Sakata la Corona: BBC acheni unafiki, heko (KM) Wizara ya Afya, Prof. Mchembe kwa nyundo yako jana

sio kweli kuwa wanasikisilizia matokeo ya chanjo. ila chanjo ni kidogo.. hasa kikubwa kinachowasumbua ni kasi ya kusambaa kwa ugonjwa ni kubwa kuliko kasi ya ugawahi chanjo.

lakin pia badala ya kupiga kelele.. tutengeneze chanjo zetu, wanasayansi wetu wame relax sana hawafayi lolote. wanasubiri mzungu atengeneze dawa.
waingie maabara watumie usomi wao.
Duh! sio kweli tena?
 
Mkuu issue ni kupambana na Korona Mzee, watu wanakufa au Tanzania hatufi? Issue ya kujifukiza still ni controversial, imekuwa successful Kwa vijana lakini wazee wanashuka kaburini mkuu, boss wetu yeye kaukimbia mji yupo porini na inasemekana kama Una Korona huwezi kumsogelea m100 away.... Na za chini chini keshalamba chanjo, anachohofia ni cost ya chanjo na si vinginevyo.
Tununue chanjo ipi ya Urusi, china, India, au nani na ni kwa ajili ya virus "mbegu" ipi? Maana kila siku virus wanajibadili!
Acha tupige nyungu tu!
 
Nimechoka kusoma posts za Corona, mpaka kichefu chefu.
Mpaka sasa natafuta mwenye ugonjwa huo au alie kufa kwa ugonjwa huo, kwa hapa mtaani kwangu hakuna.
 
Tatizo lako nini?si mna TBC inayotangaza dunia nzima? Waambie wawe wanarusha uhalisia ili BBC waonekane waongo kama ndivyo unadhani inapaswa

Core issue ni kupambana na Covid! Mengine hayo mtajuana.
 
Nimechoka kusoma posts za Corona, mpaka kichefu chefu.
Mpaka sasa natafuta mwenye ugonjwa huo au alie kufa kwa ugonjwa huo, kwa hapa mtaani kwangu hakuna.
Nilichogundua hofu ni kitu kibaya sana hasa hofu hiyo ikihusiana na afya,hofu inaweza kumfanya mtu uone anaumwa kabisa lakini kumbe hakuna kinachomsumbua zaidi ya hofu,hii ishatokea kwa mtu wangu wa karibu tulimpeleka hadi kwa daktari bingwa ila hakukutwa na tatizo ilikuwa ni hofu inayomtia mawazo na kufanya afya yake kuwa mbaya.
Sasa nadhani hiki ndio kinawatokea sana wahindi huko jamaa ni waoga sana na ndio maana tunaona corona inawasumbua sana hasa wakiwa na maradhi yao mengine.

Kuna siku pale muhimbili nimeona Doctor muhindi kavaa barakoa mbili hadi nikashangaa hii vp,sasa hapa napokaa kuna jirani yangu jana alitembelewa na rafiki yake anafanya kazi za ndani kwa wahindi na jana alizuiliwa kuingia ndani kwenda kufanya kazi kwa hofu ya corona maana kuna hao maboss zake wahindi kuna ndugu zao wamekufa kwa corona.

Basi jana hiyo hiyo huyu jirani yangu akaenda kuchukua majani gani sijui huko akajifukiza na familia yake,leo wameamka mama mtu anaumwa homa na mtoto anaumwa mafua basi hofu mtindo mmoja.
 
BBC wamekua wepesi sana kurusha matamko dhidi ya Tanzania yatolewayo na shirika la afya duniani kupitia wakurugenzi wake kuhusiana na ugonjwa wa covid 19 hasa yale yenye kuonyesha mbinyo kwa nchi yetu.

Jana pia dira ya mchana lilitolewa tamko na mkurugenzi mkuu kanda ya Afrika lenye kuitaka Tanzania ijitafakari kuhusu chanjo na iwe tayari kushirikiana na nchi za kiafrika, kwangu mimi hili ni debe la biashara tu.

