Sakata la Dangote kaa la moto

Sakata la Dangote kaa la moto

Kwan atafunga milele...anafunga kwa miaka 9 akija rais mwingune anayeelewa mambo ya uwekezaji wataongea terms upya atafungua
 
Huyo kapotea step kuja kuwekaza Tanzania.... Alijua ni Nchi imesimama vizur ktk utawal kumbe kaingia choo cha kike .

DONGOTE GROUP ni taasisi kubwa sn sn sn Afrika ktk uwekazji Tanzania tunachezea Shilling chooni .

Ss Tz tunawezwa na macompuni ya watu (weupi) tu .
 
Wapiga dili wapo nyuma ya Dangote Cement.
Magufuli stand attentively, or else u will be shaken.
 
Uzuri dangote kila nchi inamuangalia , ni vigumu sana leo ababaishwe na tanzania
 
Ni wengi sana. Tumpe ushirikiano tu.
Tatizo kubwa ni kuwa bei ya gesi kwa Tanzania ni kubwa sana ukilinganisha na sehemu nyingine na hii inatokana na labda na mikataba ya uchimbaji pamoja na usafishaji wa gesi na hapo ndiyo tatizo lilipo
 
Maelezo ya mkurugenzi mtendaji wa TPDC Yana make sense!
Dangote company maelezo Yao hayajitoshelezi!
 
Afunge kiwanda asifunge ni maamuzi yake mwenyewe.

Mwekezaji yoyote ni lazima afuate taratibu za nchi yetu na siyo matakwa yake.

Alipoamua kuja Tanzania kuwekeza ni kuwa alifahamu kuwa toka ujenzi mpaka uzalishaji utaratibu utakuwaje wa biashara yake.

Na akienda kinyume na makubaliano na kazi ya Serikali kulinda maslahi ya nchi na mwanainchi wake.

Hakuna mwekezaji yoyote aliyejuu ya Serikali,wawekezaji wamewekewa mazingira wezeshi ya kufanya biashara zao na Serikali itahakikisha usalama wa wawekezaji na biashara lakini kwa kufuata makubaliano na sheria na nchi.
Naona huo ndio mwisho wako wa kufikiri
 
It seems wazee wa kazi walishaingilia kati na ''kuweka mambo sawa''. DANGOTE jana wamekuja na press release ati wanasimamisha kwa muda kidogo tu ili kufanya marekebisho ya mitambo. Zile sababu sijui za kukosa (kunyimwa) umeme, bei ya makaa ya mawe ya nchi hii kuwa juu sana, makaa ya mawe kuwa na low quality etc. zimeyeyuka kama barafu kwenye kaa la moto. Bwana yule hajaribiwi ati.
 
Zitto na amtaje huyo/hao wa awamu ya nne wanaohisiwa vinginevyo yeye ZZK ndio analeta utoto na yale mambo ya ff
Nami naunga mkono Zitto. awataje hao wanasiasa. Nimechoka na wawekezaji kadhaa, viwanda kadhaa, sasa wanasiasa kadhaa. Mnawaogopa nini kuwataja?
 
Kuna watu wanajua kudandia mwanya wa kuponda serikali a JPM, mngejua mngefunga midomo yenu maana mkijua vichwa vyenu vitapasuka. Pia mkijua wengine kwa kumchuka JPM kuwabania vya dezo mtaponda tu, huku roho zinawauma na mengine.
 
Ziito hawezi kuwa msemaji.Hii nchi ina makosa kila idara, hata mkemea makosa ni muovu.ZZK si alikuwa swahiba wa JK ktk hii kitu sasa atakuwa vipi na moral authority ya kukemea serikali hii wakati hat ailiyopita nao ilifanya makosa mengi ktk kumwingiza dangote? Wote ni waovu tuu.
 
yaani tunaua kiwanda kwa sababu ya kuwakomoa wanasiasa fulani?
Kama anahitaji nafuu zaidi ya nchi inavyoweza kutoa, na kwenyewe kuna tatizo.

Leo hii kuna watu kibao, wengine wamo humu, wamekuwa wakilalamika sana kuwa serikali ni wapole sana wanapodeal na wawekezaji. Kwamba wawekezaji wananufaika zaidi kuliko nchi. Sasa serikali imejipanga ili nchi ifaidike hao hao wanalalamika.

Dangote anahitajika sana Tanzania na ni muhimu sana kwa uchumi wetu. Naye anatuhitaji sana. Hivyo, lazima kuwe na win win situation.
 
Kwa akili za Lumumba hapo ndio wamewaza mpaka mwisho, eti hawezi funga kiwanda kwa kuwa amewekeza pesa nyingi hivyo hawezi funga, haki ya nani nchi hii inarudishwa nyuma na ccm na awamu hii ndio ina speed balaa
 
Sakata la Dangote ni suala la muda tu.
Ukweli utabainika.
 
Watanzania acheni unafiki maisha magum mnajidai mambo yako powa nyie vipi yaani kuna mijitu mijinga jinga mnoooo

Biashara zimenuna kiroo mbaya sio dangote tu watu wote ari jojo dhoof ilhali
 
Nauliza tu uwezo anao au ni mkwara tu ili ashinikize matakwa yake ? Na kama anao huo uwezo ni nani atalipa gharama ya uwekezaji wote? Ikumbukwe hiki ni moja kati ya Viwanda vyake vikubwa, sasa Je ana uwezo kupoteza hiyo hela au ndiyo tujiandae kwa Mapinduzi ya Serikali yetu kupindiliwa?
Anao kwani si bima zetu zi talipa? Na km unataka aone utakuwa umefikiri vibaya sana.Smart people huwa hawawafikishi watu wanaowaheshimu mahali pa kujaribu kupigana. Wakijaribu na kushinda ndio umepoteza. KM BHAKHRESA ALIJARIBU NA AKAWEZA KWA KUTISHIA KUFUNGUA VIWANDA AMBAVYO KIUHASILIA VILISHAPANGWA MIAKA ZAIDI YA 5, Na kwa vile waswahili hamsomi historia wal kuwa na kumbukumbu.MKaingia na Jamaa kaenda jicehkesha pale na kuahidi mbingu na nchi kwa mtu aliyekwepa kodi sana.
 
Back
Top Bottom