Sakata la bandari limefichua mambo haya

Diwani

JF-Expert Member
Oct 25, 2014
2,672
2,697
Tangu kuanza kwa sakata la bandari mapema mwezi Julai kumekuwa na mgongano wa Mawazo kati ya Wanasiasa na Wanaharakati wa Kisiasa maeneo na Taasisi mbali mbali nchini.

Tumekuwa na Jadi ya mijadala kama nchi ya Kidemokrasia kwa muda, ila hili la DP World, limedhihirisha masuala yafuatayo ambayo labda hayana uhusiano kabisa na sakata (Mkataba) wenyewe.

Mambo yenyewe ni.

1. Amani yetu haitokani na umoja na mshikamano, bali kuvumiliana, Uoga na Unafiki. Si kweli kwamba tunapendana au tumeshikamana, ila tunachukuliana kwa vijicho vya misingi ya dini zetu.


2. Tunawatazama wawekezaji kwa dini zao. Nchi inasumbuliwa na UDINI. Waislamu wanawatazama Wazungu kama Wakristo, na Wakristo wanawatazama Waarabu kama Waislamu.

3. Hakuna uelewa kuhusu masuala ya bandari. Kundi kubwa la watu halijui masuala ya Mikataba, lenyewe linafuata tu upepo wa Taasisi zao zinasemaje.

4. Tunaongozwa na Kiongozi Muoga; Ishara ya "Kunyamaza" sio ishara nzuri, Taifa halisimamishi kiongozi wake ili anyamaze? Nani anaogopwa hapa?

Tujitafakari, kuna mahala tumefika.
 
Tangu kuanza kwa sakata la bandari mapema mwezi Julai kumekuwa na mgongano wa Mawazo kati ya Wanasiasa na Wanaharakati wa Kisiasa maeneo na Taasisi mbali mbali nchini.

Tumekuwa na Jadi ya mijadala kama nchi ya Kidemokrasia kwa muda, ila hili la DP World, limedhihirisha masuala yafuatayo ambayo labda hayana uhusiano kabisa na sakata (Mkataba) wenyewe.

Mambo yenyewe ni.

1. Amani yetu haitokani na umoja na mshikamano, bali kuvumiliana, Uoga na Unafiki. Si kweli kwamba tunapendana au tumeshikamana, ila tunachukuliana kwa vijicho vya misingi ya dini zetu.


2. Tunawatazama wawekezaji kwa dini zao. Nchi inasumbuliwa na UDINI. Waislamu wanawatazama Wazungu kama Wakristo, na Wakristo wanawatazama Waarabu kama Waislamu.

3. Hakuna uelewa kuhusu masuala ya bandari. Kundi kubwa la watu halijui masuala ya Mikataba, lenyewe linafuata tu upepo wa Taasisi zao zinasemaje.

4. Tunaongozwa na Kiongozi Muoga; Ishara ya "Kunyamaza" sio ishara nzuri, Taifa halisimamishi kiongozi wake ili anyamaze? Nani anaogopwa hapa?

Tujitafakari, kuna mahala tumefika.
Namba tatu
 
Sakata la DP World halikuanza July. Lilianza June 4th. Please, let's get our facts right.
 
Mzanzibar mmoja mjinga mjinga ananiambia kama bandari ikiuzwa au aijauzwa wewe inakausaidia nini nilichogundua wengi wao atunaufamu elimu ya uraia kujitambua mimi ni nani
 
Mikataba yote ya nyuma mibovu watanzania tulisimama pamoja kupinga lakini leo hii sababu wawekezaji ni waarabu hawa wala tende wameamua kutusaliti

Sizani kama zao za tende linafaida yoyote mwilini
 
Tangu kuanza kwa sakata la bandari mapema mwezi Julai kumekuwa na mgongano wa Mawazo kati ya Wanasiasa na Wanaharakati wa Kisiasa maeneo na Taasisi mbali mbali nchini.

Tumekuwa na Jadi ya mijadala kama nchi ya Kidemokrasia kwa muda, ila hili la DP World, limedhihirisha masuala yafuatayo ambayo labda hayana uhusiano kabisa na sakata (Mkataba) wenyewe.

Mambo yenyewe ni.

1. Amani yetu haitokani na umoja na mshikamano, bali kuvumiliana, Uoga na Unafiki. Si kweli kwamba tunapendana au tumeshikamana, ila tunachukuliana kwa vijicho vya misingi ya dini zetu.


2. Tunawatazama wawekezaji kwa dini zao. Nchi inasumbuliwa na UDINI. Waislamu wanawatazama Wazungu kama Wakristo, na Wakristo wanawatazama Waarabu kama Waislamu.
waislamu huwatizama wazungu wote kama wakristo,kumbe kuna makenge wengi tu ambao hata hawajui Yesu ni nani.

3. Hakuna uelewa kuhusu masuala ya bandari. Kundi kubwa la watu halijui masuala ya Mikataba, lenyewe linafuata tu upepo wa Taasisi zao zinasemaje.
ni heri kwa wakristo sababu wanafuata kilicho sahihi,ambacho pia kinaungwa mkono na baadhi ya waislam wenye upeo huru.
4. Tunaongozwa na Kiongozi Muoga; Ishara ya "Kunyamaza" sio ishara nzuri, Taifa halisimamishi kiongozi wake ili anyamaze? Nani anaogopwa hapa?

Tujitafakari, kuna mahala tumefika.
huyu sio mwoga,ni haiba ya kipwani kutojali kupuuza mpaka mambo mazito.
ni kama anasema mtajuana wenyewe huko.
 
Mikataba yote ya nyuma mibovu watanzania tulisimama pamoja kupinga lakini leo hii sababu wawekezaji ni waarabu hawa wala tende wameamua kutusaliti

Sizani kama zao za tende linafaida yoyote mwilini
Mleta mada anasema tunaangalia wawekezani kwa dini zao, lakini sio kweli. Magufuli alishughulika na kurekebisha mikataba mibovu ya madini wakati wahusika walikuwa ni akina John wenzake ( Barrick) Udini ni upofu. Waarabu ni waarabu na Wana nchi zao, wazungu ni wazungu na Wana nchi, zao na WA Tanzania ni WA Tanzania na tuna nchi yetu Tanzania. Kila Moja alinde vyake, mali asili, utamaduni, Mila na tunu mbali mbali za mataifa Yao. Udini ni upumbavu TU. Mtu yeyote anayembagua mtanzania mwenzake kisa dini ni mpumbavu, na hafai. Mtu yeyote anayetetea mkataba mbovu kisa dini ni mpumbavu na punguani. Dini ni Moja kati ya element za utumwa.
 
Back
Top Bottom