Sakata la Makontena: Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally amnyooshea kidole Makonda kwa ubinafsi. Amuonya kutoita wakazi wa Dar "Wananchi wangu"

Kuna mwingine kawaambie wananchi watafute nchi nyingine waende...kuna vituko sana kwa wateule wa Magufuli.
Ni yule mpumbavu wa Arumeru siku sio nyingi ataondoka yeye ,Wameru hawajui vizuri ,kina Kisali wanakata lami na panga kwa hasira zao na misimamo

Asalalee!
 
Hii lugha aliyotumia ndugu Makonda kwa bahati mbaya wala sio ngeni. Imemea kutokea kwenye bunge letu, utasikia mbunge anasema "wananchi wangu....." Ni lugha yenye ukakasi, ni kama vile yeye anawamiliki badala ya kutumia lugha inayoonyesha umoja wao yeye pia akiwemo. Kuna haja ya kuwapa seminar viongozi wetu, labda pengine wataelewa dhana ya uongozi na sio utawala.
 
View attachment 857507

Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally Katika mwendelezo wa mahojiano aliyoyafanya na Raia Mwema, amemnyooshea kidole, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa namna anavyotekeleza majukumu yake ya ukuu wa Mkoa na kudai kuwa kulikuwepo udhaifu katika kushughulikia makontena kutokana na kufanya kazi bila kushirikishana.

Alieleza kuwa, Mkuu wa Mkoa alipaswa kuwashirikisha wenzake tangu hatua za awali, kwa kuwa Serikali ni moja, hakuna cha Waziri wala Mkuu wa Mkoa - wote ni Wateule wa Rais.

Bashiru alimnyooshea kidole Makonda kwa ubinafsi na kukumbushia jinsi ambavyo Mkoa wa Dar es Salaam ni mmojawapo ya Mikoa aliyoitaja hivi karibuni kwa kutotekeleza vyema Ilani ya CCM kutokana kufanya kazi bila ushirikiano.

"Hapa sina maana kwamba ni Mkuu wa Mkoa tu hapana, ni uongozi mzima chini ya Mkuu wa Mkoa na uongozi mzima chini ya Mwenyekiti wa Chama."

Aliongezea kuwa, "Rais hawezi kwenda kuwafundisha uhusiano mwema, wao wenyewe ndio wanatakiwa kujua kwamba uhusiano mwema kikazi unamjenga zaidi kiongozi yeyote..."

Vilevile, Katibu Mkuu alimuonya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam juu ya tabia yake ya kuwaita wakazi wa Dar es Salaam, wananchi (Mkoa) wangu. "Na hii habari ya Dar es Salaam ya Makonda, hakuna Dar es Salaam ya Makonda, ni Dar es Salaam chini ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Makonda."

Bashiru aliongezea kuwa: "Kuna wakati namsikia anasema wananchi wangu, nani kamwambia anao wananchi wake? Hakuna wananchi wako. Hakuna kiongozi anamiliki wananchi, ni wananchi wenzangu."

View attachment 857506
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, akihutubia wananchi eneo la Mnazi Mmoja.

Aidha, Dk. Bashiru alikumbushia jinsi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alivyowahi kuonya juu ya ubinafsi: .... mkianza kusema mimi - wewe au wao - sisi, hamfiki.

Hivyo, aliwaasa vijana wanaopewa uongozi wawe wanyenyekevu na kuacha papara kwani watapotea kama ambavyo vijana wengi waliowahi kuwa juu walipotea kwa kukosa unyenyekevu.

View attachment 857504
View attachment 857507

Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally Katika mwendelezo wa mahojiano aliyoyafanya na Raia Mwema, amemnyooshea kidole, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa namna anavyotekeleza majukumu yake ya ukuu wa Mkoa na kudai kuwa kulikuwepo udhaifu katika kushughulikia makontena kutokana na kufanya kazi bila kushirikishana.

Alieleza kuwa, Mkuu wa Mkoa alipaswa kuwashirikisha wenzake tangu hatua za awali, kwa kuwa Serikali ni moja, hakuna cha Waziri wala Mkuu wa Mkoa - wote ni Wateule wa Rais.

Bashiru alimnyooshea kidole Makonda kwa ubinafsi na kukumbushia jinsi ambavyo Mkoa wa Dar es Salaam ni mmojawapo ya Mikoa aliyoitaja hivi karibuni kwa kutotekeleza vyema Ilani ya CCM kutokana kufanya kazi bila ushirikiano.

