Sakata la Corona: BBC acheni unafiki, heko (KM) Wizara ya Afya, Prof. Mchembe kwa nyundo yako jana

BBC wamekua wepesi sana kurusha matamko dhidi ya Tanzania yatolewayo na shirika la afya duniani kupitia wakurugenzi wake kuhusiana na ugonjwa wa covid 19 hasa yale yenye kuonyesha mbinyo kwa nchi yetu.

Jana pia dira ya mchana lilitolewa tamko na mkurugenzi mkuu kanda ya Afrika lenye kuitaka Tanzania ijitafakari kuhusu chanjo na iwe tayari kushirikiana na nchi za kiafrika, kwangu mimi hili ni debe la biashara tu.

Jana hiyohiyo KM wa afya, professor Mchembe aliipangua kauli ya MD huyo kanda ya Afrika. Ufafanuzi wa Mchembe ulikuwa makini na wenye kufikirisha sana kwa anae jitambua.

Professor Mchembe alisema Tanzania haiko tayari kwa chanzo hizo, kwani nchi nyingi zimetengeneza chanjo ya virus hivi, China, Amerika, Russia, German, Brazil, India nk, Je? Tutumie chanjo ipi ambayo ni salama ikizingatiwa virus hawa wanajibadilisha kila uchao.

Kwakuwa professor Mchembe maelezo yake yalimfunika MD wa WHO kanda ya Afrika, BBC wakaipotezea habari hii yenye kufumbua macho waafrika.

Kwangu mimi hii ni kauli thabiti sana,

Na ndipo suala la uharaka wa chanjo hizi zilizogunduliwa kwa kukiuka kanuni utajua zimelenga biashara, yaani tatizo limetengenzwa ili kujipatia faida kubwa huku baadhi ya wanadamu wakiangamia pasi hatia yoyote.

Naipongeza serikali kwa kua makini sana katika kucheza ngoma hii ya ma babylon.

Namalizia kwa kusema BBC na DW ni radio za wakoloni zenye kazi moja tu ya propaganda mfu dhidi ya anayepinga udhalimu wa mabeberu, chukua tahadhari
Umenikumbusha stori moja ya rubani aliyekuwa katekwa na majeshi ya Garang enzi hizo. Siku BBC wakimsifia Garang basi mateka siku hiyo watapewa kikombe kidogo cha mchele wapike wale na glass ya whysky wanywe. lakini siku wakimkosoa itakuwa ni siku ya kichapo kwa kwenda mbele. Ndivyo inavyokuwa kwa serikali ya awamu ya tano na ya milele, hawataki kukosolewa.
 
BBC wamekua wepesi sana kurusha matamko dhidi ya Tanzania yatolewayo na shirika la afya duniani kupitia wakurugenzi wake kuhusiana na ugonjwa wa covid 19 hasa yale yenye kuonyesha mbinyo kwa nchi yetu.

Jana pia dira ya mchana lilitolewa tamko na mkurugenzi mkuu kanda ya Afrika lenye kuitaka Tanzania ijitafakari kuhusu chanjo na iwe tayari kushirikiana na nchi za kiafrika, kwangu mimi hili ni debe la biashara tu.

Jana hiyohiyo KM wa afya, professor Mchembe aliipangua kauli ya MD huyo kanda ya Afrika. Ufafanuzi wa Mchembe ulikuwa makini na wenye kufikirisha sana kwa anae jitambua.

Professor Mchembe alisema Tanzania haiko tayari kwa chanzo hizo, kwani nchi nyingi zimetengeneza chanjo ya virus hivi, China, Amerika, Russia, German, Brazil, India nk, Je? Tutumie chanjo ipi ambayo ni salama ikizingatiwa virus hawa wanajibadilisha kila uchao.

Kwakuwa professor Mchembe maelezo yake yalimfunika MD wa WHO kanda ya Afrika, BBC wakaipotezea habari hii yenye kufumbua macho waafrika.

