Jamani! Mbona mimi nilisikiaga Majid Mjengwa ndiye Mzee Mwanakijiji! Naomba ufafanizi hapo!
Nakwambia
haya ni maajabu!
mwigulu jana Bungeni anasema alipeleka ile CD Polisi na anao ushahidi wa
maandishi aliyokuwa anaandika Lwakatare wakati akirekodiwa.
Kilichonishangaza akainua karatasi na kusema " na karatasi aliyokuwa
anaandika mtuhumiwa ninayo hapa!..... Hii hapa kama ushahidi ....."Sasa
najiuliza,jee alipo kabidhi video hiyo, jee Polisi walimwambia hiyo
karatasi aliyoandika mtuhumia aendelee kukaa nayo ili aje aionyeshe
Bungeni? Au yeye Mwigulu siku hizi ni custodian wa nyaraka za ushahidi?
Maana haileti mantiki kusema ule ni ushahidi na bado uko mikononi mwa
Mwigulu ambaye ndiye mfanya mawasiliano na hao magaidi ( kama
anavyowaita yeye) aliokuwa anawalipa fedha mara kwa mara.Huyu alipaswa
ahojiwe tena kwa kuminywa kereng'ende ili aseme maana imeshajionyesha ni
mtu hatari sana. Jana nimesoma waraka wa Joshua Nassari kuhusu
mawasiliano ya Mwigulu na yule mwenyekiti wa Chadema Usa River na jinsi
alivyopokea pesa toka kwa Mwigulu ili ahujumu naye akaziwakilisha
Chamani. Kilichofuatia ni kuchinjwa kama kuku na wauaji kutorokea
Mahakamani chini ya ulinzi mkali wa Polisi na hakuna jitihada
zinazoendelea kuwatafuta.Ukisoma btn the line, Mwigulu anaonyesha
uhusika kabisa katika hilo. Huko Singida anatajwa kwenye mauaji,Igunga
inafahamika uhusika wake na yaliyotokea na kadhalika.Huyu mtu ni hatari
na ana baraka zote za chama chake, na anaamini hata anavyojulikana
hakuna litakalo mpata maana yeye anatimiza wajibu aliopewa na system
inayoongoza. Tumuweke kwenye kumbukumbu ili baadae aje ajibu
yote.
Hilo sakata kama Mjengwa anahusika basi litakuwa ni aibu!
Watu mbona mnageuka wajinga kabisa?
Hizo typo ziko nyingi mno na kwa kiswahili hata ni nyingi zaidi.
Kuandika knows hapo badala ya know haina maana mhusika hajui neno sahihi. Kunaweza kuwa factors kibao. Watu wengine wanaotumia smart phones mara nyingi neno linaandikwa bila hata mwandishi kukusudia.
Kuongeza s moja kwenye maandishi ya Lukosi hakumfanyi aonekane hajui Kiingereza. uandishi wa hapa JF sio wa kurudia kusoma ulichoandika na makosa kama hayo yanatokea hata kwa wenye lugha.
Mbona Kiswahaili wote tunakosea kila siku na hatuoni watu wakicheka? kasumba ya kujua Kiingereza na kukosoa kila mtu anapofanya hata kosa kubwa inatupambaza kabisa.
Kuna tofauti kati ya mshitakiwa , mtuhumiwa na shahidi
Mshitakiwa ni yule mtu ambaye polisi wanaamini ametenda kosa na wana ushahidi wa kutosha kumfikisha mahakamani
Mtuhumiwa ni mtu ambaye ametajwa kuhusika na kosa la jinai lakini bado uchunguzi unaendelea ili kuthibitisha tuhuma hizo dhidi yake. Huyu anaweza kuachiliwa baada ya mahojiano na polisi au akashikiliwa kwa muda kituoni.
Shahidi ni mtu ambaye ana ushuhuda fulani juu ya kesi ya jinai na hutumiwa na polisi katika upelelezi, shahidi anaweza kuitwa wakati wowote kituo cha polisi kuhojiwa au akahojiwa nyumbani kwake atoe maelezo au sehemu yoyote ambayo polisi na shahidi wataona iko salama na haitamzuia kutoa ushahidi,
Kuna kitu kimoja watu wanashindwa kuelewa hapa.
Sio kila mtu anayeitwa kituo cha polisi ni mshitakiwa.