Jana hiyohiyo KM wa afya, professor Mchembe aliipangua kauli ya MD huyo kanda ya Afrika. Ufafanuzi wa Mchembe ulikuwa makini na wenye kufikirisha sana kwa anae jitambua.

Professor Mchembe alisema Tanzania haiko tayari kwa chanzo hizo, kwani nchi nyingi zimetengeneza chanjo ya virus hivi, China, Amerika, Russia, German, Brazil, India nk, Je? Tutumie chanjo ipi ambayo ni salama ikizingatiwa virus hawa wanajibadilisha kila uchao.

Kwakuwa professor Mchembe maelezo yake yalimfunika MD wa WHO kanda ya Afrika, BBC wakaipotezea habari hii yenye kufumbua macho waafrika.

Kwangu mimi hii ni kauli thabiti sana,

Na ndipo suala la uharaka wa chanjo hizi zilizogunduliwa kwa kukiuka kanuni utajua zimelenga biashara, yaani tatizo limetengenzwa ili kujipatia faida kubwa huku baadhi ya wanadamu wakiangamia pasi hatia yoyote.

Naipongeza serikali kwa kua makini sana katika kucheza ngoma hii ya ma babylon.

Namalizia kwa kusema BBC na DW ni radio za wakoloni zenye kazi moja tu ya propaganda mfu dhidi ya anayepinga udhalimu wa mabeberu, chukua tahadhari
Acha ujinga pamoja. na kuwa nchi nyingine I zinatengeneza corona vaccine ni jukumu LA nchi inayo agiza vaccine kwa kupitia taasisi Zake kuthibitisha efficiency ya hizo Vaccine. Kayla ya kuwapa wananchi wake
 
Laiti kama huyo kibwengo asingekuwa kwenye hiyo ofisi kuu, yaani angekuwa anatoa maoni au matamko yake kama raia au mwanasiasa wa kawaida.

Kila mtu angeomba huyo mtu apelekwe Mirembe.

Ila nguvu ya ofisi anayoikalia IMEVURUGA kila kitu.

Hata kesho akisema watu waanze kula mavi ya popo, surely kuna watu wataanza kula Live mbele ya TV ili wamfurahishe.
inawezekana mnalingana umri, ila ni baba wa watu yule kama ulivyo wewe kwa watu fulani.

ni huu huu urais ama kingine kinachofanya mpaka unamchukia namna hii!!!ingefaa upate nafasi siku moja umwambie uso kwa uso hayo yeye, humu utakutana na wanaojipendekeza kwake wakung'oe corodani ufe unagalagala tu kama kanyau.
 
inawezekana mnalingana umri, ila ni baba wa watu yule kama ulivyo wewe kwa watu fulani.

ni huu huu urais ama kingine kinachofanya mpaka unamchukia namna hii!!!ingefaa upate nafasi siku moja umwambie uso kwa uso hayo yeye, humu utakutana na wanaojipendekeza kwake wakung'oe corodani ufe unagalagala tu kama kanyau.
Hata akiniua na yeye atakufa tu. Ataua wangapi ??

Huko alikowatanguliza kina Ben Saanane, Azory Gwanda au Kanguye na yeye ataenda, na atabaki mifupa mitupu.
 
Hata akiniua na yeye atakufa tu. Ataua wangapi ??

Huko alikowatanguliza kina Ben Saanane, Azory Gwanda au Kanguye na yeye ataenda, na atabaki mifupa mitupu.
ndio maana nakwambia mface tu, kwani shingapi!!!!

mpe yake makavu kwishaa, humu utatangulizwa kabla yake,tena bila hata yeye kujua kama ulikuwa unamdiss.
 
