Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,829
- 33,225
Hii wizara inahitaji wataalam wa mambo ya ulinzi na wabobezi
Nakubaliana nawe 100%
Hii wizara inahitaji wataalam wa mambo ya ulinzi na wabobezi
hadi jana wameshauawa watu 38
Bado sijaona Hoja ya Msingi ni kwanini mkomalie Mwigulu awajibishwe.
Je kuna sehemu Polisi wamekwamishwa kufanya kazi zao!!
Toeni Hoja ambazo ni very technical in connection to his role. Au tu ni kwavile ni Waziri wa hiyo wizara.
Kwanini isiwe ni RPC wa Pwani na chain yake ya Command hadi kwa commissioner wa Operation. Hoja iwe kama kuna hitaji lolote lakutekeleza kazi yao lilikwamishwa na Mwigulu.
Kwanini isiwe RSO wa Pwani anayehusika ktk kukusanya taarifa nakuzifanyia kazi kisha kutoa taarifa sahihi na kwa wakati zinazoweza kusaidia polisi au vyombo vingine kuchukuwa hatua kuzuia madhara.
Hoja iwe kuwa taarifa hizo zilikusanywa nakuchambuliwa na zilizomuhusu waziri Nchemba hazikuzingatiwa, alipuuza au kuchelewa kuchukuwa hatua.
Kipindi cha vita ya Kagera chukulia Askari wa adui kila kukicha wanapenya nakukamata maeneo yetu. Lakini wakati huohuo askari wetu wanapatiwa logistics zote wanazohitaji ili waweze kukabiliana na adui. Je ikitokea wanazidiwa tena wetu wapo wengi na silaha nzito zaidi mfano kwa uwiano wa 3:1. Je hapo waziri anahusikaje!! Hoja ingekuwa kama waziri alizembea walipohitaji logistics nk.
Tatizo letu huwa tukiona mtu fulani nyota yake inang'aa na anaweza kufanikiwa zaidi mbeleni basi JUHUDI ZINAFANYIKA ZA KUMCHAFUA NAKUTAKA AWAJIBISHWE HATA KWA SUALA AMBALO HALIMUHUSU.
Mbona hueleweki? Fafanua bossAmepigwa makofi huko, kavimba mashavu anauguza!
Kwa akili ya yule jamaa atakuja anasema wengine waliuawa wakati yeye si waziri anaonewa
Mkuu ni kweli,Nchemba na Makamba walipaswa kutumbuliwa zamani sana. na nadhani hawa ni muda tu, watatumbuliwa.Ila mimi naona ni kama mawaziri wote pamoja na Waziri Mkuu wao. Waziri Mkuu alikuwa moto mwanzoni lakini naye sasa kimya, Waziri wa elimu naye hivyo hivyo,Maghembe ndiye wala hajawahi kufurukuta,pamoja Mwakyembe na wengine.Ambao tunawasikia sikia ni Umi,Waziri wa Afya,Waziri wa Ardhi na Mbarawa.Sijui kuna nini.aliyoandka mkuu ni kweli kb sio mwigulu nnaemfahamu mm huenda ulikua humfatilii huko nyuma,,kapoa sanaaa,na makamba nae ndo JIIIII
Mkuu ni kweli,Nchemba na Makamba walipaswa kutumbuliwa zamani sana. na nadhani hawa ni muda tu, watatumbuliwa.Ila mimi naona ni kama mawaziri wote pamoja na Waziri Mkuu wao. Waziri Mkuu alikuwa moto mwanzoni lakini naye sasa kimya, Waziri wa elimu naye hivyo hivyo,Maghembe ndiye wala hajawahi kufurukuta,pamoja Mwakyembe na wengine.Ambao tunawasikia sikia ni Umi,Waziri wa Afya,Waziri wa Ardhi na Mbarawa.Sijui kuna nini.
Wewe unataka abaki kisa nini??Mwigulu atoke kisa kibiti ?
Non-senseKwa sababu watu 38 wamepoteza maisha chini ya wizara yake,idad ambayo inaipita ya wanafunzi na dereva waliokufa kwenye ajali ya Lucky Vicent,kama jeshi lililo chini yake limeshindwa kuwalinda watanzania wenzetu baso hana sababu ya kuendelea kuwepo ofisini
adadi rajab ni mpiga deal tuu
Why Adadi? Personal interest eee??Watanzania wengi tu tumechoshwa na Mauaji kibiti.
Hii wizara inahitaji wataalam wa mambo ya ulinzi na wabobezi kama Adadi Rajabu. Ushauri wangu Mwigulu sio strategic katika hili yeye ni mchumi , haitaji eleimu ya Chuo kikuu kuona kuwa kakwama 100%; Tunaweza sema tatizo lilikuwa IGP , katolewa IGP bado wembe ni ule ule. niwakati wa Mwigulu kuchukua maamuzi magumu ya kuachia ngazi ; Kama Ally Hassani Mwinyi , kule Shinyanga.
Si wa kwanza . Kaenda mpaka Kibiti kafanya Mikutano , Karusha picha za watuhumiwa na Donge nono . Bado Fail
CC JPM
Mbona waongea kwa mifano kila mara panapokuwa na kusanyiko la watuAmepigwa makofi huko, kavimba mashavu anauguza!
kibiti kuna maafa yeye anahangaika na mambo ya mpira mara yanga mara singida united
Wewe unataka abaki kisa nini??