BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Kamati ya kutimiza udikteta uchwara unaofanywa na dikteta uchwara nchini. Bunge haramu halina hadhi ya kuendelea kuwepo Kwani sasa badala ya kuwa wawakilishi wa Watanzania Bungeni limekuwa ni kitengo cha MACCM na kufanya kazi bega kwa bega na dikteta uchwara.
Hivi wapi mliona bunge linaunda kamati ya uchunguzi alafu badala ya kukabidhi bungeni na kuijadili, na kutoa mapendekezo, wanakimbilia kumpelekea Rais? Wakiambiwa wanaita watu kwenye kamati ya maadili.