Hamjawahi kumtoa huko. Agency rltp na personal legal entity kwetu chengaSi tuliambiwa kwamba amejiuzulu uongozi wa quality group na kwa sasa ni mshauri tu.
Pili akumbuke kulipa kodi kwani Huo ni wajibu wa kila Mtu au mkazi wa sehemu fulani kulipa kodi , ila pale tu sheria nyinginezo zinapo mpa haki hiyo na mwisho kuamini ktk diversity . Hivyo vitu ndio vitamweka salama ktk nchi ya tanzania na nchi zote zenye kuamini ktk utawala bora
Akae pembeni nchi walikua wameshajifanya wanaimiliki wao tu.Dah
Jamaa amekubali kinafiki tu kisa hawezi kupambana na dola
Hicho ndicho kitakufurahisha?Watu wana hibernate after 10years dude linahamshwa upya!
Hajawahi kua rafiki yake labda kama unamaanisha Membe.Bado la uswahiba na nywele nyeupe,hadi aukane
Kamsaidie wewe c unaweza bwana.Dah
Jamaa amekubali kinafiki tu kisa hawezi kupambana na dola
Swali murua sanaKwa hiyo hakuwa anahusika na drugs Bali issue ni Coco Beach?
Ndiyo ukweli maana kwa watawala tulionao visasi ndiyo kwakeDah
Jamaa amekubali kinafiki tu kisa hawezi kupambana na dola
Umeonaeeeeeeeeee?Eti
Si wangeenda kwenye point tu straight
AMESOMA ALAMA ZA NYAKATI ...KIBURI SI MAUNGWANA... HUU SI WAKATI WA KUTUNISHA MISULI KWA NGUVU YA UMMA KWA KUTUMIA PESA....HOPEFULLY WATAFUMBA MACHO KWENYE MADUDU YAKE MENGINE...Hatimae lile sekeseke la Coco Beach limefikia mwisho baada ya Manji kusalimu amri kupitia taarifa kwa umma aliyoitoa leo tarehe 24-June-2017 kwenye Gazeti la Mwananchi. Hapa chini kwenye screenshot ni taarifa hiyo ya Manji. Hakika katika utawala huu wa JPM matumizi ya pesa/rushwa havina nafasi.
View attachment 529770
Tangu huyo nywere nyeupe alivyokukataa na mimba yako uliyomsingizia basi tena chuki haziishiBado la uswahiba na nywele nyeupe,hadi aukane
Umelenga palepaleSawa. Ila Manji ananyanyasika sana ktk utawala huu. Sijui chanzo ni zile mil. 725 zilizokamatwa Chimwaga ??
Walikuwepo wapo na wanaendelea kuwepoHivi ni kweli duniani kulikuwa na watawala madikteta?