thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
BBC wamekua wepesi sana kurusha matamko dhidi ya Tanzania yatolewayo na shirika la afya duniani kupitia wakurugenzi wake kuhusiana na ugonjwa wa covid 19 hasa yale yenye kuonyesha mbinyo kwa nchi yetu.
Jana pia dira ya mchana lilitolewa tamko na mkurugenzi mkuu kanda ya Afrika lenye kuitaka Tanzania ijitafakari kuhusu chanjo na iwe tayari kushirikiana na WHO na nchi za kiafrika, kudhibiti covid 19, kwangu mimi hili ni debe la biashara tu.
Jana hiyohiyo KM wa afya, professor Mchembe aliipangua kauli ya MD huyo kanda ya Afrika. Ufafanuzi wa Mchembe ulikuwa makini na wenye kufikirisha sana kwa anae jitambua.
Professor Mchembe alisema Tanzania haiko tayari kwa chanzo hizo, kwani nchi nyingi zimetengeneza chanjo ya virus hivi, China, Amerika, Russia, German, Brazil, India nk, Je, tutumie chanjo ipi ambayo ni salama ikizingatiwa virus hawa wanajibadilisha kila uchao.?
Kwakuwa professor Mchembe maelezo yake yalimfunika MD wa WHO kanda ya Afrika, BBC wakaipotezea habari hii yenye kufumbua macho waafrika.
Kwangu mimi hii ni kauli thabiti sana.
Na ndipo suala la uharaka wa chanjo hizi zilizogunduliwa kwa kukiuka kanuni utajua zimelenga biashara, yaani tatizo limetengenzwa ili kujipatia faida kubwa huku baadhi ya wanadamu wakiangamia pasi hatia yoyote.
Naipongeza serikali kwa kua makini sana katika kucheza ngoma hii ya ma babylons.
Namalizia kwa kusema BBC na DW ni radio za wakoloni zenye kazi moja tu ya propaganda mfu dhidi ya anayepinga udhalimu wa mabeberu, chukua tahadhari.
Jana pia dira ya mchana lilitolewa tamko na mkurugenzi mkuu kanda ya Afrika lenye kuitaka Tanzania ijitafakari kuhusu chanjo na iwe tayari kushirikiana na WHO na nchi za kiafrika, kudhibiti covid 19, kwangu mimi hili ni debe la biashara tu.
Jana hiyohiyo KM wa afya, professor Mchembe aliipangua kauli ya MD huyo kanda ya Afrika. Ufafanuzi wa Mchembe ulikuwa makini na wenye kufikirisha sana kwa anae jitambua.
Professor Mchembe alisema Tanzania haiko tayari kwa chanzo hizo, kwani nchi nyingi zimetengeneza chanjo ya virus hivi, China, Amerika, Russia, German, Brazil, India nk, Je, tutumie chanjo ipi ambayo ni salama ikizingatiwa virus hawa wanajibadilisha kila uchao.?
Kwakuwa professor Mchembe maelezo yake yalimfunika MD wa WHO kanda ya Afrika, BBC wakaipotezea habari hii yenye kufumbua macho waafrika.
Kwangu mimi hii ni kauli thabiti sana.
Na ndipo suala la uharaka wa chanjo hizi zilizogunduliwa kwa kukiuka kanuni utajua zimelenga biashara, yaani tatizo limetengenzwa ili kujipatia faida kubwa huku baadhi ya wanadamu wakiangamia pasi hatia yoyote.
Naipongeza serikali kwa kua makini sana katika kucheza ngoma hii ya ma babylons.
Namalizia kwa kusema BBC na DW ni radio za wakoloni zenye kazi moja tu ya propaganda mfu dhidi ya anayepinga udhalimu wa mabeberu, chukua tahadhari.