Kwangu mimi hii ni kauli thabiti sana,

Na ndipo suala la uharaka wa chanjo hizi zilizogunduliwa kwa kukiuka kanuni utajua zimelenga biashara, yaani tatizo limetengenzwa ili kujipatia faida kubwa huku baadhi ya wanadamu wakiangamia pasi hatia yoyote.

Naipongeza serikali kwa kua makini sana katika kucheza ngoma hii ya ma babylon.

Namalizia kwa kusema BBC na DW ni radio za wakoloni zenye kazi moja tu ya propaganda mfu dhidi ya anayepinga udhalimu wa mabeberu, chukua tahadhari
Hapa kwetu kila kinachofanyika ulimwengu mzima hakitufai na cha mabeberu. Vipimo vya korona havifai "hatuambiwi vinavyofaa vipo wapi", Barakoa za mabeberu" zetu zilizo bora ziko wapi", chanjo ya korona ni ubeberu zilizo bora ziko wapi hatuambiwi. Tuliambiwa dawa bora ya korona imegunduliwa Madascar. Tukatuma na ndege kufuata dawa. Muda si muda tukaambiwa hata Madagascar kwenyewe kumekumbwa na Korona. Wakati misigano hii ikiendelea watu wanakufa. Kutamka neno Korona imekuwa dhambi vinywani mwa watanzania. Sasa tunaanbiwa tuvae barakoa kujikinga dhidi ya TB. Mambo mapya haya
 
Huu ni upuuzi unasupport hayajakukuta, mbona dawa za antibiotic na zingine tunatumia zinatengenezwa nchi tofauti China india Britain huonishida,swala hapa ni kuwa zimekuwa approved na serikali ndiyo imue tutumie vipi,sie tunataka channjo salama iliyo thibishwanaWHO
Sio chanjo zenu au dawa zenu Amazon's huwezi zidefend kisayansi.
 
BBC wamekua wepesi sana kurusha matamko dhidi ya Tanzania yatolewayo na shirika la afya duniani kupitia wakurugenzi wake kuhusiana na ugonjwa wa covid 19 hasa yale yenye kuonyesha mbinyo kwa nchi yetu.

Jana pia dira ya mchana lilitolewa tamko na mkurugenzi mkuu kanda ya Afrika lenye kuitaka Tanzania ijitafakari kuhusu chanjo na iwe tayari kushirikiana na nchi za kiafrika, kwangu mimi hili ni debe la biashara tu.

Jana hiyohiyo KM wa afya, professor Mchembe aliipangua kauli ya MD huyo kanda ya Afrika. Ufafanuzi wa Mchembe ulikuwa makini na wenye kufikirisha sana kwa anae jitambua.

Professor Mchembe alisema Tanzania haiko tayari kwa chanzo hizo, kwani nchi nyingi zimetengeneza chanjo ya virus hivi, China, Amerika, Russia, German, Brazil, India nk, Je, tutumie chanjo ipi ambayo ni salama ikizingatiwa virus hawa wanajibadilisha kila uchao.

Kwakuwa professor Mchembe maelezo yake yalimfunika MD wa WHO kanda ya Afrika, BBC wakaipotezea habari hii yenye kufumbua macho waafrika.

Kwangu mimi hii ni kauli thabiti sana.

Na ndipo suala la uharaka wa chanjo hizi zilizogunduliwa kwa kukiuka kanuni utajua zimelenga biashara, yaani tatizo limetengenzwa ili kujipatia faida kubwa huku baadhi ya wanadamu wakiangamia pasi hatia yoyote.

Naipongeza serikali kwa kua makini sana katika kucheza ngoma hii ya ma babylon.

