Sakata la DC anayejengewa nyumba na mwekezaji

Kuhani,

Tanzania bado tuna standards za chini sana, hatuna "zero tolerance" kwenye mambo ya rushwa na mengine muhimu yanayohusu maendeleo yetu.

Hata wabunge machachari kama kina Zitto wanakuwa wanasuasua, huko bungeni kuna politics kibao na ma coalitions kwa hiyo na wao wanakuwa wanauma na kupuliza, hawataki ku "step on people's toes" they play it safe, compromising principles for security. Hatuna "Profiles in Courage" types, at least not in the spotlight.

Those who compromise principles for (false) security will end up with neither.

Zitto tulitegemea uonyeshe njia kwa cheche za kizazi kipya, majibu yako hapa yanakufanya uonekane kama ushachoka.

Lakini Kiranga, what ever happened to him though?

Hivi unajua nikiulizwa ni nani aliye introduce balls and acumen za kushutumu mawaziri Bungeni in recent history nitasema ni Zitto Kabwe?

Yeye si ndo alimwanzishia moto Karamagi, akalaaniwa Bungeni, aka-recover with a deeper political profile, halafu ndio wabunge wenzake, CCM na wapinzani, wakaona anhaa, kumbe ni poa kuwawashia moto hawa Wakulu? Remember tulikotoka Kiranga, wabunge walikuwa wanafungwa jela kwa kubishana na serikali wakati wa baba yetu wa Taifa. Zitto tried successfully to buck that system. Sasa what got into him?

He has nothing to gain. Angekuwa CCM tungesema anatafuta wizara. Angekuwa hajawahi kutishwa tishwa Bungeni tungesema anaogopa, lakini the man is used to receiving the most vicious repudiation by his fellow law makers short of being kicked out of the house. He has nothing to lose. Kama ni posho, bado ataipata tu, nadhani kiti cha Kigoma Kaskazini he is a shoe in for the foreseable future. I mean, he has nothing to gain, nothing to lose. He is anything but fisadi, I will testify under oath against anybody who mentions his name next to the F word. So what is it?

What drives his contemporary political thinking?
 
Lakini Kiranga, what ever happened to him though?

Hivi unajua nikiulizwa ni nani aliye introduce balls and acumen za kushutumu mawaziri Bungeni in recent history nitasema ni Zitto Kabwe?

Yeye si ndo alimwanzishia moto Karamagi, akalaaniwa Bungeni, aka-recover with a deeper political profile, halafu ndio wabunge wenzake, CCM na wapinzani, wakaona anhaa, kumbe ni poa kuwawashia moto hawa Wakulu? Remember tulikotoka Kiranga, wabunge walikuwa wanafungwa jela kwa kubishana na serikali wakati wa baba yetu wa Taifa. Zitto tried successfully to buck that system. Sasa what got into him?

He has nothing to gain. Angekuwa CCM tungesema anatafuta wizara. Angekuwa hajawahi kutishwa tishwa Bungeni tungesema anaogopa, lakini the man is used to receiving the most vicious repudiation by his fellow law makers short of being kicked out of the house. He has nothing to lose. Kama ni posho, bado ataipata tu, nadhani kiti cha Kigoma Kaskazini he is a shoe in for the foreseable future. I mean, he has nothing to gain, nothing to lose. He is anything but fisadi, I will testify under oath against anybody who mentions his name next to the F word. So what is it?

What drives his contemporary political thinking?

The problem is deeper than purpoted, you seem to think there is a thinking, a strategy, a design. I do not see any consistent pattern, any central principle adhered vehemently to, any courageous position in the name of public service.

What I see is a rather subtle Machiavellian jockeying touted amid a delicate high wire act guised in the name of the people. The difference between this act and the real deal is that this act is instilled with the fear of the police state and what the intelligentsia and our version of the illuminati can do to make or break a political career.The earlier Zitto had the advantage of a positive naivete, what Barack Obama would call "The Audacity of Hope", but currently that hope has been boiled to evaporation and in it's place a tactful, cold, calculating and play-it-safe politician is emerging.
 
The problem is deeper than purpoted, you seem to think there is a thinking, a strategy, a design. I do not see any consistent pattern, any central principle adhered vehemently to, any courageous position in the name of public service.

What I see is a rather subtle Machiavellian jockeying touted amid a delicate high wire act guised in the name of the people. The difference between this act and the real deal is that this act is instilled with the fear of the police state and what the intelligentsia and our version of the illuminati can do to make or break a political career.The earlier Zitto had the advantage of a positive naivete, what Barack Obama would call "The Audacity of Hope", but currently that hope has been boiled to evaporation and in it's place a tactful, cold, calculating and play-it-safe politician is emerging.