Maggid anaweza kuwa shahidi kutokana na ukaribu wake na Ludo (ambaye nina uhakika asilimia mia ni shushu wa CHADEMA) na anaweza kuwa kaitwa polisi kutoa maelezo yake, lakini kwa sababu Chadema wameishajiweka image ya uhalifu na kuwachukia polisi wao wataanza kulaani polisi hapa. Kumbukeni kuwa LUDO na Lwakatare wako ndani pamoja na yule kijana wa bukoba, hao lazima kwa namna moja au nyingine watakuwa wameanza kuimba huko lupango kwani kwenye sheria ya ugaidi polisi wanaruhusiwa kutumia mbinu zote kumfanya mtuhumiwa aongee.
Kama Mjengwa akionekana ana kesi ya kujibu basi nitakuwa nimekamilisha na mimi uchunguzi wangu ilikuwaje mawasiliano yangu na mjengwa yalikuwa yanakwenda kwa Dr Slaa na DJ moja kwa moja
Mjengwa kwa sasa anahojiwa kama shahidi hivyo acheni kutokwa povu na kama ni kamata kamata basi tutegemee wengi tu watakamatwa wengi tu kuanzia Dr Slaa Mpaka Mbowe.
Itakua kamatakamata ambayo in the process italifedhehesha Jeshi la Polisi ikiwa wahusika muhimu hawajakamatwa....
Wewe pia unatakiwa uhojiwe, nina uhakika unajua mengi sana lakIni hutaki kuOngea
Itakua kamatakamata ambayo in the process italifedhehesha Jeshi la Polisi ikiwa wahusika muhimu hawajakamatwa....
Hiv 50,000 elfu inaweza kufanya mtu afanye tukio hatarishi km hilo, kabla ya kusema fikirieni, kweli lodvicky utamdanganya kwa elfu 50,000, haitoshi hata kutumia kwa siku. Acheni mwigulu afichue magaidi wa nchi hii, mimi mwenyewe naandika huu ujumbe lkn naofia maisha yangu kwani chadema wanaweza kuning1oa meno bila ganzi,
naogopa kamatakamata,wasijekukamatwa na wasiotarajiwa.!!
Wewe pia unatakiwa uhojiwe, nina uhakika unajua mengi sana lakIni hutaki kuOngea
Sio siri you must be serious sick.Kuna tofauti kati ya mshitakiwa , mtuhumiwa na shahidi
Mshitakiwa ni yule mtu ambaye polisi wanaamini ametenda kosa na wana ushahidi wa kutosha kumfikisha mahakamani
Mtuhumiwa ni mtu ambaye ametajwa kuhusika na kosa la jinai lakini bado uchunguzi unaendelea ili kuthibitisha tuhuma hizo dhidi yake. Huyu anaweza kuachiliwa baada ya mahojiano na polisi au akashikiliwa kwa muda kituoni.
Shahidi ni mtu ambaye ana ushuhuda fulani juu ya kesi ya jinai na hutumiwa na polisi katika upelelezi, shahidi anaweza kuitwa wakati wowote kituo cha polisi kuhojiwa au akahojiwa nyumbani kwake atoe maelezo au sehemu yoyote ambayo polisi na shahidi wataona iko salama na haitamzuia kutoa ushahidi,
Kuna kitu kimoja watu wanashindwa kuelewa hapa.
Sio kila mtu anayeitwa kituo cha polisi ni mshitakiwa.
Maggid anaweza kuwa shahidi kutokana na ukaribu wake na Ludo (ambaye nina uhakika asilimia mia ni shushu wa CHADEMA) na anaweza kuwa kaitwa polisi kutoa maelezo yake, lakini kwa sababu Chadema wameishajiweka image ya uhalifu na kuwachukia polisi wao wataanza kulaani polisi hapa. Kumbukeni kuwa LUDO na Lwakatare wako ndani pamoja na yule kijana wa bukoba, hao lazima kwa namna moja au nyingine watakuwa wameanza kuimba huko lupango kwani kwenye sheria ya ugaidi polisi wanaruhusiwa kutumia mbinu zote kumfanya mtuhumiwa aongee.
Kama Mjengwa akionekana ana kesi ya kujibu basi nitakuwa nimekamilisha na mimi uchunguzi wangu ilikuwaje mawasiliano yangu na mjengwa yalikuwa yanakwenda kwa Dr Slaa na DJ moja kwa moja
Mjengwa kwa sasa anahojiwa kama shahidi hivyo acheni kutokwa povu na kama ni kamata kamata basi tutegemee wengi tu watakamatwa wengi tu kuanzia Dr Slaa Mpaka Mbowe.
Itakua kamatakamata ambayo in the process italifedhehesha Jeshi la Polisi ikiwa wahusika muhimu hawajakamatwa....
Itakua kamatakamata ambayo in the process italifedhehesha Jeshi la Polisi ikiwa wahusika muhimu hawajakamatwa....