabunge wa upinzani na wale wa ccm wanaoitakia mema TZ wakazane mpaka mgombea binafsi ipite.....

Mgombea binafsi si alisharuhusiwa na Mahakama Kuu baada ya Mtikila kushinda kesi hiyo?
 
it means presdent kikwete is not aware of what is going on au ameamua tu kuwa kimya huku wazee wetu wakiendelea kuteseka kwa kudai mafao yao?ifike mahali watanzania tuamue kwa pamoja kuwa 2010 kikwete na serikali ya kifisadi isirudi madarakani maana sasa tumechoka na mogomo maandamano kila kukicha. KIWETE should be one term president.
Kabisa naungana nawe, wananchi tukubali kuwa hii serikali haitufai. Hatuna budi kuiweka kando.
WE DELIGATED POWER TO HIM BUT WE DID NOT SURRENDER OUR POWER. SO WE CAN SAY NO, WE ARE TIRED OF YOU!!
 



Hukuona walioshauri wakitaja fungu la fweza ya EPA?


Jingine, RAISI akirithi tatizo ana haki ya kuliweka kapuni? Usianze ku-twist mambo hapa! KATIBA inasemaje kuhusu majukumu na wajibu wa RAISI?




.
Mie nafikiri uraisi ni taasisi na ukikaa pale uyapokee yote unayoyakuta yakiwemo mazuri na mabaya.

Visingizio vya eti 'ameyarithi' havitatupeleka popote; kama ambavyo anafungua miradi mipya iliyoanzishwa na watangulizi wake, tena kwa mbwembwe, vile vile ayabebe matatizo yalioachwa na awamu zilizopita yakiwemo ya wizi wa EPA na madeni ya wastaafu.
 
nimejaribu kupata baadhi ya picha japo kwa kamera yangu sio nzuri ila itawapa picha wanajamii. jamani huku sio iraki ni posili walivyo kuwa wanawazitibu
i88_Image076.jpg

i89_east.jpg

i90_Video0130001.jpg



Picha zako uliziweka saa ngapi mbona sikuziona? Au uli-edit post yako?
Shukrani kwa kazi hii.




.
 



Hukuona walioshauri wakitaja fungu la fweza ya EPA?


Jingine, RAISI akirithi tatizo ana haki ya kuliweka kapuni? Usianze ku-twist mambo hapa! KATIBA inasemaje kuhusu majukumu na wajibu wa RAISI?




.

Nadhani kama ni kurithi inabidi tuanze na Mzee Mwinyi afuate Mkapa ndo JK ashambuliwe!!
Kwa sasa nadhani kinachotakiwa ni busara zaidi kuliko kutumia matukio kama haya kujitafutia sifa na kufanya ile inaitwa blame game!!

Lets face it serikali ya CCM ndo inatakiwa iwajibike from the roots....how could they ignore such an important thing for our wazee!!!?
 
Picha wazee walikuwa barabarani leo asubuhi !
2779d1225273240-wazee-wa-eac-wafunga-barabara-cos.024.jpg

attachment.php


i92_Cos.021.jpg

i93_Cos.022.jpg
 

Attachments

  • Cos.023.jpg
    Cos.023.jpg
    15.2 KB · Views: 142
Naweza kupata mwanga kidogo wazee????

Naibu waziri alinukuliwa akisema wastaafu 'walishalipwa karibu wote' na hawa wanaodai sasa walikuwa ni 'vibarua' ambao wakati wa EAC hawakuwa na mkataba wa ajira! Akadai kuwa wadhibitishe ajira zao toka kwa mwajiri! Je Kenya na Uganda 'vibarua' nao walipata malipo?
 

Nadhani kama ni kurithi inabidi tuanze na Mzee Mwinyi afuate Mkapa ndo JK ashambuliwe!!
Kwa sasa nadhani kinachotakiwa ni busara zaidi kuliko kutumia matukio kama haya kujitafutia sifa na kufanya ile inaitwa blame game!!

Lets face it serikali ya CCM ndo inatakiwa iwajibike from the roots....how could they ignore such an important thing for our wazee!!!?



Mimi sina mtazamo huo. Angekuwa ni mtu asiye na mikono michafu suluhu ya tatizo hili ingepatikana, na uwezo huo Raisi anao.


Yaani unataka kuniambia kwamba JK anapata kiburi kwa sababu eti tatizo amerithi? Ajitokeze hadharani basi ayaseme hayo kama hakupigwa risasi. Utakuwa ni ushenzi usio na kifani.


Hiki sio kisingizio anachoweza kukitumia.
Ngoja nikuulize, wewe ulimwelewaje Nyerere aliposema IKULU sio pa kukimbilia?





.
 
Back
Top Bottom