Hata Sirro amekuja mauaji yameendelea,lakini kuondoka kuna mantiki kwakua watu 38 wamekufa huku yeye akiwq waziriMwigulu akitolewa mauaji yakiendelea utasema nini??
Watanzania wengi tu tumechoshwa na Mauaji kibiti.
Hii wizara inahitaji wataalam wa mambo ya ulinzi na wabobezi kama Adadi Rajabu. Ushauri wangu Mwigulu sio strategic katika hili yeye ni mchumi , haitaji eleimu ya Chuo kikuu kuona kuwa kakwama 100%; Tunaweza sema tatizo lilikuwa IGP , katolewa IGP bado wembe ni ule ule. niwakati wa Mwigulu kuchukua maamuzi magumu ya kuachia ngazi ; Kama Ally Hassani Mwinyi , kule Shinyanga.
Si wa kwanza . Kaenda mpaka Kibiti kafanya Mikutano , Karusha picha za watuhumiwa na Donge nono . Bado Fail
CC JPM
Kwahyo swala sio kukomesha mauaji bali ni mtu kujiuzuru?!Hata Sirro amekuja mauaji yameendelea,lakini kuondoka kuna mantiki kwakua watu 38 wamekufa huku yeye akiwq waziri
Kama ameshindwa kulisimamia jeshi kukomesha mauaji anapaswa kuondoka aje mtu mwingine atakayeweka mikakati ya kukomesha mauaji, bwana Mwigulu Nchemba kiuhalisia amezidiwa nguvuKwahyo swala sio kukomesha mauaji bali ni mtu kujiuzuru?!
Hakuna anayesema Mwigulu ndiye anayeua watu. Ila kwa kuwa wizara yake inahusika na ameshindwa kudhibiti, ndo maana anatakiwa aachie ngazi. Huo ni ustaarabu kwa mtu aliyeelimika. Unafurahiaje kufanya kazi ambayo matokeo yake hayaonekani? Ndiyo maana wenzetu walioendelea hata wakituhumiwa tu, hujiuzulu. Lakini njaa za mabara maskini, haziruhusu watu kujiuzulu. Pathetic.Mwigulu akitolewa mauaji yakiendelea utasema nini??
Hiyo ni chuki binafsi kwa MwiguluKwa sababu watu 38 wamepoteza maisha chini ya wizara yake,idad ambayo inaipita ya wanafunzi na dereva waliokufa kwenye ajali ya Lucky Vicent,kama jeshi lililo chini yake limeshindwa kuwalinda watanzania wenzetu baso hana sababu ya kuendelea kuwepo ofisini
Kwani MUHONGO ameondoka umepata nini?Mtu asipowajibika anawajibishwa, ambapo leo hii inaitwa KUTUMBUA,unaweza ukawa hupendi ila ndo utaratibu huo,ameshindwa kuwajibika anapisha,kama wewe unatafsiri simpendi Mwigulu basi huenda Magufuli ndo hawapendi anaowateuaHiyo ni chuki binafsi kwa Mwigulu
Hivi kwann watu hatupendani, akijiuzulu wewe utapata nn kwa mfano...
Upo sahihi,abaki kuwa Mbunge tuHata akitenguliwa Mwigulu maana ni maamuzi ya aliyemteua lakini sishauri uteuzi wa Adadi Rajabu kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwasababu ninazozijua Mimi.
Pamoja na Fani yake ya ukachero lakini kwa Serikali ya Magufuli hapana.
Hivi kweli tumefika hapo, I don't think so.Mwigulu wa awamu ile sio Mwigulu wa sasahivi
Makamba wa awamu ile sio Makamba wa sasahivi.
Hawa wote hawaonyeshi tena Yale makeke yao kwa hofu ya kuambiwa wanajijenga na kukinyemelea kiti cha Mkuu.
Wizara yake inahusiana na usalama wa raia na mali zaoKwani yeye ndiye kawaua?
Yeah but kuhusika haitoshiWizara yake inahusiana na usalama wa raia na mali zao