Sakata la Airtel: Mkapa, Mwandosya, Warioba na Chenge wataponaje?

Unauliza watatokaje? Kelele za chura zilimzuia ngombe kunywa maji au kama jk asemavyo kelel za mlango.

Kama mleta hoja angekuwa mtu wa haki ingekuwa so. Huu ni mchezo kama wa yule dakitari shika. Itapendeza kusema tu.

Una maanisha nini.....!!
Kwamba this is another Isindingo series like Makinika.....??
Kama ni hivo basi CCM na Magufuli wao hakika wanajua kucheza na akili za WATANZANIA WANYONGE WASIOJITAMBUA...Hakika wataendelea kupata Tuzo za Mo Ibraahim mara duble duble.....!!!
Maskini Tanzania, maskinii TTCL.....Hadi lini tutaendelea kutumika na Serikaali ya CCM kama TT....???
 
Lowasa alifisadi vodacom
niliwahi kusikia chama cha mapinduzi kilitaka kujinunulia vodacom kama kitega uchumi chake...Lowasa na aliyeku katibu wa chama wakawazunguka wakainunua wenyewe ...nasikia ilikua ni bonge la hujuma kwa chama wakati wanapanga lowasa alikuamo ndani na katibu kama kawaida aliandika muhtasari but mwisho wakachomoka na wazo...the same counting kwa deals nyingine sio rahisi kumkamata lowasa coz anajua maana ya management vema perform the duty through other people and archive alone .....tafuta ugomvi wake na malechela, na jakaya..na Nyerere wote walibaki kumind tu but hawakuwahi kusema lowasa kawafanya nini exactly...
 
Chenkapa hatoguswa,maybe Mwandosya,Chenkapa akimgusa atamuita tu ile misamiati yake,Lofa, pumbavu me ndio nilikupigania ukawa raisi wa Danganyika vinginevyo angekuwa Benye Maembe!!!​
kha jamani
 
Nilitegemea sana kuona sisi wananchi tukimsapot rais wetu maana anagusa sehemu ambazo zilikuwa haziwezi kuguswa.hakika mimi napongeza sana JPM kwa ushujaa wa pekee hakika anastahili kupongezwa na kupewa all support
tatizo ni kwamba anafunua anasambaza uchafu alafu unauacha wazi hamna cha maana atakachokifanya hata kwa hili hatafanya lolote ...refer makinikia...watumishi hewa...TRA...Bandarini....sukari ya bakhresa ....mapato cjui kupanda hamna kitu....
 
Chenge hawatamfanya kitu maana aliwahi kusema kwamba hawezi kufanya ujinga wa kufanya dili bila kinga. Wamguse waone.
 
Jana Rais wa JMT mhe.. JPM amepigiilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Bharti Airtel kwa kumwagiiza Waziri wa Fedha kufanya uchunguzi uhamishaji wa hovyo wa hisa za TTCL toka Cellnet, Celtel, Zain na sasa Airtel!!!

Ufisadi huu ulifanyika chini ya Utawala wa A3 ya Mzee Mkapa akisaidiana na Waziri wa Mawasiliano waktii huo Mzee Mark Mwandosya,, Mwanasheria Mkuu Chenge na Jaji Warioba aliyekuwa Board Member akiiwakilish upande wa TTCL na Serikali......?!!!

Karibu tujadiili!
Warioba huyu huyu Mzee wa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa?
Kazi ipo.
 
Nilitegemea sana kuona sisi wananchi tukimsapot rais wetu maana anagusa sehemu ambazo zilikuwa haziwezi kuguswa.hakika mimi napongeza sana JPM kwa ushujaa wa pekee hakika anastahili kupongezwa na kupewa all support

Usapoti mchezo wa kuigiza!
Mwalimu Nyerere wakati fulani sijui alikuwa anaongea na vyombo vya habari aliwahi kusema kwamba ukimsikia mtu anasema anapiga vita rushwa ,unamwangalia usoni anajionyesha anasema ukweli.
Lakini hawa tulionao sasa tukiwaangalia mambo wayafanyayo wanaonekana wanaigiza tu.
Ndio maana unaona asilimia kubwa hawamwamini mtendaji mkuu wetu pamoja na wasaidizi wake. Ni waigizaji tu ili miaka iende.
 
Una maanisha nini.....!!
Kwamba this is another Isindingo series like Makinika.....??
Kama ni hivo basi CCM na Magufuli wao hakika wanajua kucheza na akili za WATANZANIA WANYONGE WASIOJITAMBUA...Hakika wataendelea kupata Tuzo za Mo Ibraahim mara duble duble.....!!!
Maskini Tanzania, maskinii TTCL.....Hadi lini tutaendelea kutumika na Serikaali ya CCM kama TT....???

Kweli.
Kipi kisichojulikana?
Kama kweli yupo serious kungekuwa na haja ya kuja public?
Kwenye jamii kuna watu sadist! Je unawafahamu?
hata hivyo trend ya dunia nzima ni this type of leaders, this is like a kind of phenomena.
Much to share but...ooh
 
inatia aibu sana!!!
hii nchi kila kona watu walikuwa wanapiga dili!!!
cha kusikitisha zaidi wapiga dili ni viongozi waliopewa dhamana!!!
Rais wetu kamwe usirudi nyuma wala usiwaonee aibu wale wote walioitafuna nchi yetu.
 
Back
Top Bottom