Sakata la Richmond: Dr. Mwakyembe amkaanga Lowassa, Kumburuza Mahakamani...

Mwakyembe,TIME bared,pole ulibembelezwa ueleze ukweli kwenye hili mkaogopa serikali itadondoka.Lipeleke Mahakamani atleast tutajua nyuma ya kadhia yupo nani,usijemweka RAIS wako mahali pamoto.
 
Kwa Muda Mrefu Sasa Ndg.Harrison Mwakyembe Amekuwa Akitoa Kauli Za Kujaribu Kuonyesha Kuwa Yeye Na Kamati Yake Wana Ushahidi Wa Kutosha Kuwa Kampuni Ya Richmond Inahusika Na Lowassa Moja Kwa Moja Na Kwamba Atakwenda Mahakamani Kufungua Mashtaka.

Sisi Watanzania Tungependa Sana Jambo Hili Alifanye Hata Leo Ili Tujue Ukweli Wa Nani Aliyehusika Kuileta Kampuni Hiyo Na Pia Nani Aliyeongoza Vikao Vilivyotoa Baraka Za Kuipatia Zabuni Ya Kufua Umeme Kampuni Hiyo. Tunangoja Kwa Hamu Sana Ndg.Mwakyembe.
 
Binafsi najua anachoongea analazimishwa lakin naomba niwemuwazi anachoongea mwakyembe sidhan kama amesoma sheria

Unapoongoza kamatiya binge ukamshauri MTU ajiuzulu..na ukasema akuhusika mojakwamoja kwa kuwa n wazirimkuu ajiangalie

Alafu ukaja kudanganya umma kwenye kampeni kwamba wazirimkuu alihusika..ana miaka name Yukobungen Yuki madarakani unajua n mwizi ama fisadi kwanini msifungue kesi

Mnaaibisha taaluma ya uanasheria unapomhukumu MTU unachukua hatua na sio porojo..mwakyembe anaongea kama wauza vyakula krko wasiojua sheria...sheria aimwambii mwizi ajipeleke mahakamani we umesoma bana usidanganye watu ukahisi unaongeaa na mapopompo was kyela poti

Chemsha Bongo ongea Facts..watz awataki porojo za abunuasi mlikuwa wapi msimhukumu..mbaya nikaona unazalilisha hii taaluma ati lowassa anaweza kushtakiwa

Anaweza badala ya kumshitaki mnajitoa ufahamu njooni watu wamalize kazi
 
Nafasi ya Urais sio nafasi ya kupata "kama zari".

Hata uwe kiongozi mzuri kiasi gani huwezi kushtukizwa na kupewa mikoba ya nchi kirahisi rahisi tu.

Lazima uwe umejipanga, umejiandaa na uko tayari.

Hotuba za Magufuli zinadhihirisha kuwa aliingia kwenye kinyang'anyiro kwa kujaribu. Membe alitangaza nia Lindi, Makamba alitangaza nia Mlimani City, Muhongo- Musoma, Mh.Lowassa;Arusha n.k.

Magufuli alitangaza nia wapi? Alitaja vipaumbele gani? Nini kauli mbiu yake? HAKUNA. Huwezi kumpa mtu 'miaka 5 ya kujiandaa' kuongoza nchi. Tunataka mtu aliyejiandaa an akiingia ikulu aanze kuongoza nchi mara moja. Kuna tofauti kubwa kati ya Magufuli na Lowassa.

Wote ni wepesi katika kufanya maamuzi. Lakini mmoja hufanya maamuzi yenye tija wakati mwingine hufanya maamuzi yenye madhara.

Tuangalie mifano: Mh.Magufuli 'alipiga' bei nyumba za serikali na leo hii serikali inatumia mamilioni kuwapangishia hotelini watumishi wake.HASARA!
✔Mh.Lowassa amesimamia ujenzi wa UDOM na kuongeza idadi ya wataalam mbalimbali nchini.FAIDA.

Ndg.Makufuli amenunua vivuko, pantoni na mashine za tiketi kwa mabilioni lakini hazifanyi kazi/ hazina ufanisi.HASARA.
✔Mh.Lowassa alisimamia ujenzi wa bomba la maji kutoka ziwa Victoria mpaka Shinyanga huku akipuuzia vitisho vya Wasudani na Wamisri vya kuhodhi matumizi ya maji ya Victoria kwa mkataba wa kikoloni.FAIDA.

Mh.Magufuli alibomoa fuel station "shell" huko Mwanza, serikali ikashindwa kesi, tukalipa mabilioni.HASARA.
✔Mh.Lowassa alivunja mkataba wa City Water, hatukushtakiwa.FAIDA.

Mh.Magufuli alikamata wavuvi "halali" tumeshitakiwa, tumedondokea pua, tutawalipa meli yao na gharama nyingine kadhaa, hapo hujajumlisha gharama za utunzaji wa wale samaki.HASARA.
✔Mh.Lowassa, wakati ndege za Malawi zishaanza kuzurura maeneo ya Kyera na Nyasa huku tukiwachekea, alitoa tamko Bungeni...."tuko imara, tumejipanga...". Wakafunga Virago.FAIDA.