Kiranga na Kuhani

thanks for the wake up call to Zitto. Is Zitto acting the same as the Mzindakaya's and Cheyo's of the world?

It has been a trend of some of the strong voices to be the weakest after sometime. You want to think that he is not among those whose trend of 'ushupavu katika upiganiaji maslahi ya Taifa' is inversely proportional to the cooling aid provided!

I hope 'Kamati ya madini' or whatever the name was, wasn't a cool aid to this young dude.
 
Last edited:
Kinachinisikisha kwenye hili shamba, Mwaka 2004 nilienda hapo na wanakijiji wazungukao hilo shamba walipopata taarifa linataka kuuzwa waliunda task force kwa ajili ya kulinunua wao maana tayari walikua wanalima kwa kukodisha baada ya serikali kushindwa kuliendesha.

walitender kama wawekezaji wengine na walitoa ushindani mkubwa sana nakumbuka ni around 5 - 6Billion na walijitahidi kuweka mtu wao kufuatilia.
ilipoonekana hawakuwa na upinzani PSRC ikataka kuwaondoa wakapata taarifa wakaenda kwa waziri mkuu by then Sumaye akawaambia watapewa.
Kilichofuatia ile tender ilifutwa ikabidi watu waombe upya wakaombe tena.

Mmmoja wa wabunge wa CCM ambaye ndiye alikuwa analitaka hilo shamba
akaanza vitisho kwa baadhi ya viongozi wa wakulima hao kuhakikisha hawakai pamoja, mbali na kutishiwa waliweka msimamo Sumaye ambaye walikua wanamtegemea kuwasaidia akajiunga upande wa mafisadi hao wanakijiji wakakosa shamba ila (najua Mungai, na mmojawapo wa wabunge wa mbeya) ndio wanamiliki shamba hilo.

Nimetembelea miradi mingi ya mpunga nchini mfano Mgeta ifakara, huu wa Mbarali kapunga pia kuna mwingine maeneo hayo ya karibu, Kuna ule wa mbozi nimeusahau jina, dakawa, na ule wa Kwamsisi. Huo wa Mbalali kwa kweli nimradi ambao tusingekuwa tunalia njaa nakuomba msaada wa chakula.

Mradi mwingine wa mpunga ambao ni sawa na huo wa Mbarali(kapunga) ni Mgeta huko ifakara wenye hekta 12,000 ikiwa 6000 ndio zilishakuwa developed ambapo irrigation inaweza kutake place. Kuna Hydropower, buildings, workshops, tractors, combined harvesters, airstrip, Tazara railway ipo mlangoni mwao, mto Mgeta unamiminika maji mwaka mzima lakini hilo shamba liko msitu hakuna kinachofanyika.

Kuna shamba jingine lipo kwamsisi Tanga hekta 3000 zipo zipo tu. Na tutaendelea kulia njaaa food inflation itatutafuna hadi mwisho.

ya mbarali yanakuja kwenye hayo mashamba mengine. Dakawa walifanikiwa walau wakulima wadogo kuyapata mashamba na ni productive kwa figure nilizopata 2007 production/hekta ilikua 6tones of paddy from 2.5tones
 
Lakini Kiranga, what ever happened to him though?

Hivi unajua nikiulizwa ni nani aliye introduce balls and acumen za kushutumu mawaziri Bungeni in recent history nitasema ni Zitto Kabwe?

Yeye si ndo alimwanzishia moto Karamagi, akalaaniwa Bungeni, aka-recover with a deeper political profile, halafu ndio wabunge wenzake, CCM na wapinzani, wakaona anhaa, kumbe ni poa kuwawashia moto hawa Wakulu? Remember tulikotoka Kiranga, wabunge walikuwa wanafungwa jela kwa kubishana na serikali wakati wa baba yetu wa Taifa. Zitto tried successfully to buck that system. Sasa what got into him?

He has nothing to gain. Angekuwa CCM tungesema anatafuta wizara. Angekuwa hajawahi kutishwa tishwa Bungeni tungesema anaogopa, lakini the man is used to receiving the most vicious repudiation by his fellow law makers short of being kicked out of the house. He has nothing to lose. Kama ni posho, bado ataipata tu, nadhani kiti cha Kigoma Kaskazini he is a shoe in for the foreseable future. I mean, he has nothing to gain, nothing to lose. He is anything but fisadi, I will testify under oath against anybody who mentions his name next to the F word. So what is it?

What drives his contemporary political thinking?

