Acheni umbumbumbu, raia wa mtwara wanalishwa sumu wasizozijua, binafsi nimefatalia sana matakwa ya raia wa Mtwara, na kwa zaidi ya asilimia 99% matakwa yao yameshaelezwa ni jinsi gani yatatekelezwa na ambayo yameshaanzwa fanywa kwa upendeleo!!
Hivyo mimi nasikitishwa na watu mnaocomment ujinga wakati ukweli wa mambo unafahamika, fuatalieni mambo kwa pande zote mbili ndipo mtakaporealize kuwa raia wa Mtwara hawajui hata wanachopigania!!!!!!
Profesa na crew yako yote endeleeni kuchapa kazi kwani ipo siku watanzania wataelewa juu ya hiki mnachowaeleza leo!!!