Ndg.Magufuli amewanyang'anya kandarasi wajenzi kadhaa kwa matamko tu bila kuzingatia taratibu za mikataba. Wametushtaki, wameshinda, tumewalipa.HASARA.
✔Mh.Lowassa alitaka kuvunja mkataba wa Richmond, kama sio AG Johnson Mwanyika kuomba..."mapumzik ya saa moja nje ya mkutano" ili awasiliane na mamlaka ya juu na baadae kurejea na agizo kuwa..."imeagizwa; mkataba usivunjwe.." pengine leo tusingekuwa tunazungumzia Richmond, baba yake na Dowans, babu wa Symbion Powers. TUNGENUFAIKA. UCCM wangu hauwezi kunipofua nisiuone ukweli huo hapo juu. Ujirani wangu na Mh.Magufuli hapa Chato hauwezi kunishinikiza nimuazime miaka 5 ya kujiandaa badala ya kutawala. NITAMPIGIA LOWASSA. Sambaza Kw watu 20 Kw SMS, Whatsapp.Twitter, Facebook, Instragram nk.

Hivi mwaka 1995 Mkapa alitangazia wapi vile? na vipaumbele vyake vilikuwa nini.

Mahaba katika ubora wake
 
Ulisema vizuri
Nafasi ya Urais sio nafasi ya kupata "kama zari".

Hata uwe kiongozi mzuri kiasi gani huwezi kushtukizwa na kupewa mikoba ya nchi kirahisi rahisi tu.

Lazima uwe umejipanga, umejiandaa na uko tayari.

Hotuba za Magufuli zinadhihirisha kuwa aliingia kwenye kinyang'anyiro kwa kujaribu. Membe alitangaza nia Lindi, Makamba alitangaza nia Mlimani City, Muhongo- Musoma, Mh.Lowassa;Arusha n.k.

Magufuli alitangaza nia wapi? Alitaja vipaumbele gani? Nini kauli mbiu yake? HAKUNA. Huwezi kumpa mtu 'miaka 5 ya kujiandaa' kuongoza nchi. Tunataka mtu aliyejiandaa an akiingia ikulu aanze kuongoza nchi mara moja. Kuna tofauti kubwa kati ya Magufuli na Lowassa.

Wote ni wepesi katika kufanya maamuzi. Lakini mmoja hufanya maamuzi yenye tija wakati mwingine hufanya maamuzi yenye madhara.

Tuangalie mifano: Mh.Magufuli 'alipiga' bei nyumba za serikali na leo hii serikali inatumia mamilioni kuwapangishia hotelini watumishi wake.HASARA!
✔Mh.Lowassa amesimamia ujenzi wa UDOM na kuongeza idadi ya wataalam mbalimbali nchini.FAIDA.

Ndg.Makufuli amenunua vivuko, pantoni na mashine za tiketi kwa mabilioni lakini hazifanyi kazi/ hazina ufanisi.HASARA.
✔Mh.Lowassa alisimamia ujenzi wa bomba la maji kutoka ziwa Victoria mpaka Shinyanga huku akipuuzia vitisho vya Wasudani na Wamisri vya kuhodhi matumizi ya maji ya Victoria kwa mkataba wa kikoloni.FAIDA.

Mh.Magufuli alibomoa fuel station "shell" huko Mwanza, serikali ikashindwa kesi, tukalipa mabilioni.HASARA.
✔Mh.Lowassa alivunja mkataba wa City Water, hatukushtakiwa.FAIDA.

Mh.Magufuli alikamata wavuvi "halali" tumeshitakiwa, tumedondokea pua, tutawalipa meli yao na gharama nyingine kadhaa, hapo hujajumlisha gharama za utunzaji wa wale samaki.HASARA.
✔Mh.Lowassa, wakati ndege za Malawi zishaanza kuzurura maeneo ya Kyera na Nyasa huku tukiwachekea, alitoa tamko Bungeni...."tuko imara, tumejipanga...". Wakafunga Virago.FAIDA.

Ndg.Magufuli amewanyang'anya kandarasi wajenzi kadhaa kwa matamko tu bila kuzingatia taratibu za mikataba. Wametushtaki, wameshinda, tumewalipa.HASARA.
✔Mh.Lowassa alitaka kuvunja mkataba wa Richmond, kama sio AG Johnson Mwanyika kuomba..."mapumzik ya saa moja nje ya mkutano" ili awasiliane na mamlaka ya juu na baadae kurejea na agizo kuwa..."imeagizwa; mkataba usivunjwe.." pengine leo tusingekuwa tunazungumzia Richmond, baba yake na Dowans, babu wa Symbion Powers. TUNGENUFAIKA. UCCM wangu hauwezi kunipofua nisiuone ukweli huo hapo juu. Ujirani wangu na Mh.Magufuli hapa Chato hauwezi kunishinikiza nimuazime miaka 5 ya kujiandaa badala ya kutawala. NITAMPIGIA LOWASSA. Sambaza Kw watu 20 Kw SMS, Whatsapp.Twitter, Facebook, Instragram nk.
 
Back
Top Bottom