I still think you are unfair to me because of inadequate knowledge you have on how parliamentary committees work. I dont want to be defensive here. I went to Mbarali as a a Chair of the Parliamentary Committee with other members from different parties. I have to show leadership within my committee by not mixing my CHADEMA views and those of the Public Investments Committee. Decision of the Committee will be presented during next parliamentary session. And i hinted the feelings of the members of my committee.
As a leader i think it is wiser to wait and present our findings during 16tth parliamentary session.

Regarding other views you have on me, those are your views and i appreciate you have made them public and i take them as challenges.
 
Mlitaka Mhe Zitto aseme nini? maana ameshasema na nadhani anafuatilia sana more than mnavyofikiri au mnataka akurupuke na kuanza kuongea ovyoo? Hayo mambo ya kujengewa mbona ni mengi tuu utadhani hamjuii? Hata Mzee mwanakijiji aliwahi kuweka nyumba inayosemekana ni ya Raisi wa nchi na anajengewa ndio itakuwa nyumba ya DC (Ya CCM), kuna mfanyabiashara alitoa tshs 400mil kwa ajili ya mkutano wa vijana wa CCM ndio watashindwa kujenga nyumba tena mbeya!! Jiweke kwenye viatu vyake ungekuwa wewe ungefanyeje? (Mpe ushauri afanye nini, sio kumshambulia tuu.
 
The problem is deeper than purpoted, you seem to think there is a thinking, a strategy, a design. I do not see any consistent pattern, any central principle adhered vehemently to, any courageous position in the name of public service.

What I see is a rather subtle Machiavellian jockeying touted amid a delicate high wire act guised in the name of the people. The difference between this act and the real deal is that this act is instilled with the fear of the police state and what the intelligentsia and our version of the illuminati can do to make or break a political career.The earlier Zitto had the advantage of a positive naivete, what Barack Obama would call "The Audacity of Hope", but currently that hope has been boiled to evaporation and in it's place a tactful, cold, calculating and play-it-safe politician is emerging.

Bravo Kiranga and Kuhani for your piercing, candid and down-to-earth analysis. Who would have imagined a few months ago that Zitto would be in the forefront to rally behind corrupt Idris Rashid of TANESCO in his bid to make the Government spend again millions of our hardly-earned foreign exchange to acquire tainted second-hand Dowans generators? One JF member once insinuated and wondered why Zitto maintains close fraternal relations with Tanzania's underworld godfather, RA. I was one of the people who laughed it off as cheap political conjecture to tarnish our young hero's image. Kumbe ni kweli bwana: Zitto atamshutumu kila mtu including Slaa, Mbowe na JK, but not his mentor and capo de tutti, RA! Sasa Godfather anaitaka hiyo fedha ya Dowans: wanaochangamkia tenda hii kwa nguvu ni wale walio kwenye payroll ya Godfather, sadly hata Zitto!
 
Bravo Kiranga and Kuhani for your piercing, candid and down-to-earth analysis. Who would have imagined a few months ago that Zitto would be in the forefront to rally behind corrupt Idris Rashid of TANESCO in his bid to make the Government spend again millions of our hardly-earned foreign exchange to acquire tainted second-hand Dowans generators? One JF member once insinuated and wondered why Zitto maintains close fraternal relations with Tanzania's underworld godfather, RA. I was one of the people who laughed it off as cheap political conjecture to tarnish our young hero's image. Kumbe ni kweli bwana: Zitto atamshutumu kila mtu including Slaa, Mbowe na JK, but not his mentor and capo de tutti, RA! Sasa Godfather anaitaka hiyo fedha ya Dowans: wanaochangamkia tenda hii kwa nguvu ni wale walio kwenye payroll ya Godfather, sadly hata Zitto!

Fataki unajua kufyatuka wewe. Kama Zitto angekuwa mpambe wa RA angezunguka nchi nzima kusema Kagoda ni ya Rostam Aziz?

Tatizo la Zitto ni kujifanya objective na kutazama maslahi ya taifa, wakati mwingine anatelezwa na kuingizwa mkenge.

Na katika hili la TANESCO ukisoma habari za magazetini inaonyesha hoja alizotoa Iddrissa Rashid zimemvutia kuhusu taifa kupata mgawo wa umeme. Sasa ni vyema Zitto akakumbuka kwamba Dr Rashid ni fisadi toka enzi za Rada ya chenge na pale TANESCO amewekwa na Rostam kuwezesha madili ya Richmond na sasa Dowans.

Ushauri wangu kwa Zitto, achana na hiyo issue ya Dowans, itawapa wakina fataki hoja kuwa unaswahiba na Rostam wakati si kweli.

