Chadema na Slaa hapa wamechemka, ukweli wanaujua ni upi lakini wanashindwa kuuweka wazi, wanashangaza!
Hivi nani asiejuwa kuwa muafaka ulifikiwa na Mbowe na Pinda? sasa Slaa anashinda na Mbowe? Uchunguzi wa kamati ya Marando uwekwe wazi.
Naona kinachotakiwa ni Slaa kuwaomba radhi madiwani kwani ni yeye ndio kabla ya uchunguzi alisema kuna rushwa imetembea. Namuonea huruma Slaa, alifikiriuongozi wa chama kitaifa ni sawa na ubunge? ni vitu viwili tofauti na huwa hatakiwi kukurupuka.
Usilazimishe kuiga kila kitu vitu vingine havi fit kwanza hujajibu swali upo kundi gani CCM-Rachel, CCM-Ikulu au CCM-Ccj lakini kwa akili zako zilivyo huwezi kuwa CCM-Rachel sanasana CCM-Ccj waropokaji kwa kina nepi.Ww kweli siasa huzijui, nyie hamkumwambia Zitto wakati ule wa sakata la Magwanda kutoka bungeni kuwa achague anavyoona inafaa ? au hukuwepo nchini mzee. Na ww ni kundi gani la CDM kati ya haya CHADEMA - Katoliki, CHADEMA mseto au CHADEMA - islamu ?
Feedback, hamna aliosema CDM wajinga! Namnukuu Dr Slaa "Upungufu mwingine ni kuwepo kwa mianya ya rushwa ya kuwashawishi Madiwani husika kushiriki kwenye maridhiano hayo" mwisho wa kunukuuHivi mnafikiri Chadema wajinga ina watu makini zile barua hazikutaja neno rushwa hata mara moja makosa wanayotuhumiwa si kula rushwa ni kwenda kinyume na katiba na kanuni za chama kutotii maagizo halali ya chama, hayo ya rushwa ni ya kutamkwa pembeni tu tena magazetini, wewe unafikiri Marando na Prof. Safari walipelekwa pale ki makosa wanajua kila kitu. Hilo la rushwa ni kesi nyingine kama Malah anaona amekashifiwa akaifungue kesi lakini barua za kujiuzulu ziko palepale ngoja ifike saa 7:02 uone, halafu sioni kwanini wamewaongezea dk 2 za kazi gani.
Ilisema pia kwamba, viongozi wa madiwani walikuwa hawawapatii taarifa kamili madiwani wenzao kuhusu maendeleo ya mazungumzo ya maridhiano na yale yaliyokuwa yanaamuliwa katika chama.
Kamati inapendekeza kuwa Kamati Kuu iwape onyo kali, viongozi wa madiwani, Estomih Mallah na John Bayo, na kuwataka kuomba radhi kwa kitendo chao hicho, ilisema.
Hayo hayamo kwenye barua waliyokabidhiwa unayosema ni yale aliyonukuliwa na waandishi hata hivyo kusema kuna mianya ya rushwa sio kuwa ume confirm vitendo vya rushwa.Feedback, hamna aliosema CDM wajinga! Namnukuu Dr Slaa "Upungufu mwingine ni kuwepo kwa mianya ya rushwa ya kuwashawishi Madiwani husika kushiriki kwenye maridhiano hayo" mwisho wa kunukuu
Kwa hiyo hayo maneno Dr Slaa ameropoka?Hayo hayamo kwenye barua waliyokabidhiwa unayosema ni yale aliyonukuliwa na waandishi hata hivyo kusema kuna mianya ya rushwa sio kuwa ume confirm vitendo vya rushwa.
Wewe endelea kuwaponza madiwani mara ooo Slaa karopoka mara rushwa mara..... siku wakitimuliwa wewe utawasaidia nini.Kwa hiyo hayo maneno Dr Slaa ameropoka?
Bora kufa umesimama kuliko kuhishi umepiga magoti, kwani CDM ni kampuni binafsi inaweza kufukuza yoyote atakaenda kinyume na Mbowe na a loser SlaaWewe endelea kuwaponza madiwani mara ooo Slaa karopoka mara rushwa mara..... siku wakitimuliwa wewe utawasaidia nini.
Chadema na Slaa hapa wamechemka, ukweli wanaujua ni upi lakini wanashindwa kuuweka wazi, wanashangaza!
Hivi nani asiejuwa kuwa muafaka ulifikiwa na Mbowe na Pinda?
Mbona hajachukua hatua? Au naye yupo bondeni kwenye mnuso...inaelekea madiwani Mallah na Bayo walitumia ujanja-ujanja ktk kuwashawishi wenzao kufikia makubaliano na CCM.
..Kamati Kuu ya CDM imezingatia mapendekezo ya Kamati ya Uchunguzi iliyoongozwa na Mabere Marando.
..sasa kama madiwani Mallah na Bayo watashindwa kuomba radhi kama walivyoelekezwa na Kamati Kuu ya CDM basi hatua zaidi zinapaswa kuchukuliwa dhidi yao.
..sijaona mahali ambapo Dr.Slaa amekwenda kinyume na maelekezo ya Kamati Kuu ya CDM.
Onesha ushahidi wa muafaka huo otherwise haya ni maneno ya bara barani na hayana mashiko. Pengine mwenzetu uliwapelekea vitumbua walipokuwa wakikutana!!