Namalizia kwa kusema BBC na DW ni radio za wakoloni zenye kazi moja tu ya propaganda mfu dhidi ya anayepinga udhalimu wa mabeberu, chukua tahadhari.
Kwa mara ya kwanza duniani, mwalimu wa Chemistry ndiye anawaelekeza Madaktari waliobobea namna ya kudhibiti COVID 19. Kweli maajabu Tanzania hayataisha, na Watanzania wanamshangilia tu kwa vile ni wasahaulifu. Mwaka 2018 ndiye huyuhuyu aliharibu biashara ya korosho ambayo mpaka leo haijatengamaa.
 
WORLD

S.Africa suspends AstraZeneca jab launch over study​

PUBLISHED : 8 FEB 2021 AT 10:17
WRITER: AFP
  • 0
  • 0
FILE PHOTO: South African law enforcement agancies block motorists in Johannesburg on Feb 1, 2021 to make the highway clear for refrigerated trucks transporting AstraZeneca vaccines for the Covid-19 coronavirus that arrived at OR Tambo International Airport in Johannesburg. (AFP)
FILE PHOTO: South African law enforcement agancies block motorists in Johannesburg on Feb 1, 2021 to make the highway clear for refrigerated trucks transporting AstraZeneca vaccines for the Covid-19 coronavirus that arrived at OR Tambo International Airport in Johannesburg. (AFP)
South Africa said Sunday it would suspend the start of its Covid-19 vaccinations with the AstraZeneca jab -- which forms a major plank of Thailand's vaccination strategy and is to be produced by Siam BioScience in Bangkok -- after a study showed the drug failed to prevent mild and moderate cases of the virus variant that has appeared in Africa's hardest-hit nation.

Ads by optAd360
South Africa was due to start its campaign in the coming days with a million doses of the vaccine developed by AstraZeneca and Oxford.

Trending on Bangkok Post​

s-africa-suspends-astrazeneca-jab-launch-over-study





Injured victim of Korat shooting spree fights on​

NAKHON RATCHASIMA: Jirattikarn Nobthai has a busy medical schedule ahead of him.
Powered By Tracker dslogo

The suspension marks an important setback for the country, but officials said vaccine deliveries from other producers would soon be available and allow the campaign to move forward.



utr

cap

l


{"uid":"6","hostPeerName":"Bangkok Post Website","initialGeometry":"{\"windowCoords_t\":0,\"windowCoords_r\":360,\"windowCoords_b\":616,\"windowCoords_l\":0,\"frameCoords_t\":2435.697998046875,\"frameCoords_r\":330,\"frameCoords_b\":3035.697998046875,\"frameCoords_l\":30,\"styleZIndex\":\"auto\",\"allowedExpansion_t\":0,\"allowedExpansion_r\":0,\"allowedExpansion_b\":0,\"allowedExpansion_l\":0,\"xInView\":0,\"yInView\":0}","permissions":"{\"expandByOverlay\":false,\"expandByPush\":false,\"readCookie\":false,\"writeCookie\":false}","metadata":"{\"shared\":{\"sf_ver\":\"1-0-37\",\"ck_on\":1,\"flash_ver\":\"0\"}}","reportCreativeGeometry":false,"isDifferentSourceWindow":false,"goog_safeframe_hlt":{},"encryptionMode":null}" scrolling="no" marginwidth="0" marginheight="0" width="300" height="600" data-is-safeframe="true" sandbox="allow-forms allow-popups allow-popups-to-escape-sandbox allow-same-origin allow-scripts allow-top-navigation-by-user-activation" data-google-container-id="6" oawidthset="true" style="box-sizing: border-box; border: 0px; vertical-align: bottom; width: 300px; height: 600px;">
Ads by optAd360

"It's a temporary issue that we have to hold on AstraZeneca until we figure out these issues," Health Minister Zweli Mkhize told reporters during a virtual press conference.

