Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Hivi kwa nini huwa mnapenda kujadili bila kutaja vifungu vya Kanuni au Sheria vilivyokiukwa.
Au kwa sababu mna hakika kuna vilaza wataingia kichwakichwa kujadili bila kudai vifungu hivyo?
Au kwa sababu mna hakika kuna vilaza wataingia kichwakichwa kujadili bila kudai vifungu hivyo?