"Hapa sina maana kwamba ni Mkuu wa Mkoa tu hapana, ni uongozi mzima chini ya Mkuu wa Mkoa na uongozi mzima chini ya Mwenyekiti wa Chama."

Aliongezea kuwa, "Rais hawezi kwenda kuwafundisha uhusiano mwema, wao wenyewe ndio wanatakiwa kujua kwamba uhusiano mwema kikazi unamjenga zaidi kiongozi yeyote..."

Vilevile, Katibu Mkuu alimuonya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam juu ya tabia yake ya kuwaita wakazi wa Dar es Salaam, wananchi (Mkoa) wangu. "Na hii habari ya Dar es Salaam ya Makonda, hakuna Dar es Salaam ya Makonda, ni Dar es Salaam chini ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Makonda."

Bashiru aliongezea kuwa: "Kuna wakati namsikia anasema wananchi wangu, nani kamwambia anao wananchi wake? Hakuna wananchi wako. Hakuna kiongozi anamiliki wananchi, ni wananchi wenzangu."

View attachment 857506
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, akihutubia wananchi eneo la Mnazi Mmoja.

Aidha, Dk. Bashiru alikumbushia jinsi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alivyowahi kuonya juu ya ubinafsi: .... mkianza kusema mimi - wewe au wao - sisi, hamfiki.

Hivyo, aliwaasa vijana wanaopewa uongozi wawe wanyenyekevu na kuacha papara kwani watapotea kama ambavyo vijana wengi waliowahi kuwa juu walipotea kwa kukosa unyenyekevu.

View attachment 857504
Mbona hili jipu lilishaiva siku nyingi na halitumbuliwi kama mengine?Kuna sababu gani ya kuendelea kulipapasapapasa ili hali limeshajulikana kuwa nijipu siku nyingi?Mbona yule mzee marehemu sasa Bashite alimchongea kwa baba halafu akatumbuliwa mbele ya kadamnasi?
 
View attachment 857507

Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally Katika mwendelezo wa mahojiano aliyoyafanya na Raia Mwema, amemnyooshea kidole, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa namna anavyotekeleza majukumu yake ya ukuu wa Mkoa na kudai kuwa kulikuwepo udhaifu katika kushughulikia makontena kutokana na kufanya kazi bila kushirikishana.

Alieleza kuwa, Mkuu wa Mkoa alipaswa kuwashirikisha wenzake tangu hatua za awali, kwa kuwa Serikali ni moja, hakuna cha Waziri wala Mkuu wa Mkoa - wote ni Wateule wa Rais.

Bashiru alimnyooshea kidole Makonda kwa ubinafsi na kukumbushia jinsi ambavyo Mkoa wa Dar es Salaam ni mmojawapo ya Mikoa aliyoitaja hivi karibuni kwa kutotekeleza vyema Ilani ya CCM kutokana kufanya kazi bila ushirikiano.

"Hapa sina maana kwamba ni Mkuu wa Mkoa tu hapana, ni uongozi mzima chini ya Mkuu wa Mkoa na uongozi mzima chini ya Mwenyekiti wa Chama."

Aliongezea kuwa, "Rais hawezi kwenda kuwafundisha uhusiano mwema, wao wenyewe ndio wanatakiwa kujua kwamba uhusiano mwema kikazi unamjenga zaidi kiongozi yeyote..."

Vilevile, Katibu Mkuu alimuonya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam juu ya tabia yake ya kuwaita wakazi wa Dar es Salaam, wananchi (Mkoa) wangu. "Na hii habari ya Dar es Salaam ya Makonda, hakuna Dar es Salaam ya Makonda, ni Dar es Salaam chini ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Makonda."

Bashiru aliongezea kuwa: "Kuna wakati namsikia anasema wananchi wangu, nani kamwambia anao wananchi wake? Hakuna wananchi wako. Hakuna kiongozi anamiliki wananchi, ni wananchi wenzangu."

View attachment 857506
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, akihutubia wananchi eneo la Mnazi Mmoja.

Aidha, Dk. Bashiru alikumbushia jinsi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alivyowahi kuonya juu ya ubinafsi: .... mkianza kusema mimi - wewe au wao - sisi, hamfiki.

