Sakata la Madiwani: CHADEMA yalegeza masharti

Muanzisha hii thread pamoja na Pro-CDM wenzake wameamua kujiliwaza na kujifariji kwa maneno yao eti CDM yalegeza masharti! sijaona sehemu yoyote hapa hayo masharti yaliolegezwa, Naibu meya wa CDM kasema anataka uthibitisho kama wao wamechukuwa rushwa kutoka CCM, kama watakosa uthibitisho inabidi Dr Slaa aitishe mkutano na vyombo vya habari asema naomba msamaha madiwani wa Arusha.Sasa hizi porojo za kulegeza masharti sijui zimetoka wapi
 
Dada Yangu.
Ni vizuri ujuwe Mbowe ni share holder wa Chadema na Dr Slaa ni mwajiriwa tu ndani ya Chadema.

Lakini aliyepotosha yote ni Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kwani yeye ni ndumilakuwili na kwa kujuwa ushari na kutoitakia amani nchi yenu Dr Slaa anakurupuka sana kuhakikisha Arusha hakuna amani.

Ni vizuri sana Lema na Slaa wajivue magamba hapo.

Barubaru Slaa hana makosa kaingizwa choo cha kike na kubwa jinga Lema.
 
Lazima madiwani waombwe radhi na mbwatukaji Lema.

Muanzisha hii thread pamoja na Pro-CDM wenzake wameamua kujiliwaza na kujifariji kwa maneno yao eti CDM yalegeza masharti! sijaona sehemu yoyote hapa hayo masharti yaliolegezwa, Naibu meya wa CDM kasema anataka uthibitisho kama wao wamechukuwa rushwa kutoka CCM, kama watakosa uthibitisho inabidi Dr Slaa aitishe mkutano na vyombo vya habari asema naomba msamaha madiwani wa Arusha.Sasa hizi porojo za kulegeza masharti sijui zimetoka wapi
 
Chadema na Slaa hapa wamechemka, ukweli wanaujua ni upi lakini wanashindwa kuuweka wazi, wanashangaza! Hivi nani asiejuwa kuwa muafaka ulifikiwa na Mbowe na Pinda? sasa Slaa anashinda na Mbowe? Uchunguzi wa kamati ya Marando uwekwe wazi. Naona kinachotakiwa ni Slaa kuwaomba radhi madiwani kwani ni yeye ndio kabla ya uchunguzi alisema kuna rushwa imetembea. Namuonea huruma Slaa, alifikiriuongozi wa chama kitaifa ni sawa na ubunge? ni vitu viwili tofauti na huwa hatakiwi kukurupuka.
MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid (CUF), amemshtaki Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kumkejeli Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, na muundo wa serikali ya umoja wa kitaifa. Alisema hivi karibuni Nape alikaririwa katika vyombo vya habari akimkejeli Maalim Seif wakati Rais Jakaya Kikwete alipongeza juhudi hizo zilizofikiwa na viongozi hao huko Zanzibar. Katika swali lake, mbunge huyo wa Zanzibar alitaka kujua serikali itatoa kauli gani kuhusu suala hilo. Akijibu swali hilo, Waziri Mkuu alieleza kushangazwa na mbunge huyo kutomweleza suala hilo, kwani ni rafiki yake sana na wamekuwa wakikutana mara kwa mara. Hata hivyo Pinda aliwashangaa Watanzania wanaokejeli hatua hiyo na kueleza kwamba Mtanzania yeyote aliyekuwa akifuatilia siasa za Zanzibar, hawezi kukejeli hatua hiyo. “Hatua iliyofikiwa ni mfano wa kuigwa na watu hao ni viongozi wa serikali; kama kuna mtu anakejeli ninong’oneze,” alisema Pinda na hivyo kumfaya mbunge huyo kumtaja Nape na Mwigulu Mchemba (Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM) na kusema kuwa wamekaririwa kwenye magazeti wakikejeli hatua hiyo. Hata hivyo Pinda alipotajiwa majina hayo alionekana kugwaya na kusema kama suala hilo liko kwenye magazeti si la kutiliwa maanani. “Mimi naamini sana runinga kwa sababu namuona mtu mwenyewe, lakini kwenye magazeti inategemea ni gazeti gani. Magazeti mengine yana ajenda zao,” alisema na kuahidi kulifuatilia suala hilo. Hivi karibuni Nape alikaririwa na vyombo vya habari akimmbeza Maalim Seif kuwa njaa yake ndiyo iliyomfanya aitambue Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na hatimaye kukubali kuingia kwenye serikali ya mseto. Nape ambaye alikuwa akihutubia mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wenye lengo la kuelezea maana ya CCM kujivua gamba uliofanyika jijini Mbeya, alisema baada ya Hamad kubanwa na njaa kali aliamua kurudi kwenye Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kudai alipwe mafao yake kama Waziri Kiongozi wa serikali hiyo, wakati haitambui SMZ. Naye Mwigulu Mchemba, alisema viongozi wengi wa kisiasa nchini hawana moyo wa kuwatumikia wananchi kwa dhati na badala yake wanafikiria maslahi yao binafsi huku, akimtolea mfano Maalim Seif kuwa ni mfano wa viongozi hao.
 
MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid (CUF), amemshtaki Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kumkejeli Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, na muundo wa serikali ya umoja wa kitaifa.

Alisema hivi karibuni Nape alikaririwa katika vyombo vya habari akimkejeli Maalim Seif wakati Rais Jakaya Kikwete alipongeza juhudi hizo zilizofikiwa na viongozi hao huko Zanzibar.

Katika swali lake, mbunge huyo wa Zanzibar alitaka kujua serikali itatoa kauli gani kuhusu suala hilo.

Akijibu swali hilo, Waziri Mkuu alieleza kushangazwa na mbunge huyo kutomweleza suala hilo, kwani ni rafiki yake sana na wamekuwa wakikutana mara kwa mara.

Hata hivyo Pinda aliwashangaa Watanzania wanaokejeli hatua hiyo na kueleza kwamba Mtanzania yeyote aliyekuwa akifuatilia siasa za Zanzibar, hawezi kukejeli hatua hiyo.

"Hatua iliyofikiwa ni mfano wa kuigwa na watu hao ni viongozi wa serikali; kama kuna mtu anakejeli ninong'oneze," alisema Pinda na hivyo kumfaya mbunge huyo kumtaja Nape na Mwigulu Mchemba (Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM) na kusema kuwa wamekaririwa kwenye magazeti wakikejeli hatua hiyo.

Hata hivyo Pinda alipotajiwa majina hayo alionekana kugwaya na kusema kama suala hilo liko kwenye magazeti si la kutiliwa maanani.

"Mimi naamini sana runinga kwa sababu namuona mtu mwenyewe, lakini kwenye magazeti inategemea ni gazeti gani. Magazeti mengine yana ajenda zao," alisema na kuahidi kulifuatilia suala hilo.

Hivi karibuni Nape alikaririwa na vyombo vya habari akimmbeza Maalim Seif kuwa njaa yake ndiyo iliyomfanya aitambue Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na hatimaye kukubali kuingia kwenye serikali ya mseto.

Nape ambaye alikuwa akihutubia mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wenye lengo la kuelezea maana ya CCM kujivua gamba uliofanyika jijini Mbeya, alisema baada ya Hamad kubanwa na njaa kali aliamua kurudi kwenye Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kudai alipwe mafao yake kama Waziri Kiongozi wa serikali hiyo, wakati haitambui SMZ.

Naye Mwigulu Mchemba, alisema viongozi wengi wa kisiasa nchini hawana moyo wa kuwatumikia wananchi kwa dhati na badala yake wanafikiria maslahi yao binafsi huku, akimtolea mfano Maalim Seif kuwa ni mfano wa viongozi hao.
 
Muanzisha hii thread pamoja na Pro-CDM wenzake wameamua kujiliwaza na kujifariji kwa maneno yao eti CDM yalegeza masharti! sijaona sehemu yoyote hapa hayo masharti yaliolegezwa, Naibu meya wa CDM kasema anataka uthibitisho kama wao wamechukuwa rushwa kutoka CCM, kama watakosa uthibitisho inabidi Dr Slaa aitishe mkutano na vyombo vya habari asema naomba msamaha madiwani wa Arusha.Sasa hizi porojo za kulegeza masharti sijui zimetoka wapi

"Hate Preacher"

ukishaona neno CHADEMA you become paranoid

you seems to be agitated by extraordinary and patriotic excels from CDM ...... hang yourself if you dont want CDM
 
Dada Yangu.
Ni vizuri ujuwe Mbowe ni share holder wa Chadema na Dr Slaa ni mwajiriwa tu ndani ya Chadema.

Lakini aliyepotosha yote ni Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kwani yeye ni ndumilakuwili na kwa kujuwa ushari na kutoitakia amani nchi yenu Dr Slaa anakurupuka sana kuhakikisha Arusha hakuna amani.

Ni vizuri sana Lema na Slaa wajivue magamba hapo.
MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid (CUF), amemshtaki Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwa kumkejeli Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad, na muundo wa serikali ya umoja wa kitaifa.

Alisema hivi karibuni Nape alikaririwa katika vyombo vya habari akimkejeli Maalim Seif wakati Rais Jakaya Kikwete alipongeza juhudi hizo zilizofikiwa na viongozi hao huko Zanzibar.

Katika swali lake, mbunge huyo wa Zanzibar alitaka kujua serikali itatoa kauli gani kuhusu suala hilo.

Akijibu swali hilo, Waziri Mkuu alieleza kushangazwa na mbunge huyo kutomweleza suala hilo, kwani ni rafiki yake sana na wamekuwa wakikutana mara kwa mara.

Hata hivyo Pinda aliwashangaa Watanzania wanaokejeli hatua hiyo na kueleza kwamba Mtanzania yeyote aliyekuwa akifuatilia siasa za Zanzibar, hawezi kukejeli hatua hiyo.

“Hatua iliyofikiwa ni mfano wa kuigwa na watu hao ni viongozi wa serikali; kama kuna mtu anakejeli ninong’oneze,” alisema Pinda na hivyo kumfaya mbunge huyo kumtaja Nape na Mwigulu Mchemba (Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM) na kusema kuwa wamekaririwa kwenye magazeti wakikejeli hatua hiyo.

Hata hivyo Pinda alipotajiwa majina hayo alionekana kugwaya na kusema kama suala hilo liko kwenye magazeti si la kutiliwa maanani.

“Mimi naamini sana runinga kwa sababu namuona mtu mwenyewe, lakini kwenye magazeti inategemea ni gazeti gani. Magazeti mengine yana ajenda zao,” alisema na kuahidi kulifuatilia suala hilo.

Hivi karibuni Nape alikaririwa na vyombo vya habari akimmbeza Maalim Seif kuwa njaa yake ndiyo iliyomfanya aitambue Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) na hatimaye kukubali kuingia kwenye serikali ya mseto.

Nape ambaye alikuwa akihutubia mamia ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wenye lengo la kuelezea maana ya CCM kujivua gamba uliofanyika jijini Mbeya, alisema baada ya Hamad kubanwa na njaa kali aliamua kurudi kwenye Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na kudai alipwe mafao yake kama Waziri Kiongozi wa serikali hiyo, wakati haitambui SMZ.

Naye Mwigulu Mchemba, alisema viongozi wengi wa kisiasa nchini hawana moyo wa kuwatumikia wananchi kwa dhati na badala yake wanafikiria maslahi yao binafsi huku, akimtolea mfano Maalim Seif kuwa ni mfano wa viongozi hao.
 
"Hate Preacher"ukishaona neno CHADEMA you become paranoid you seems to be agitated by extraordinary and patriotic excels from CDM ...... hang yourself if you dont want CDM
Balderdash
 
Hawa Madiwani wa Chadema wamedeka ,hawana hata sababu ya kurumbana na chama vya kisingizio cha rushwa kwa sababu kamati imewasafisha .na Dr Slaa hana cha kuwajibika kwa sababu yeye ni mtendaji anaweza kuwa alipata malalamiko kwamba kulikuwa na mazingira ya rushwa kwa madiwani wao kufikia maamuzi waliyofikiwa ya mwafaka ,na chadema chama kisichokurupuka kilipeleka kamati na kamati imetoa halihalisi na maamuzi yamefuata ripoti ya kamati kwa kutokuwahusisha madiwani na rushwa , sasa dr aombe radhi kwa vipi kwa sababu maamuzi hayajafuata nini wananchi walikifiri na kumpigia katibu mkuu wa chadema,kwa hiyo madiwani waombe radhi wasifanye ujinga hapa,wananchi waliwapa dhamana wakijua ni viongozi shupavu wanaoweza kupambana na mawimbi mbalimbali,chama chenyewe wanachotaka kukimbilia sijui watakuwa mtandao upi ule wa CCM maslahi,au CCM/CCJ auCCM/Membe,Ridhiwani na Beno mmh ,bora wayamalize huku kwenye chama chao
 
Madiwani wakiongozwa na malah wanapotosha ukweli ulio wazi.Kwenye barua walizoandikiwa hakuna kipengele kinachowatuhumu kuwa walipewa rushwa.Wanatakiwa kujiuzulu nyadhifa wanazoshikilia ndani ya halmashauri zilizotokana na muafaka batili.Sasa wenyewe wanataka kwanza kamati kuu ithibitishe kuwa walinunuliwa.Kwani kamati kuu imewambia wamenunuliwa?Wangeonekana wana hoja kama wangetii maagizo ya kamati kisha kumtaka mbunge lema awaombe radhi ama athibitishe kuwa walihongwa.Hii ni kwakuwa lema ndiye aliyewatuhumu sio kamati kuu wala tume iliyoundwa.Ushauri wangu kwa madiwani ni kwamba kufikia muda uliowekwa wawe wametii maagizo ya chama na baada ya hapo ndo wamtake lema ama kuthibitisha tuhuma za rushwa au kufuta kauli.
 
