Sakata la Mchanga wa Madini: Mwanasheria wa ACACIA yuko London kufungua kesi

Hajaanza kukurupuka leo, kuna mifano mingi tu, mmojawapo ni ile meli ya samaki. Hakuna anaepinga kwamba ana nia njema, tatizo ni njia anazotumia ndio zinazokuja kuleta hasara kwa taifa. Anatakiwa aacha kukurupuka.

Naomba unisome vizuri, sipingi nia yake njema, bali napinga njia anatumia.

Tuendelee kusubiri, muda utaongea.
Kwani Acacia Plc walikuwa na mkataba wa miaka mingapi?
 
Watu wanaochukuliwa hatua saa hizi wanaonewa kama muhongo ingawaje alifanya makosa hapo nyuma lakn kwenye hili anaonewa shida ni mikataba ingekuwa vizuri kama ripoti ilivyowekwa wazi na mikataba iwekwe wazi tujuwe nani walihusika kusaini na kuwe na mjadala wa kitaifa kuhusu hili ili kama tunashidwa tushindwe wote.
 
Mwanasheria wa ACACIA yupo London kufungua kesi baada ya kuona ombi la tume huru kuchunguza makinikia linaweza lisifanikiwe

View attachment 515531
Hizi habari mnazitoa wapi??????
Analysts fear a near-term resolution to the dispute is not in sight and that the company is not dealing with a rational administration. Shares in Acacia had fallen 35% reflecting this concern, said Investec Securities. “We had expected the concentrate ban to be resolved, anticipating perhaps some penalty in the form of increased tax prepayments,” said Investec Securities analysts, Hunter Hillcoat and Marc Elliott in a note published today.
“However, given the implausible assertions being propagated by the Tanzanian government, it now appears that Acacia may not be dealing with a rational administration and that there may not in fact be an equitable resolution to come.
“Unless some resolution is reached, Acacia now faces the prospect of a protracted and costly legal battle in international courts,” they said.
With net cash of $196.2m as of March 31, Acacia’s short-term liquidity is not in doubt, said BMO Capital Markets analyst, Andrew Breichmanas, but it may need to refund $22m in advanced payments and to prepare to defend against demands for further royalty payments, taxes, or penalties.
Breichmanas said that “… it now appears that a near-term resolution to resume concentrate exports may be difficult to achieve, likely forcing management to consider the suspension or curtailment of operations”.
The concentrate is delivered from Acacia’s Bulyanhulu and Buzwagi mines – its third mine, North Mara, produces doré – and is equal to two-thirds of production and some 30% of total revenue. Acacia said it was losing $1m a day in revenue.
Acacia said in a statement issued on May 26 that owing to the revenue losses, it was considering all of its options.
 
Ila naamin hakuna kufunguliwa kesi bila kujadiliana walivyokubaliana. Yale yale tuliyoyazoea
 
Mwanasheria wa ACACIA yuko London kufungua kesi, kwani kawaida huwa anakuwa wapi, Tarime?

Fake news. Hatishwi mtu. Hawawezi kwenda mahakamani kabla ya kujaribu mazungumzo. Bado wangependa kuendelea kuchimba madini hapa, zaidi ya kutaka kishinda kesi moja halafu mahusiano yanakuwa yamevurugika. Makesi ya IPTL wameyaona.
 
Povu LA kiwango cha PhD ya maganda ya korosho
JPM hatafuti sifa. Anafanya na inatoka moyoni. Ndo hili tunalolitafuta kwa kiongozi. Kumbuka tajiri hawezi kuwa na nia Nzuri. Hata siku moja. Na huko mahakamani hata wafanyeje. Ukweli kwamba walikuwa wanachukua zaidi utabaki na sisi kwetu ndo pa kuanzia. Wtz mnapenda sna kudandia hoja. Mbona hamkuanzisha. Sasa propaganda zenu ni kumpinga Rais na maslahi yetu kwa hoja za kichama. Stay tuned. Na kwa kuwa hamkumbuki mnayoongea leo basi nawaonea huruma.
 
JPM hatafuti sifa. Anafanya na inatoka moyoni. Ndo hili tunalolitafuta kwa kiongozi. Kumbuka tajiri hawezi kuwa na nia Nzuri. Hata siku moja. Na huko mahakamani hata wafanyeje. Ukweli kwamba walikuwa wanachukua zaidi utabaki na sisi kwetu ndo pa kuanzia. Wtz mnapenda sna kudandia hoja. Mbona hamkuanzisha. Sasa propaganda zenu ni kumpinga Rais na maslahi yetu kwa hoja za kichama. Stay tuned. Na kwa kuwa hamkumbuki mnayoongea leo basi nawaonea huruma.

kweli kabisa kama vile kubinya uhuru wa kuongea na kuuwa upinzani na kum back up pro pesa kuua cuf ili maalim asidai urais alioporwa sawasawa tumekuelewa mkuu
 
Salale silipu vipi jamaa bado anafungua tu hiyo kesi,?

posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum
 
kweli kabisa kama vile kubinya uhuru wa kuongea na kuuwa upinzani na kum back up pro pesa kuua cuf ili maalim asidai urais alioporwa sawasawa tumekuelewa mkuu
Hivi anadai? Mbona alitutangazia ataapishwa hivi karibuni?
 
Yaani mm nimefurahi mno utafikiri sio nchi yangu. Na ninamuomba Mungu tushindwe ili angalau akili za yule jamaa zilejee katika normal state. Hapo najua Ben ataachiwa, katiba itafuatwa, bunge letu tutarudishiwa, mikutano kama kawa, sheria za manunuzi zitafuatwa n.k. Viva ACACIA. Sipendagi unafiki mm. Uzalendo wa nini wakati mnaiharibu nchi?
 
Back
Top Bottom