Kwenye maisha heshimu kila mtu ...huwezi kujua kesho inakuwaje kwako ....sasa mbwa kawa mwenye mbwa .....lazima upige magoti ...Aache dharau, alishawahi kumwambia Magufuli (kipindi waziri) kuwa haongei na mbwa bali mwenye mbwa, sasa mbwa kawa mwenye mbwa kijasho kinamtoka. Pole Manji
Saizi wewe unamiliki nn baada ya yeye kunyang'anywa...... Mungu iokoe TanzaniaAkae pembeni nchi walikua wameshajifanya wanaimiliki wao tu.
Kwa iyo Jamaa anatetea RAIA nyie mnamwita kiazi na mnasubiria amalize muliamshe, huyu atakuwa dikteta sasaHuyu kiazi akito tu poa. Watu wanaliamsha dude upyaaaa kabisa
Dah.... So what?...ulitaka afanye nini? .....Fikra ya hovyo kabisa hiiUrais ni wa miaka 10 tu(kwa mujibu wa katiba yetu)..
Utajiri wa Manji utaendelea kuwepo..
Hawa walio madarakani wawe makini sana ipo siku watarudi kuwa raia wa kawaida..
shida alitaka mkataba wa kijanjajanja amiliki eneo na siyo akodishwebeach chafuuuuuu.haya serikali iwekeze sasa
Urais ni wa miaka 10 tu(kwa mujibu wa katiba yetu)..
Utajiri wa Manji utaendelea kuwepo..
Hawa walio madarakani wawe makini sana ipo siku watarudi kuwa raia wa kawaida..
hii ni habari nzuri ha ha haaa mitanzania imeshaanza kuogopa uoga wetu ndio unatupelekea kwenye umasikini zaidi anyway hata wakati wa ukoloni alipoondolewa kuna miafrica ilikua inaogopa kama weweHii sio habari nzuri hata kidogo kwa watu wanaofikiri kwa umakini.
Kukaa selo Si mchezo
OvA
Kukaa selo Si mchezo
OvA
Hapana. haifai kusema mkuu.Ni hali mbaya au nini??