Endelea kuwaeleza watanzania ufisadi wa Rostam kuhusu Kagoda, mitambo ya umeme nchi itafute mingine. Inapatikana kabisa, kama hujui kama Mwenyekiti hebu waelize wajumbe wa JF humu watakupa hoja ukaongoze kikao vizuri zaidi.

Asha
 
Fataki unajua kufyatuka wewe. Kama Zitto angekuwa mpambe wa RA angezunguka nchi nzima kusema Kagoda ni ya Rostam Aziz?

Tatizo la Zitto ni kujifanya objective na kutazama maslahi ya taifa, wakati mwingine anatelezwa na kuingizwa mkenge.

Na katika hili la TANESCO ukisoma habari za magazetini inaonyesha hoja alizotoa Iddrissa Rashid zimemvutia kuhusu taifa kupata mgawo wa umeme. Sasa ni vyema Zitto akakumbuka kwamba Dr Rashid ni fisadi toka enzi za Rada ya chenge na pale TANESCO amewekwa na Rostam kuwezesha madili ya Richmond na sasa Dowans.

Ushauri wangu kwa Zitto, achana na hiyo issue ya Dowans, itawapa wakina fataki hoja kuwa unaswahiba na Rostam wakati si kweli.

Endelea kuwaeleza watanzania ufisadi wa Rostam kuhusu Kagoda, mitambo ya umeme nchi itafute mingine. Inapatikana kabisa, kama hujui kama Mwenyekiti hebu waelize wajumbe wa JF humu watakupa hoja ukaongoze kikao vizuri zaidi.

Asha
Asante Dada/Mama Asha kwa kutoa ushauri, maana kuna wengine wanakuja na kuropoka na kuandika (kushutumu) tuu na wala hawatoi ushauri, yaani kama wangekuwa wao kwenye position yake wangefanya nini? Maana sio kila siku tunaangalia nini cha kupinga naomba tuwe tunatoa mawazo ya nini kifanyika/afanye ili kuboresha na ninavyojua atakuwa ni mtu makini na anayepokea ushauri. Mimi nitakachosema kama Mhe Zitto unasimamia hili wewe angalia maslahi ya Taifa na kwenda mbele.
 
Mnamwonea tu Zitto. Zitto hajawahi kuwa mwajiriwa serikalini wala kwenye mashirika/asasi za serikali. Hivyo ana kazi ngumu kidogo kujifunza mashirika ya umma yanavyoendeshwa. Nilisikia matamshi yake kuhusu DAWASA/DAWASCO nikajua bado ana safari ndefu ya kujifunza na kuyajua mashirika ya umma ili awe mwenyekiti mzuri. Bahati nzuri Zitto anasikiliza na anasoma sana.
 
si haki kukaa kwenye computer ukiwa USA, AU ULAYA KUANZA kuwakatisha tamaa watu kama akina zitto, tunao wachache sana, ninachofikiri hapa huenda hawa wanaompinga zitto ni akina karamagi nk

ni vema kumsaidia zitto kwa mfano mlioko usa au ulaya

tupeni quatation ya mitambo kama ya dowans uk-prove kuwa fisadi rashid yuko wrong
 
Sakata la DC anayejengewa nyumba na muwekezaji au sakata la zitto na blah blah!!!!!? kwanza wasikupe pressure hivyo wewe peke yako hauwezi kufanya kila kitu na pia wanapaswa watambue na wewe una misingi unayoifuata si kila linalofikiriwa na akina flan na flan, badala ya kuongeza nguvu zenu baada ya kuona za zitto zinapungua ndio mnaongeza kasi kuzipunguza. ACHENI UVIVU SOTE TUNAWAJIBU WA KUPIGANIA TAIFA HILI NA SI KUMBEBESHA MAJUKUMU YOTE MUHA WA WATU..aaaaaghr
 
Sakata la DC anayejengewa nyumba na muwekezaji au sakata la zitto na blah blah!!!!!? kwanza wasikupe pressure hivyo wewe peke yako hauwezi kufanya kila kitu na pia wanapaswa watambue na wewe una misingi unayoifuata si kila linalofikiriwa na akina flan na flan, badala ya kuongeza nguvu zenu baada ya kuona za zitto zinapungua ndio mnaongeza kasi kuzipunguza. ACHENI UVIVU SOTE TUNAWAJIBU WA KUPIGANIA TAIFA HILI NA SI KUMBEBESHA MAJUKUMU YOTE MUHA WA WATU..aaaaaghr


umenena! huu si wakati wa kutaka kila kitu afanye zitto, wote tuamke hakuna takayetupa haki zetu kwenye sahani ya dhahabu
 
Back
Top Bottom