Hivyo, aliwaasa vijana wanaopewa uongozi wawe wanyenyekevu na kuacha papara kwani watapotea kama ambavyo vijana wengi waliowahi kuwa juu walipotea kwa kukosa unyenyekevu.

View attachment 857504
Ukifuga mjusi tegemea kuna siku atageuka joka. Turejee kumbukumbu zetu; Bashite alishawahi kumpigia simu jiwe tena hadharani kwenye Mkutano sasa wenye akili timamu wangeanza kutafakari baada ya tukio lile na haya mauzauza yanayoendelea
 
Ndiyo maendeleo hayo walahi!
USA , Trump kaitwa IDIOT WITH A MIND OF SIXTH GRADER!
Jiongeze kidogo!
That’s all
Hivi hizi akili zenu mnazicopy na kupaste kutoka kwa watu wa marekani tu kwa kuwa ndio bora zaidi au? Ni aibu nchi hii maskini wa pili kutoka mwisho kujilinganisha na marekani mwa kila jambo!
Hivi hao wamarekani siku wakiamua kutembea uchi usawa wa ngedere na wewe utawaiga siyo? Kijana jifunze kuyaishi maisha yako katika mazingira iliyopo kabla ya kuyaishi maisha ya wengine ambao hujawahi hata kuwafikia walipo!
Kujilinganisha na wamarekani ni moja ya nguzo kuu za umaskini na kweli wewe sio maskini wa kipato tu bali na wa akili pia! Badilika na ishi maisha yako halisi na kazana kuyaboresha bila kujilinganisha na wasio wa kiwango chako!
 
Kama Mhe. Rais alivyo kwa kutokula maneno hata Katibu wa CCM Taifa ni hivyo hivyo.

Nachojuwa Makonda ni kijana mwelewa asamehewe atajirekebisha
 
Vilevile, Katibu Mkuu alimuonya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam juu ya tabia yake ya kuwaita wakazi wa Dar es Salaam, wananchi (Mkoa) wangu. "Na hii habari ya Dar es Salaam ya Makonda, hakuna Dar es Salaam ya Makonda, ni Dar es Salaam chini ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Makonda."

Bashiru aliongezea kuwa: "Kuna wakati namsikia anasema wananchi wangu, nani kamwambia anao wananchi wake? Hakuna wananchi wako. Hakuna kiongozi anamiliki wananchi, ni wananchi wenzangu."
Hapa mimi naona tuu kuna watu wameingia CCM juzi tuu, lakini sasa, masikio yanataka kuzidi kichwa!.
Huyu dakitari kamsikia Makonda tuu na Dar es Salaam ya Makonda, lakini hajaisikia "Tanzania ya Magufuli"?.

Huu u mimi wa viongozi wetu, haukuanza na Makonda, hawa wanaangalia kule juu kukoje na wao wanafuatia, kama Dr. Bashiru ni kweli yuko serious kuuondoa umimi CCM, asihangaike na hivi vitawi vitawi vya umimi, aunde kwenye shina na kuungoa mzizi wa umimi CCM!.
P.
 
He he he! katibu amekuja ku 'rescue'chama!
Suala la Makonda lilishamalizwa na mwenyekiti,nilitegemea angesema mwenyekiti ameshatolea uamuzi,kazi ya uongozi ni ngumu
Makonda amepewa jiji lote likiwa chini ya ukawa
Makonda alijotoa kuua ukuta na kata funua,bila ya makonda kukaza jamaa wangeanzia ukuta Dar nchi nzima ingelipuka,ndio mana chadema hawataki kumsikia
Makonda kaka endelea kusali sana
 
Mimi Daudi Albert Bashite mkuu wa mkoa Wa Mzizima ninawaagiza wananchi wangu kwamba:-

1. "Mtu yeyote atakayeingia kwenye mkoa wangu atoe taarifa kwa serikali ya mtaa ama eneo husika, La sivyo atarudi alipotoka. Sitaki wanachi wangu wabughudiwe"

2. "Mgeni akija kwako akae siku mbili arudi kwao, wananchi wangu wana maisha magumu watateseka kukulisha na kukulea. Hili lisitokee kwenye mkoa wangu, labda nikiwa nmetoka madarakani."
Mkuu umenukuu lugha ya kichaa mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom