Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,432
- 2,437
Nyumba za serikali zilizouzwa nazo zichunguzwe
Mv DSm kambi ya upinzani walisema ufujaji ufisadi walibenzwa na ushahidi walitoa wakasema boat si jipya na gharama ni kubwa iliyotumika wakati mzee Bakressa Azam ni bei ndogo na safi. Je leo boat ipo wapi?
Nissan jeupe lileeeeeeeeee
nimecheka hiyo clause ya mwisho