Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Mwanasheria wa ACACIA yupo London kufungua kesi baada ya kuona ombi la tume huru kuchunguza makinikia linaweza lisifanikiwe
Hata mimi nawaza hilo mkuu nabak kusema Bwana ajua..tutafika wanakotaka twendeHivi hawa wanasheria wa serikali wataweza hiyo kesi maana Lissu tu anawashinda
Aliyekosa uzalendo ni yule aliyeingia mikataba ya 3% mrahaba!yaaani dah kama utafurahia
hili kweli bhac utakuwa umekosa uzalendp
Acha tuu mkuu washangilie ni muda wao maana nyinyi watu wa Lumumba mlishangiliaga saana mle mjengoni! Au mlikuwa hamjui kama haya yatakuja tokea???Hizi ndio habari za kushangiliwa na upinzani
YUKO WAPI BEN SAANANEyaaani dah kama utafurahia
hili kweli bhac utakuwa umekosa uzalendp
Sheria hata ukiitunga leo huwezi kutumia dhidi ya mikataba iliyokubalika kabla ya sheria mpya.Kama wanaenda Mahakamani na sisi tupeleke Mswada Bungeni fasta kwa hati ya dharura kubadili hizo sheria kandamizi. Kama mbwai ni mbwai.