Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,470
- 11,638
- Thread starter
- #21
Takwimu za mwisho kutolewa zilikuwa watu 300,000 plusJe kuna takwimu rasmi zinazo onyesha idadi ya walio chanjwa hadi sasa??
Takwimu za mwisho kutolewa zilikuwa watu 300,000 plusJe kuna takwimu rasmi zinazo onyesha idadi ya walio chanjwa hadi sasa??
Thibitisheni hayo madai yenu, msiandike tu kujilizaliza bila sababu.Upigaji umerudi kwa kasi ya 4G, kiukweli watumishi wa umma hawaogopi kabisa saiv, kwenye tenders huko pesa zinapigwa vibaya mno, michezo ya mzabuni kulipwa 60m ikiwa zakwake halali ni 25m, zinazobaki za wapigaji, ndio michezo imetamalaki kwa sasa, ngoja report ya CAG inayofuata mtaona vichekesho.
Katika watu wangapi?🤣Mara ya mwisho ilikuwa laki 3
Kinafuata sasa ni kampeni ya nyumba kwa nyumba tumalize hizi zilizobaki kabla hatujaagiza tena
Uaskofu hawasomei nduguAskofu?Aliusomea wapi?Nani alimpa?
Askofu?Aliusomea wapi?Nani alimpa?
Uaskofu unajipa tu kama mkono wa baunsa.Ninani kakudanganya kuwa Uaskofu unasomewa?kasome maandiko (1timotheo3:1-7)Tito 1:7-8)
Wwe niambie maana ya Uaskofu, Maana me najua Askofu maana yake ni muangalizi wa kanisaHaelewi hata Uaskofu ni nini.
Wwe niambie maana ya Uaskofu, Maana me najua Askofu maana yake ni muangalizi wa kanisa
Unazid kuonesha namna gani wewe ni kilaza ,shule haijakusadiaMjinga ni wewe unaeshangailia ushenzi kisha kuacha raslimali za nchi zikiliwa na kundi dogo la kifamilia.
Hii nchi haiendelei kwa sababu ya wapuuzi kama nyie.
Uliungana naye wewe sio Watanzania.Ushindi gani watu wanaendelea kufa kwa Covid.We fala sana na huyo Kibwetere wenu
Bado anatoa mahubili kila jumapili kuwaambia wajinga wake pale kanisani?Limeisha. Mshindi amekuwa Askofu Gwajima. Pascal Mayalla kwa mara nyingine tena amepigwa KO. Nakumbuka alivyokuwa akishadadia Gwajima afukuzwe ili yeye Pascal arudi tena kwenda kuomba Kura katika lile jimbo.
Gwajima amebaki na msimamo wake pamoja na wana Kawe ambao walisema wazi wazi bila kumung'unya maneno " HATUCHANJIIIIIIII" mbele ya Rais Samia Suluhu.
Kilichoonekana ni Ujasiri ambao wengine walikosa. Gwajima alikuwa nao na Watanzania wengi wakaungana naye. Sasa niambie wapi zinaimbwa tena zile nyimbo za Chanjo?
Tushapokea msaada nchi imerudi kwenye flight mode. Rais anapangiwa safari tu watu wanagawana zile pesa za msaada. Angalia jinsi ATCL wanavyipana.
Angalia semina ambazo zinatoka Dodoma kuja kufanyika Dar. Angalia jinsi Mawaziri,Makatibu wanapishana Dar kila Uchwao. Haya maisha ndiyo tuliyotaka kwa kweli. Hakuna kufuatiliana. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Yule mama Waziri naona Kampeni naye imemshinda....sasa hatuoni watu wakipost picha na videos wakichanja.nchi hii tunaishi kinafiki sana. Zile chanjo inasemekana zimesha expire. Chanjo Mil 1 katika nchi yenye watu wanaostahili kuchanja zaidi ya milion 20 bado hazijaisha.
Gwajima Askofu ameibuka mshindi kwa KO na bado anashikilia mkanda mwingine wa kuwa na msimamo wa kile anachoamini.
Fungua uzi wake kwa sasa hatuongelei uaskofu wake.Askofu?Aliusomea wapi?Nani alimpa?
Ushaona kunachuo cha maaskofu?Askofu?Aliusomea wapi?Nani alimpa?😝😝😝😝😝
Uaskofu ni rank.Huyo ni muhuni.😝😝😝😝Ushaona kunachuo cha maaskofu?
Kwa hiyo mimi nianze kujiita Askofu Moisemusajiografii?uaskofy hausomewi mkuu
labda kunachuo askofu wake kasomea akitajUaskofu ni rank.Huyo ni muhuni.😝😝😝😝