Sakata la Richmond: Lowassa amjibu Mwakyembe, asema asitafte mtaji wa kisiasa

Kama mnawajuwa watuhumiwa ni kwa nini hamuwakamati? Hivi na ile mahakama ya mafisadi vepeeee!?
Ni aibu sana leo mtu unajua kama mfumo wa nchi ulivyo alafu unakuja unamtetea Lowassa hapa kisa kahamia upande wako, wakati walioathirika na ule ufisadi wa richmond ni mama, baba, bibi na ndugu zako wengine kule kijijini.
 
View attachment 499376

Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.

Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.

Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.

Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.

Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Huyo mungumtu wenu hasafishiki
 
Serekali ya CCM ndiyo yenye serekali pekee duniani kuwahi kutokea,wananchi wameibiwa,wao kama serekali wamemubaini mwizi aliyewaibia wananchi ni nani,badala ya kumpeleka mwizi mahakamani wao ndiowamekuwa wa kwanza kumkimbia mwizi,kadri mwizi anavyokazana kuwafukuzia wampeleke mahakamani kwa kuwa wamembaini kuwa ndiye mwizi aliyewaibia ndiyo kwanza wanaongeza speed kuelekea kichakani kusaka maficho ya kujificha,kama simba aliyegeukwa na swala aliyekuwa anamkimbiza ili amtafune badala yake kibano kimemugeukia mwenyewe aliyekuwa anataka kumtafuna.
 
Ni aibu sana leo mtu unajua kama mfumo wa nchi ulivyo alafu unakuja unamtetea Lowassa hapa kisa kahamia upande wako, wakati walioathirika na ule ufisadi wa richmond ni mama, baba, bibi na ndugu zako wengine kule kijijini.
Mahakama ya mafisadi si ipo? Sasa porojo za nini?
 
Mitambo ya Richmond ni mradi wa mashirika ya kijasusi ya marekani ikiwamo CIA,mitambo hiyo baada "ilibadilishiwa jina" na kuitwa Symbion Power.

Marekani ana tabia ya kutojihusisha na miradi yenye harufu ya ufisadi,lakini mitambo ya Richmond(baadae symbion) ilitembelewa na Rais George Bush,Rais Obama,Condoleza Rice(nadhani) na pia mama Hillarly Rodham Clinton. Hii nadhani ilikuwa ni kuwapa ishara wapiga domo kwamba "kaeni mbali na hii kitu"

Obama alizindua mradi wa AfricaPower house wenye lengo la kusambaza umeme Afrika akiwa anaitazama mitambo ya Richmond(sasa symbion power)

Pia baada ya Lowasa kuondoka madarakani,bado serikali iliendelea na bado inaendelea kununua umeme wa symbion power na hakuna transaction wala kampuni inayoonyesha ilipokea au inapokea pesa kwa niaba ya Lowasa kutokana na umeme unaouzwa na symbion power.
Hili ndilo wazo langu sana. Hii richmond ndio symbion kwa sasa. Mzinduzi wa symbion allikuwa Obama alipokuja tz. Na kweli Bush na viongozi wengine waandamizi wa USA wamewahi tembelea mitambo ya symbion na kuisifu kazi yake. Ndio hapo naona si Lowasa wala Kikwete bali shinikizo la mashetani wa dunia USA. Halafu nasikia Pombe amedhamilia kuuvunjilia mbali huo mkataba. Tahadhali, namuomba awe anatembelea jukwaa la JF intelegence hasa makala The Bold. Ni vema akamjua adui huyu wa dunia kabla hajafanya maamuzi.
 
Mtavumilia lakini kama EL akishtakiwa na kukaa ndani bila dhamana kwa kipindi chote cha kesi yake. Make fisidi hana dhamana! Msije kulia lia hapa.
Acheni kuweweseka fisadi anasema mpelekeni mahakamani na siyo akanyimwe dhamana,akafungwe kabisa na ikiwezekana mkampe adhabu ya kunyongwa.
 
View attachment 499376

Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.

Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.

Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.

Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.

Maoni:
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Watu wajinga sana. Kwani issue hapa ni Lowassa kausika au kausika nani na nani?nyika nimemtoa thamani sana na chadema kwa ujumla. Tupeni jibu kwanza lowassa kausika hajausika alafu mambo mengine baadae.
 
View attachment 499376

Ikiwa siku chache baada ya dr Mwakyembe kudai Lowasa ni muhusika mkuu wa Richmond na hachomoki waziri mkuu huyo wa zamani amjibu.

Lowasa amedai kama ana udhibitisho inatakiwa aende mahakamani sio bungeni na kwenye majukwaa ya siasa ili ubishi uishe.

Ila Lowasa akamkumbusha ukweli unajulikana hadi kwa watanzania waliompigia kura wanajua muhusika mkuu wa Richmond ni nani.

Na Mnyika adai Kikwete nae ajiandae kuja kuijibia Richmond na aiomba serikali na bunge wapeleke mswada wa kumwondolea rais kinga.

Maoni:.
Waziri mkuu najua hasaini mikataba ila ni msimamizi wa serikali bungeni na wala sio mwenyekiti wa baraza la mawaziri ila Rais ndo mwenyekiti. Hii issue la msingi ni kuipeleka mahakama ya mafisadi ilianzishwa kwa nini?
Wapi Lowassa ameitisha mkutano wa waandishi wa habari kuzungumzia ufisadi,au unaliamini hilo gazeti la Mbowe la kufungia utumbo
 
Polonium ndio inamsumbuwa Mwakyembe ubongo umeshaoza umejaa fungus.

Mwakyembe na marehemu Samuel Sitta ni watu wa ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani.
Ajabu unawasifia wauaji waliotaka kumuua Mwakyembe kisa uraisi na uraisi wenyewe hawakuupata,kamwe wauuaji hawataongoza nchi hii
 
Ajabu unawasifia wauaji waliotaka kumuua Mwakyembe kisa uraisi na uraisi wenyewe hawakuupata,kamwe wauuaji hawataongoza nchi hii
Mahakama ya mafisadi mliofunguwa ya kazi gani?

Bastola ya nini tena? Weka vyeti acha porojo.
 
Chadema kweli misukule,walianza kutekwa,mara Bashite na sasa Richmond utadhani wao hawakuhusika wakati Richmond ikinguruma Bungeni ,pale kuna Hansard na wangekuwa werevu wangerejea kujikumbusha waliyoyasema wakati wa mjadala kuhusu Richmond,kweli nimeamini mchawi mpe mwanao akulelee ,Chadema washajisiriba mavi wananuka na hawatoki kwa kubadili gia angani,kila watakapoenda uvundo unawafuata nyuma.
 
Serikali kupitia kwa AG inayo mamlaka ya kuanzisha uchunguzi rasmi kuhusu sakata la Richmond na kuchukua hatua mwafaka. Siasa ikae pembeni sasa. Inafaa Serikali ifanye hivyo sasa ili kama kuna hoja, lipelekwe kwenye mahakama ya mafisadi iliyokosa wateja!
Ukweli ujulikane isiwe miaka nenda rudi, kupiga stori kuhusu Richmond!
 
Serikali kupitia kwa AG inayo mamlaka ya kuanzisha uchunguzi rasmi kuhusu sakata la Richmond na kuchukua hatua mwafaka. Siasa ikae pembeni sasa. Inafaa Serikali ifanye hivyo sasa ili kama kuna hoja, lipelekwe kwenye mahakama ya mafisadi iliyokosa wateja!
Ukweli ujulikane isiwe miaka nenda rudi, kupiga stori kuhusu Richmond!
 
Back
Top Bottom