The University of Witwatersrand, Johannesburg, which conducted the trial, said in a statement on Sunday that the AstraZeneca vaccine "provides minimal protection against mild-moderate Covid-19 infection" from the South African variant.
But in a full paper due to be published on Monday, AstraZeneca said that none of the 2,000 participants developed serious symptoms.
That could mean it will still have an effect on severe illness, although not enough data is available yet to make a definitive judgment.
Lagging behind in the global vaccination race, South Africa received its first delivery of a million doses on Monday.
An additional 500,000 doses are expected this month.
All are AstraZeneca vaccines produced by the Serum Institute of India, and some 1.2 million health workers were to be first in line for the shots.
"In the next four weeks, we will have the J&J and Pfizer," said Mkhize, referring to vaccines made by Johnson & Johnson and Pfizer/BioNTech.
Discussions with other vaccine producers are also ongoing, particularly Moderna and the makers of the Russian Sputnik V jab.
Mkhize recently announced having reserved 20 million Pfizer/BioNTech doses.
The 1.5 million AstraZeneca vaccines obtained by South Africa, which will expire in April, will be kept until scientists give clear indications on their use, he said.
"The second generation of the vaccine to fight all variants will take longer to produce," said Salim Abdool Karim, epidemiologist and co-chair of the scientific committee at the South African health ministry.
South Africa plans to vaccinate at least 67 percent of its population by the end of the year, or around 40 million people.
The country has recorded nearly 1.5 million infections and more than 46,000 deaths from the virus.
- 'Protection against deaths' -
The AstraZeneca study data, which has not yet undergone peer review, "appear to confirm the theoretical observation that mutations in the virus seen in South Africa will allow ongoing transmission of the virus in vaccinated populations", it said.
"Protection against moderate-severe disease, hospitalisation or death could not be assessed in this study as the target population were at low risk."
But the vaccine developers in Britain said informally that the results offered some hope that the shots could prevent deaths from the variant.
"We may not be reducing the total number of cases but there is still protection against deaths, hospitalisations and severe disease," said Sarah Gilbert, who led the development of the vaccine with the Oxford Vaccine Group.




  • 0
 
Mbona nilichoandika kinaeleweka? Mm nimehoji kwann tupangiwe Aina ya chanjo.Tunaweza kununua Ya Iran,China,Russia kwa uwezo wetu na baada ya kujiridhisha.

Nashangaa wew unakuja na hoja za ss kugundua chanjo.Nani kaongelea hizo.
Utanunuaje na wakati unakataa hakuna corona?
 
Professor Mchembe alisema Tanzania haiko tayari kwa chanzo hizo, kwani nchi nyingi zimetengeneza chanjo ya virus hivi, China, Amerika, Russia, German, Brazil, India nk, Je, tutumie chanjo ipi ambayo ni salama ikizingatiwa virus hawa wanajibadilisha kila uchao.
Ooh, huku ndiko "kupangua kauli"?

Pamoja na kuwa wapotoshaji; lakini hata kupotosha kwenyewe kunawashinda vibaya.

Mmebaki kuwa kama wachekeshaji, ila mnachekesha kwenye jambo ambalo ni vigumu sana kuitumia fani hiyo.

Sasa sijui nyinyi tuwaite ni watu wa aina gani!
 
Laiti kama huyo kibwengo 👿 asingekuwa kwenye hiyo ofisi kuu, yaani angekuwa anatoa maoni au matamko yake kama raia au mwanasiasa wa kawaida.

Kila mtu angeomba huyo mtu apelekwe Mirembe.

Ila nguvu ya ofisi anayoikalia IMEVURUGA kila kitu.

Hata kesho akisema watu waanze kula mavi ya popo, surely kuna watu wataanza kula Live mbele ya TV ili wamfurahishe.
Bila shaka mmoja wa hao walaji wa kinyesi cha popo atakuwemo mleta mada hii mwenyewe
 
Maambukizi ya fikra finyu ni hatari kuliko maambikizi ya korona. Kuna watu wameambukizwa ujinga aisee
 
Back
Top Bottom