Chanjo ni biashara za watu jomba ,hukuona Madagascar walivyopingwa kwa haraka sana na MD wa WHO siku moja tu wakivyotangaza kuwa na dawa hiyo bila ya MD huyo kuifanyia uchunguzi
Mnaotoa hii hoja huwa siwaelewi.... Athari za corona imeshusha purchasing power kwa ukubwa sana na hta stock markets kibao zimecollapse hta za makampuni makubwa ya pharmaceuticals zimejikuta zinafanya kazi kwa changamoto sana ssa hizo Dollar Million kadhaa ndio zina offset hasara za corona?

Mfano serikali ya US imetoa Billions of Dollars kma relief funds kwa raia wake...... Ssa iingie hasara zote hizo ili tu kampuni mbili tatu zifaidike?

Mkiwa mnatoa such claims muwe na ushahidi

Kuna kijiwe kimoja cha bodaboda nilisikia wanadanganyana eti corona imeletwa na makampuni ya kuuza sanitizer,barakoa na sabuni!! Si ajabu hta ww ulikua part of that dumb clique
 
Amerika licha ya chanjo 2 alizopata rais Biden Sasa anavaa BARAKOA 2 kwa wakati mmoja.

SWALI:- Hizo chanjo ni kwa ajili ya nn na BARAKOA 2 ni kwa ajili ya nn?

Je wewe Mtanzania kwa maslah ya Watanzania 60m tunaweza afford hili. Na Je hata huko Amerika wananchi wote wanapata huduma hii kwa usawa?
 
Mkuu issue ni kupambana na Korona Mzee, watu wanakufa au Tanzania hatufi? Issue ya kujifukiza still ni controversial, imekuwa successful Kwa vijana lakini wazee wanashuka kaburini mkuu, boss wetu yeye kaukimbia mji yupo porini na inasemekana kama Una Korona huwezi kumsogelea m100 away.... Na za chini chini keshalamba chanjo, anachohofia ni cost ya chanjo na si vinginevyo.
Weka ushahidi mkuu maneno matupu hayavunji mfupa.
 
BBC wamekua wepesi sana kurusha matamko dhidi ya Tanzania yatolewayo na shirika la afya duniani kupitia wakurugenzi wake kuhusiana na ugonjwa wa covid 19 hasa yale yenye kuonyesha mbinyo kwa nchi yetu.

Jana pia dira ya mchana lilitolewa tamko na mkurugenzi mkuu kanda ya Afrika lenye kuitaka Tanzania ijitafakari kuhusu chanjo na iwe tayari kushirikiana na nchi za kiafrika, kwangu mimi hili ni debe la biashara tu.

Jana hiyohiyo KM wa afya, professor Mchembe aliipangua kauli ya MD huyo kanda ya Afrika. Ufafanuzi wa Mchembe ulikuwa makini na wenye kufikirisha sana kwa anae jitambua.

Professor Mchembe alisema Tanzania haiko tayari kwa chanzo hizo, kwani nchi nyingi zimetengeneza chanjo ya virus hivi, China, Amerika, Russia, German, Brazil, India nk, Je? Tutumie chanjo ipi ambayo ni salama ikizingatiwa virus hawa wanajibadilisha kila uchao.

Kwakuwa professor Mchembe maelezo yake yalimfunika MD wa WHO kanda ya Afrika, BBC wakaipotezea habari hii yenye kufumbua macho waafrika.

Kwangu mimi hii ni kauli thabiti sana,

Na ndipo suala la uharaka wa chanjo hizi zilizogunduliwa kwa kukiuka kanuni utajua zimelenga biashara, yaani tatizo limetengenzwa ili kujipatia faida kubwa huku baadhi ya wanadamu wakiangamia pasi hatia yoyote.

Naipongeza serikali kwa kua makini sana katika kucheza ngoma hii ya ma babylon.

