Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,919
- 33,503
Nlishangaa sana ule mkwara wake aliompiga Makonda mbele ya waandishi wa habari. Alifikiri yupo enzi za unajua mm ni nani.Kwa hiyo hakuwa anahusika na drugs Bali issue ni Coco Beach?
Nlishangaa sana ule mkwara wake aliompiga Makonda mbele ya waandishi wa habari. Alifikiri yupo enzi za unajua mm ni nani.Kwa hiyo hakuwa anahusika na drugs Bali issue ni Coco Beach?
Sisi tuaisapoti kauli ya kikwete kuwa zile hela sio za umma!!Mna kazi maana wakutetewa ndio kwanza wanaongezeka mfano Rugemalila na Singasinga wote hao wanahitaji sapoti ya utetezi wenu wana UKAWA.
We ndo wasemaKwa hiyo hakuwa anahusika na drugs Bali issue ni Coco Beach?
Tangu lini ccm kuna mwenye aibu?Team "tutashitakiwa" wataficha wapi sura zao?
SioSawa. Ila Manji ananyanyasika sana ktk utawala huu. Sijui chanzo ni zile mil. 725 zilizokamatwa Chimwaga ??
Are you sure issue ilikuwa coco beach?Eti
Si wangeenda kwenye point tu straight
Alifikiri ndio anaamua nani atawale nchi nini sababu ya hela za magumashi?Sawa. Ila Manji ananyanyasika sana ktk utawala huu. Sijui chanzo ni zile mil. 725 zilizokamatwa Chimwaga ??
Hahahaha kweli mkuuKukaa selo Si mchezo
OvA