Sakata la Airtel: Mkapa, Mwandosya, Warioba na Chenge wataponaje?

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Aug 14, 2012
6,697
9,048
Jana Rais wa JMT mhe.. JPM amepigiilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Bharti Airtel kwa kumwagiiza Waziri wa Fedha kufanya uchunguzi uhamishaji wa hovyo wa hisa za TTCL toka Cellnet, Celtel, Zain na sasa Airtel!!!

Ufisadi huu ulifanyika chini ya Utawala wa A3 ya Mzee Mkapa akisaidiana na Waziri wa Mawasiliano waktii huo Mzee Mark Mwandosya, Mwanasheria Mkuu Chenge na Jaji Warioba aliyekuwa Board Member upande wa Celtel akiwakilisha upande wa TTCL na Serikali......?!!!

Karibu tujadili!
 
Huyo Mo Ibrahim ni rafiki yake mzee Salim Ahmed Salim,halafu ana mkwara wa kutoa tuzo kwa marais bora wa Afrika!!.
Kumbe nyuma ya pazia hao wanaopewa tuzo wanalipa fadhila zinazoumiza wanyonge.
Mo Ibrahim, Chui aliyevaa ngozi ya Kondoo! Mijizi na mikwapuaji lazima ijifanye iko kwenye dini sana au kutoa misaada sana! Kama EU na USA! Wanajifanya wanatupa misaada ya kufa mtu, kumbe wanachukuwa zaidi ya mara kumi ya wanacholeta!
Wakatili sana hawa...
 
Chenkapa hatoguswa,maybe Mwandosya,Chenkapa akimgusa atamuita tu ile misamiati yake,Lofa, pumbavu me ndio nilikupigania ukawa raisi wa Danganyika vinginevyo angekuwa Benye Maembe!!!​
Hahaaaaa
 
Jana Rais wa JMT mhe.. JPM amepigiilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Bharti Airtel kwa kumwagiiza Waziri wa Fedha kufanya uchunguzi uhamishaji wa hovyo wa hisa za TTCL toka Cellnet, Celtel, Zain na sasa Airtel!!!

Ufisadi huu ulifanyika chini ya Utawala wa A3 ya Mzee Mkapa akisaidiana na Waziri wa Mawasiliano waktii huo Mzee Mark Mwandosya,, Mwanasheria Mkuu Chenge na Jaji Warioba aliyekuwa Board Member akiiwakilish upande wa TTCL na Serikali......?!!!

Karibu tujadiili!


Wizi wa Airtel ulifanywa na Fisadi Lowasa, huyo ndiye aliyetupiga!
 
Na bado huko Vodacom JPM anawafikia muda so mrefu. Ameanza na Airtel anakuja kwenu siku so nyingi. Mmefisadi sana nchi hii mkishirikiana na msfisadi papa akina rostam aziz, karamagi na Lowasa.
 
Back
Top Bottom