Sakata la Dangote kaa la moto

Sakata la Dangote kaa la moto

bei ya cement huko nyuma imekuwa ikishuka na kupanda bp ya mgonjwa. ujio wa dangote umeiweka bei ishuke na itulie. wananchi tungependa kuuziwa bidhaa kwa bei nafuu LAKINI isiyo ni mtokeo ya mizengwe ya ukwepaji kodi au taratibu za misamaha ya kodi zenye utata. maelewano ni muhimu, lakini yasiongozwe na wawekezaji kuchukua nyama nono na kutuachia mifupa kama ilivo kwenye madini na makampuni ya kuzalisha umeme.
 
Tanzania kweli ni kubwa, nilipokuwa nasikia ''kua uyaon'' nilikuwa sijui nini maana yake! sasa naanza kuyaona kwa huyu raia alieandika huu utumbo
 
Mm napita tu ila nahisi hawa wahindi si wazuri kwa Dangote cement [HASHTAG]#kuta[/HASHTAG] kitu ndani yake
 
Mtoa Mada Kwa Swali Hili.
Kweli Watanzania wengi ni Villaza.

Biashara siku zote kama Haikulipi Unafunga na yeye Dangote ndiyo Mwenyewe Kiwanda Akiamua Kufunga Hakuna wa Kumzuia.
Ujamaa ni laana mkuu.Hizo ndizo akili za CCM kila level.Huyu anaweza kuwa mtu mkubwa sana ccm,sasa anafanya propaganda ili wakimwomba wasema kanywea. Si unakumbuka Magu akiwa ktk ujenzi,watu walikataa kuendelea na kazi akaowamba wachina na wazawa,aliporudi bungeni akapaza sauti sana.Kwamba wamelipwa wote na asiyetaka anapigwa chini.Mwezi tuu baadae akarudi ktk mkutano na wakandarasi wa ndani akawaomba na kulipa kiduchu huku watu wakilia. Hawa ndio wajamaa wanapenda kufa na suti shingoni bila sababu.
 
Tumpe ushirikiano JPM,mchwa ni wengi sana
Hakika kiwanda cha Dangote ni jipu kubwa kama IPTL au ESCROW account. Mkulu asipokaza buti hataweza kulitumbua. Kelele kubwa tunazozisikia ni za wapambe wa wenye maslahi ambao wana mikono kama ya pweza kwani wapo kwenye shughuli zote kubwa za kiuchumi za nchi hii. Kwenye vitalu vya gesi wapo, vitalu vya urani wapo, IPTL wapo, Bandarini wapo. Kwa kifupi wanamwonya mkulu asitake kukata mkono unaomlisha. Yetu sisi nyasi ni maumivu au kwa lugha ya kisasa ni kuisoma namba.
 
Wachina pekee ndio wenye uwekezaji unaolindwa , wengine ni shida tupu ! Nadhani ni kwa vile balozi wao ni mwanachama wa ccm .
 
Oo bavicha mmeumbuka kiwanda hakina shida na serikali ila kiko kwenye matengenezo
Haya sasa haya yote ni matengenezo??
 
Busara inatakiwa itumike maana Tajiri bilionea tena wa kimataifa kama Dangote akifunga biashara zake ina maana wawekezaji karibu wote duniani watatishika sana na hali ya uwekezaji nchini.Tena wakikumbuka na utaifishwaji uliotokea baada ya Azimio la Arusha,taswira ya Tanzania inaweza kuchafuka vibaya sana kimataifa.
Hilo ni kovu kubwa na baka lisilo tazamwa mara mbili!! kutaifisha ni WIZI na unyanganyi Mtupu.. !! Hadi leo halijasahauliwa... na halitosahauliwa !!!
HULKA ya waTZ ni wezi na hasa wa kimataifa...!! Ndo maana LA'ANA haichezi mbali !!!
Hashakuma... "samahani kwa ukweli"
 
Kwan atafunga milele...anafunga kwa miaka 9 akija rais mwingune anayeelewa mambo ya uwekezaji wataongea terms upya atafungua

term gani za kijinga inakuwaje mwekezaji mkubwa kama buyo anatakupata mbeleko ya 98% je akina twiga cement, watafanyaje biashara yao
huku kukiwa hamna fair compitition
 
Kwa taarifa yako Dunia inaongozwa na biashara siyo viwanda.
Ndio maana mnalipa capacity charges kwa IPTL bila kupata hata unit moja ya umeme hiyo inaitwa biashara.
Serikali imepatwa ugonjwa wa kichaa
Mkuu Tunakuelewa ila tumia neno la upole. Duh! "Kichaa"
Hilo ni kali shusha pumzi!
 
Tatizo kubwa ni kuwa bei ya gesi kwa Tanzania ni kubwa sana ukilinganisha na sehemu nyingine na hii inatokana na labda na mikataba ya uchimbaji pamoja na usafishaji wa gesi na hapo ndiyo tatizo lilipo

Ni kweli yawezeka bei ya gesi iko juu.
Lakini hata hivyo basi mazungumzo ndo suluhisho.
Ama unaonaje mkuu?
 
Naona tumeshasahau suala la wahanga wa Kagera, sasa tumejikita kwa DANGOTE.

Nchi ina mambo hii!
 
HAPA NI "KAZI ..KAZI...KAZII...KAZI TUUUUUUUU
 
Mbona unawaza kitoto sana yaani unafurahia dangote kufungwa?
Sina hakika kama umefatilia hili sakata vzuri au na ww ni moja Ya wanadhi wa wale wanasiasa wanaotumika na Dangote kutaifisha ile dhana ya Dangote kutumia rasilimali zetu Dangote anaagiza makaa Ya mawe kwa kisingizio kuwa Ya kwetu hayana ubora (ash content yake ni kubwa) hatukatai ila lipa kodi..last year aliagiza gypsum na hakulipa kodi this year TRA walizua meli Yake pale bandar ilikuwa na gypsum pia from Oman wakati lindi ipo na anadeni kama la 1billion la VAT (sina hakika kama kalipa)...sasa unawekeza kwenye cement hununui limestone from lindi wala makaa ya mawe from Ngaka wakat Tayar ana contract na Tancoal waproduce coal almost 13500 Tonnes a year unataka bado kuwekeza kwetu wa nn ? unamsaada gani ?
 
yetu macho si wanyonge wa madaraka na pesa
 
Wakati mwingine inabidi kutafakari zaidi ya hapa tunapoishia..Nashangaa kuona ili sakata kwasasa linatazamwa n.a. kujadiriwa kwa mtazamo wa itikadi za kisiasa...Leo mtu anadiriki kusema kiwanda kifungwe tu n.a. Dangote aondoke...Kabla ya hapo jiulize faida gani tunapata n.a. aliondoka?
Pia wengine eti vipi Twiga nk itakuaje nao wakitaka punguzo. .jibu ni rahisi Dangote amefanya mkataba kama kampuni n.a. sio kama makampuni ya kuzarisha saruji..
Hivi Dangote n.a. makampuni mengine kama ya uchimbaji wa madini ni yupi analifirisi Taifa?
Mwaafrika zinduka kumekucha
 
Back
Top Bottom