Muanzisha hii thread pamoja na Pro-CDM wenzake wameamua kujiliwaza na kujifariji kwa maneno yao eti CDM yalegeza masharti! sijaona sehemu yoyote hapa hayo masharti yaliolegezwa, Naibu meya wa CDM kasema anataka uthibitisho kama wao wamechukuwa rushwa kutoka CCM, kama watakosa uthibitisho inabidi Dr Slaa aitishe mkutano na vyombo vya habari asema naomba msamaha madiwani wa Arusha.Sasa hizi porojo za kulegeza masharti sijui zimetoka wapi
Hivi mnafikiri Chadema wajinga ina watu makini zile barua hazikutaja neno rushwa hata mara moja makosa wanayotuhumiwa si kula rushwa ni kwenda kinyume na katiba na kanuni za chama kutotii maagizo halali ya chama, hayo ya rushwa ni ya kutamkwa pembeni tu tena magazetini, wewe unafikiri Marando na Prof. Safari walipelekwa pale ki makosa wanajua kila kitu. Hilo la rushwa ni kesi nyingine kama Malah anaona amekashifiwa akaifungue kesi lakini barua za kujiuzulu ziko palepale ngoja ifike saa 7:02 uone, halafu sioni kwanini wamewaongezea dk 2 za kazi gani.
 
Sasa ndio tunaanza kumjua Slaa halisi sio yule aliyejivika ngozi ya kondoo kumbe ni chui. Ni mtu wakujichanganya na asiye na msimamo ndio hali inayojionyesha hapa
Nenda kanawe uso kwanza unaonekana bado una usingizi!!!!!!!!!!!!!! Hapa sio wana magamba wanaobembeleza watu wajiudhulu, wengine wanagoma waoga wanakimbia. CDM chama makini kwa maamuzi makini pia,hizo brain zako zimedoda!!!!!!!!!!!
 
Chadema na Slaa hapa wamechemka, ukweli wanaujua ni upi lakini wanashindwa kuuweka wazi, wanashangaza!

Hivi nani asiejuwa kuwa muafaka ulifikiwa na Mbowe na Pinda? sasa Slaa anashinda na Mbowe? Uchunguzi wa kamati ya Marando uwekwe wazi.

Naona kinachotakiwa ni Slaa kuwaomba radhi madiwani kwani ni yeye ndio kabla ya uchunguzi alisema kuna rushwa imetembea. Namuonea huruma Slaa, alifikiriuongozi wa chama kitaifa ni sawa na ubunge? ni vitu viwili tofauti na huwa hatakiwi kukurupuka.

ulishawekwa wazi acha uvivu wa kusoma magazeti we mdada
 
ulishawekwa wazi acha uvivu wa kusoma magazeti we mdada
Mungi hebu tupe taarifa nakuaminia siku ile ulituambia ume chart nao tukadharau na kuyaita maongezi ya kwenye mbege lakini ikaja kuwa kweli, tuambie leo imekuwaje maana mida ndiyo hii walipewa hadi saa 7:02 kama sikosei bado na msimamo wao.
 
Dada Yangu.
Ni vizuri ujuwe Mbowe ni share holder wa Chadema na Dr Slaa ni mwajiriwa tu ndani ya Chadema.

Lakini aliyepotosha yote ni Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kwani yeye ni ndumilakuwili na kwa kujuwa ushari na kutoitakia amani nchi yenu Dr Slaa anakurupuka sana kuhakikisha Arusha hakuna amani.

Ni vizuri sana Lema na Slaa wajivue magamba hapo.

Hapo kwenye red, sidhani kama CHADEMA wana msamiati kama huo; misamiati ambayo haina tija kwa maisha ya watanzania. Tafadhali "semi" na "mitaarab" yenu isiyokuwa na maana pelekeni huko huko kwenye magenge na mamipasho yenu.
 
kesi ya msingi hapa sio rushwa bali ni kuingia kwenye makubaliano na CCM pasipo kufata taratibu zilizoainishwa na katiba ya CDM.
Mbona hili liko wazi hata mtoto wa chekechea anaelewa.
 
Ww kweli siasa huzijui, nyie hamkumwambia Zitto wakati ule wa sakata la Magwanda kutoka bungeni kuwa achague anavyoona inafaa ? au hukuwepo nchini mzee. Na ww ni kundi gani la CDM kati ya haya CHADEMA - Katoliki, CHADEMA mseto au CHADEMA - islamu ?
Genius caudal parts
 
Back
Top Bottom