Jana Rais wa JMT mhe.. JPM amepigiilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Bharti Airtel kwa kumwagiiza Waziri wa Fedha kufanya uchunguzi uhamishaji wa hovyo wa hisa za TTCL toka Cellnet, Celtel, Zain na sasa Airtel!!!
Ufisadi huu ulifanyika chini ya Utawala wa A3 ya Mzee Mkapa akisaidiana na Waziri wa Mawasiliano waktii huo Mzee Mark Mwandosya,, Mwanasheria Mkuu Chenge na Jaji Warioba aliyekuwa Board Member akiiwakilish upande wa TTCL na Serikali......?!!!
Karibu tujadiili!
Atapona kwa ndumba za kisukuma au kwa weledi wa sheria toka Havard......??Chenge atapona
Haya yote ni majizi ya CCM hayawezi kuguswa na mtu yeyote, hata mzee wa makinikia alikuwepo kwenye baraza la mawaziri. Hakuna jipya chini ya CCM zaidi ya maigizo.
Na kiki. Ili halijaisha linaanza hili.Ili magari ya bandari majibu bado,Vichwa vya train bado, makinikia bado, NHC bado imekuwa wimbo wa Marehemu Mr.Ebo Mungu amrehemu kila kitu bado aliona mbali.Haya yote ni majizi ya CCM hayawezi kuguswa na mtu yeyote, hata mzee wa makinikia alikuwepo kwenye baraza la mawaziri. Hakuna jipya chini ya CCM zaidi ya maigizo.
Hana anachofanya zaidi ya kikiNa kiki. Ili halijaisha linaanza hili.Ili magari ya bandari majibu bado,Vichwa vya train bado, makinikia bado, NHC bado imekuwa wimbo wa Marehemu Mr.Ebo Mungu amrehemu kila kitu bado aliona mbali.
Mbona hapelekwi mahakamani?Also Lowassa is share holder in that corruption
Na bado huko Vodacom JPM anawafikia muda so mrefu. Ameanza na Airtel anakuja kwenu siku so nyingi. Mmefisadi sana nchi hii mkishirikiana na msfisadi papa akina rostam aziz, karamagi na Lowasa.
Na Fast jet na Prec..Air vitaifishwe.Wasi sahau na ile NMC ya Buguruni irudishwe pia.Tunaitaka Moretco, Kauma,Kauru n.kMimi nashauri tuitafishe airtell,
kama ACACIA walinyooka na wakatuahidi kutupa mahela,itakuwa hawa..
Kwanza hata vodacom ichunguzwe na ikibidi tutaifishe tu ,,cho...
Mwandosya atajuta kumuambia Magufuli hana uwezo wa kuwa mwenyekiti wa CCM