Ni aibu sana leo mtu unajua kama mfumo wa nchi ulivyo alafu unakuja unamtetea Lowassa hapa kisa kahamia upande wako, wakati walioathirika na ule ufisadi wa richmond ni mama, baba, bibi na ndugu zako wengine kule kijijini.Kama mnawajuwa watuhumiwa ni kwa nini hamuwakamati? Hivi na ile mahakama ya mafisadi vepeeee!?
Huyo mungumtu wenu hasafishikiView attachment 499376
Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.
Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.
Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.
Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.
Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Mahakama ya mafisadi si ipo? Sasa porojo za nini?Ni aibu sana leo mtu unajua kama mfumo wa nchi ulivyo alafu unakuja unamtetea Lowassa hapa kisa kahamia upande wako, wakati walioathirika na ule ufisadi wa richmond ni mama, baba, bibi na ndugu zako wengine kule kijijini.
Hili ndilo wazo langu sana. Hii richmond ndio symbion kwa sasa. Mzinduzi wa symbion allikuwa Obama alipokuja tz. Na kweli Bush na viongozi wengine waandamizi wa USA wamewahi tembelea mitambo ya symbion na kuisifu kazi yake. Ndio hapo naona si Lowasa wala Kikwete bali shinikizo la mashetani wa dunia USA. Halafu nasikia Pombe amedhamilia kuuvunjilia mbali huo mkataba. Tahadhali, namuomba awe anatembelea jukwaa la JF intelegence hasa makala The Bold. Ni vema akamjua adui huyu wa dunia kabla hajafanya maamuzi.Mitambo ya Richmond ni mradi wa mashirika ya kijasusi ya marekani ikiwamo CIA,mitambo hiyo baada "ilibadilishiwa jina" na kuitwa Symbion Power.
Marekani ana tabia ya kutojihusisha na miradi yenye harufu ya ufisadi,lakini mitambo ya Richmond(baadae symbion) ilitembelewa na Rais George Bush,Rais Obama,Condoleza Rice(nadhani) na pia mama Hillarly Rodham Clinton. Hii nadhani ilikuwa ni kuwapa ishara wapiga domo kwamba "kaeni mbali na hii kitu"
Obama alizindua mradi wa AfricaPower house wenye lengo la kusambaza umeme Afrika akiwa anaitazama mitambo ya Richmond(sasa symbion power)
Pia baada ya Lowasa kuondoka madarakani,bado serikali iliendelea na bado inaendelea kununua umeme wa symbion power na hakuna transaction wala kampuni inayoonyesha ilipokea au inapokea pesa kwa niaba ya Lowasa kutokana na umeme unaouzwa na symbion power.
Acheni kuweweseka fisadi anasema mpelekeni mahakamani na siyo akanyimwe dhamana,akafungwe kabisa na ikiwezekana mkampe adhabu ya kunyongwa.Mtavumilia lakini kama EL akishtakiwa na kukaa ndani bila dhamana kwa kipindi chote cha kesi yake. Make fisidi hana dhamana! Msije kulia lia hapa.
Watu wajinga sana. Kwani issue hapa ni Lowassa kausika au kausika nani na nani?nyika nimemtoa thamani sana na chadema kwa ujumla. Tupeni jibu kwanza lowassa kausika hajausika alafu mambo mengine baadae.View attachment 499376
Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.
Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.
Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.
Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.
Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Wapi Lowassa ameitisha mkutano wa waandishi wa habari kuzungumzia ufisadi,au unaliamini hilo gazeti la Mbowe la kufungia utumboView attachment 499376
Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.
Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.
Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.
Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.
Maoni:.
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Hakuna kutetea richmond bali mzizi wa fitina ukatwe.Hatimaye chadema yatetea richmond....unafki wa kiwango cha pHD
Ajabu unawasifia wauaji waliotaka kumuua Mwakyembe kisa uraisi na uraisi wenyewe hawakuupata,kamwe wauuaji hawataongoza nchi hiiPolonium ndio inamsumbuwa Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.
Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
Mahakama ya mafisadi mliofunguwa ya kazi gani?Ajabu unawasifia wauaji waliotaka kumuua Mwakyembe kisa uraisi na uraisi wenyewe hawakuupata,kamwe wauuaji hawataongoza nchi hii
Hivi mahakama si ziko wazi? Kwanini wasiende huko huyu mtu akashitakiwa kwa kuliibia taifa. TATIZO NINI?Lowasa hasafishiki hata kwa dodoki la chuma!