Nibozali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 572
- 1,055
Kwa kuwa tunadhamira kweli ya kutokomeza suala hili, na kwa kuwa hili suala halitamuacha yeyote yule, basi ingekuwa huyu ndugu bado yuko kwenye uongozi naye ningeshauri uchunguzwe Mara moja maana katika kipindi chake biashara hii ilishamiri sana na hakukuwa na mikakati yakinifu Kyoto jokes an kama ilivyo kwa sasa katika jiji LA dar chini ya Kamanda Siro . sijui wewe unasemaje?