MACCM ni majizi makubwa sana. Pesa zilizotolewa ni 215 milioni, Wana familia 32 kila familia imepata 3.85 milioni nyingine nyingi haya majizi yametia ndani. Yarudishe pesa za rambi rambi haraka sana haya majizi.
Mkuu kuna nyepesi kuwa sio wote wamepata hizo 3.85, Pesa waliyopewa ni 2.855 milion. Kuna uongo mwingi sana juu ya uongo uliotangazwa na mkuu wa mkoa.
Umenena neno la busara mkuu.wengi tumekuwa watumwa wa matamanio ya nafsiRoho isiyoridhika ni roho ya hovyo sana.
Majungus of courseGodbless E.J. Lema
@godbless_lema
4h
Wafiwa wengine wameanza kupigiwa simu sasa hivi baada ya taarifa yangu ya kuongea na vyombo vya habari kesho kusambaa . Ni laana kubwa hii.
View details ·
Godbless E.J. Lema
@godbless_lema
Instagram kwa mwanaharakati Mange Kimambi nako kuna tuhuma nyingine mpya kuhusiana na sakati hili baada ya wafiwa kupokea rambirambi hizo.
Sikiliza au soma taarifa ya RC then utaelewa kwanini kaandika 32 badala ya 35.....Familia Ni 35 pliz rekebisha hapo
Kumbuka tuliambiwa serikali ndio ingegharamia yale mazishi sasa waulize wametoa kiasi gani hapo wao kama serikali.So issue sio wizi ila hamjapata mchanganuo wa matumizi ya 190 mil?
so kama issue ndio hiyo semeni tu waweke wazi mchanganuo wa shilingi kwa shilingi, lakini tatizo lenu mme-hukumu wakati hamna breakdown inayokinzana na hiyo ya mkoa!
labda mbunge aombe iundwe tume huru kupitia upya mapato na matumizi, ila kama atatumia hofu zake kuwa ndio msingi wa hoja yake ya wizi atakuwa anajishushia heshima bure! unajua zinaweza kuwekwa hesabu jamaa akaonekana ni mbabaishaji tu!
anamuiga baba yake alivokula zile za kageraMkuu wa mkoa lazima ajibu hizi tuhuma pyuuu tema mate watanzania twafa
Swissme
Huyo Mange anatumiwa taarifa na watanzania walioko sehemu nyeti na usidhani anatunga tu.Tukisema wabunge wa Chadema wanafanya siasa za matukio,manyumbu hayasikii,sasa manyumbu yamekuwa yakimwamini mwehu Kimange,kweli Chadema kwishney
labda wametoa mil 100 (40 cash na 60 huduma za mazishi)!Kumbuka tuliambiwa serikali ndio ingegharamia yale mazishi sasa waulize wametoa kiasi gani hapo wao kama serikali.