Namalizia kwa kusema BBC na DW ni radio za wakoloni zenye kazi moja tu ya propaganda mfu dhidi ya anayepinga udhalimu wa mabeberu, chukua tahadhari

Kama kuna mtu anafikiri yeye ni msomi lakini anaamini kabisa kwamba hakuna corona Tanzania basi elimu ya huyo mtu ni tatizo. Ni makaratasi tu . Kama ni siasa tunaelewa lakini kama sio hiyo elimu yako ni zero
 



NEWS

Covid-19 Brief: February 7, 2021​


Andy Beill
07.02.2021

School catch-up proposals being considered, no plans for UK passport scheme, Australia to use vaccine certificates. Here are today’s latest figures and headlines, curated by Upday.

UK
Daily deaths: 373
Total deaths: 112,465
Daily cases: 15,845
Total cases: 3,945,680
Figures provided by Public Health England after they are released at around 4pm GMT.

Global
Total deaths: 2,311,227
Total cases: 105,866,930
Figures provided by Johns Hopkins University & Medicine.






Updates from the UK​

  • Extending the school day is reportedly among the proposals the Department for Education is considering. Sources told the Telegraph that extra classes at the start or end of the school day could help catch up on lost learning time. These could be led by charities or volunteers to avoid keeping staff teachers working longer. Read more » 🔒 The Telegraph

  • The UK has no plans for a vaccine passport scheme, according to vaccines minister Nadhim Zahawi. He denied a report in The Times on Friday that they would be introduced, telling Sky News on Sunday that the impact of vaccines on transmission remains unknown. Read more » City AM

  • GPs will be paid extra to vaccinate vulnerable people in England who are unable to leave their homes. Meanwhile, government officials have denied the accuracy of reports in the Telegraph that rollout is ahead of its May target for the top nine cohorts and workplace vaccinations will follow. Read more » ITV News






Updates from around the world​

  • Australia will give out certificates as proof of vaccination. It will be made accessible through existing government apps, as well as being provided as a hard copy. States and territories will decide how they are used, such as whether they will need to be seen to gain entry to care homes. Read more » SBS News

  • Human trials have been announced for a second vaccine being developed in Iran. Razi COV-Pars will be tested on 130 participants in its first phase. Meanwhile, Iran's first vaccine candidate, COVIran Barekat, has completed its first phase of being trialled on 56 human volunteers. Read more » Al Jazeera

  • Afghanistan has received its first shipment of vaccines as it awaits authorisation to use them. India has provided 500,000 doses of the Oxford/AstraZeneca vaccine, but emergency approval is required from the World Health Organization before they can be rolled out. Read more » Reuters
Tell us what you enjoyed or what you would like to see more of at updayuk@upday.com and follow us on:

More from this topic

Covid-19 Brief — Ireland Edition: February 6, 2021

23 hours ago

Covid-19 Brief: February 6, 2021

1 days ago

Covid-19 Brief — Ireland Edition: February 5, 2021

2 days ago

Covid-19 Brief: February 5, 2021

2 days ago

Covid-19 Brief — Ireland Edition: February 4, 2021

3 days ago

Covid-19 Brief: February 4, 2021

3 days ago

Covid-19 Brief — Ireland Edition: February 3, 2021

4 days ago

Covid-19 Brief: February 3, 2021

4 days ago

Covid-19 Brief — Ireland Edition: February 2, 2021

5 days ago

Covid-19 Brief: February 2, 2021

5 days
Copyright 2020, upday GmbH & Co. KG
 
Mkuu issue ni kupambana na Korona Mzee, watu wanakufa au Tanzania hatufi? Issue ya kujifukiza still ni controversial, imekuwa successful Kwa vijana lakini wazee wanashuka kaburini mkuu, boss wetu yeye kaukimbia mji yupo porini na inasemekana kama Una Korona huwezi kumsogelea m100 away.... Na za chini chini keshalamba chanjo, anachohofia ni cost ya chanjo na si vinginevyo.
Ok, chanjo amelamba kisha hawezi kusogelewa⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️⁉️😤
 
Back
Top Bottom