Ningekuwa mimi ndo MH. MATHIAS CHIKAWE ningefanya jambo moja tu kukata mzizi wa fitina. NINGEFUTA WOTE WALIOSHINDA AWALI KWA MAANA 1-70 THEN NKAITA WATU KUANZIA 71-140 KUJA KAZINI, Napita.
Ajiuzuru Kazi imemshinda tayari..awaachie wengine
Hamna wa kujiudhulu mwenyeww hapa bongo,mbona mizigo na kupiwa kote kelele bado wanangangania.Akijiuzulu kwa hiari yake naomba nipigwe ban
Hamna wa kujiudhulu mwenyeww hapa bongo,mbona mizigo na kupiwa kote kelele bado wanangangania.