Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Wana JF lile sakata la Polisi kukatwa posho yao ya TSHS 50,000 Limeishia wapi? Mh, Mnyika wasaidie hawa watakutetea sana hawa Ingawa waliuwa watu wetu kule Arusha.
Wana JF walinda amani wetu wanakatwa posho bila sababu za msingi na zinaingia kwenye akaunti ya Waziri Sasa sijui Itakuwaje? Hawa tukiwatetea watatufaaa uchaguzi 2015 kupalilia shamba.
Washapiga na mikwara huku:
Wana JF walinda amani wetu wanakatwa posho bila sababu za msingi na zinaingia kwenye akaunti ya Waziri Sasa sijui Itakuwaje? Hawa tukiwatetea watatufaaa uchaguzi 2015 kupalilia shamba.
Washapiga na mikwara huku: