#COVID19 Sakata Askofu Gwajima dhidi ya Bunge, Mawaziri na Baadhi ya Wananchi limechora Uhalisia wetu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,442
11,601
Limeisha. Mshindi amekuwa Askofu Gwajima. Pascal Mayalla kwa mara nyingine tena amepigwa KO. Nakumbuka alivyokuwa akishadadia Gwajima afukuzwe ili yeye Pascal arudi tena kwenda kuomba Kura katika lile jimbo.

Gwajima amebaki na msimamo wake pamoja na wana Kawe ambao walisema wazi wazi bila kumung'unya maneno " HATUCHANJIIIIIIII" mbele ya Rais Samia Suluhu.

Kilichoonekana ni Ujasiri ambao wengine walikosa. Gwajima alikuwa nao na Watanzania wengi wakaungana naye. Sasa niambie wapi zinaimbwa tena zile nyimbo za Chanjo?

Tushapokea msaada nchi imerudi kwenye flight mode. Rais anapangiwa safari tu watu wanagawana zile pesa za msaada. Angalia jinsi ATCL wanavyipana.

Angalia semina ambazo zinatoka Dodoma kuja kufanyika Dar. Angalia jinsi Mawaziri,Makatibu wanapishana Dar kila Uchwao. Haya maisha ndiyo tuliyotaka kwa kweli. Hakuna kufuatiliana. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.

Yule mama Waziri naona Kampeni naye imemshinda....sasa hatuoni watu wakipost picha na videos wakichanja.nchi hii tunaishi kinafiki sana. Zile chanjo inasemekana zimesha expire. Chanjo Mil 1 katika nchi yenye watu wanaostahili kuchanja zaidi ya milion 20 bado hazijaisha.

Gwajima Askofu ameibuka mshindi kwa KO na bado anashikilia mkanda mwingine wa kuwa na msimamo wa kile anachoamini.
 
Upigaji umerudi kwa kasi ya 4G, kiukweli watumishi wa umma hawaogopi kabisa saiv, kwenye tenders huko pesa zinapigwa vibaya mno, michezo ya mzabuni kulipwa 60m ikiwa zakwake halali ni 25m, zinazobaki za wapigaji, ndio michezo imetamalaki kwa sasa, ngoja report ya CAG inayofuata mtaona vichekesho.
 
Upigaji umerudi kwa kasi ya 4G, kiukweli watumishi wa umma hawaogopi kabisa saiv, kwenye tenders huko pesa zinapigwa vibaya mno, michezo ya mzabuni kulipwa 60m ikiwa zakwake halali ni 25m, zinazobaki za wapigaji, ndio michezo imetamalaki kwa sasa, ngoja report ya CAG inayofuata mtaona vichekesho.
Yeah inawezekana aese! Yaani ninavyoona hakuna mtu mwenye msimamo saiz!
 
Kazi uendelee
Nchi inasonga mbele
Wananchi wanakuwa wapenzi watazamaji
 
Ila nyi acheni nchi inalambwa sa hivi wakuu hatari,Yani huku manispaa wanakusanya mbesa balaaaa,Subiri wamachinga waanze kupangiwa maeneo watu washike vizimba na kuviuza muone.


Yani now ni mwendo wa Semina tu alaaaaa.
 
Limeisha. Mshindi amekuwa Askofu Gwajima. Pascal Mayalla kwa mara nyingine tena amepigwa KO. Nakumbuka alivyokuwa akishadadia Gwajima afukuzwe ili yeye Pascal arudi tena kwenda kuomba Kura katika lile jimbo.

Gwajima amebaki na msimamo wake pamoja na wana Kawe ambao walisema wazi wazi bila kumung'unya maneno " HATUCHANJIIIIIIII" mbele ya Rais Samia Suluhu.

Kilichoonekana ni Ujasiri ambao wengine walikosa. Gwajima alikuwa nao na Watanzania wengi wakaungana naye. Sasa niambie wapi zinaimbwa tena zile nyimbo za Chanjo?

Tushapokea msaada nchi imerudi kwenye flight mode. Rais anapangiwa safari tu watu wanagawana zile pesa za msaada. Angalia jinsi ATCL wanavyipana.

Angalia semina ambazo zinatoka Dodoma kuja kufanyika Dar. Angalia jinsi Mawaziri,Makatibu wanapishana Dar kila Uchwao. Haya maisha ndiyo tuliyotaka kwa kweli. Hakuna kufuatiliana. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.

Yule mama Waziri naona Kampeni naye imemshinda....sasa hatuoni watu wakipost picha na videos wakichanja.nchi hii tunaishi kinafiki sana. Zile chanjo inasemekana zimesha expire. Chanjo Mil 1 katika nchi yenye watu wanaostahili kuchanja zaidi ya milion 20 bado hazijaisha.

Gwajima Askofu ameibuka mshindi kwa KO na bado anashikilia mkanda mwingine wa kuwa na msimamo wa kile anachoamini.
Toa ujumbe wako kuwa watu wachanje.
 
Limeisha. Mshindi amekuwa Askofu Gwajima. Pascal Mayalla kwa mara nyingine tena amepigwa KO. Nakumbuka alivyokuwa akishadadia Gwajima afukuzwe ili yeye Pascal arudi tena kwenda kuomba Kura katika lile jimbo.

Gwajima amebaki na msimamo wake pamoja na wana Kawe ambao walisema wazi wazi bila kumung'unya maneno " HATUCHANJIIIIIIII" mbele ya Rais Samia Suluhu.

Kilichoonekana ni Ujasiri ambao wengine walikosa. Gwajima alikuwa nao na Watanzania wengi wakaungana naye. Sasa niambie wapi zinaimbwa tena zile nyimbo za Chanjo?

Tushapokea msaada nchi imerudi kwenye flight mode. Rais anapangiwa safari tu watu wanagawana zile pesa za msaada. Angalia jinsi ATCL wanavyipana.

Angalia semina ambazo zinatoka Dodoma kuja kufanyika Dar. Angalia jinsi Mawaziri,Makatibu wanapishana Dar kila Uchwao. Haya maisha ndiyo tuliyotaka kwa kweli. Hakuna kufuatiliana. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.

Yule mama Waziri naona Kampeni naye imemshinda....sasa hatuoni watu wakipost picha na videos wakichanja.nchi hii tunaishi kinafiki sana. Zile chanjo inasemekana zimesha expire. Chanjo Mil 1 katika nchi yenye watu wanaostahili kuchanja zaidi ya milion 20 bado hazijaisha.

Gwajima Askofu ameibuka mshindi kwa KO na bado anashikilia mkanda mwingine wa kuwa na msimamo wa kile anachoamini.
Uliungana naye wewe sio Watanzania.Ushindi gani watu wanaendelea kufa kwa Covid.We fala sana na huyo Kibwetere wenu
 
Siku zote ukimuacha mjinga akaonesha ujinga wake hadharani Basi anajion much know,kumbe ni empty headed
Mjinga ni wewe unaeshangailia ushenzi kisha kuacha raslimali za nchi zikiliwa na kundi dogo la kifamilia.
Hii nchi haiendelei kwa sababu ya wapuuzi kama nyie.
 
Upigaji umerudi kwa kasi ya 4G, kiukweli watumishi wa umma hawaogopi kabisa saiv, kwenye tenders huko pesa zinapigwa vibaya mno, michezo ya mzabuni kulipwa 60m ikiwa zakwake halali ni 25m, zinazobaki za wapigaji, ndio michezo imetamalaki kwa sasa, ngoja report ya CAG inayofuata mtaona vichekesho.
Hakuna CAG anaeweza kutoa hesab kamili kama kina ludovick ruto na Asad.. huyuu alieko ni mchumia tumbo tu na kujipendekeza..hana la maana
 
Kufanya kazi katika nchi hii kwa kujitoa kwa jasho na damu kana kwamba unatumika kwa baba ako na kisha uambulie matusi, hiyo tabia ikome na mnisikilize,

Alowaambia wananchi wa nchi hii wanashukrani ni nani?

Amekuwepo JPM ambaye alifanya kazi utadhani anafanya za nyumbani kwake kwa kujinyiiima, alikuwa akishindia hata viazi na karanga yule Mzee, hata kusafiri tu aliona ni hasara kwa nchi yake, kila shingi ilielekezwa kwenye mradi ili nchi isonge, embu angalia matusi anayoambulia mitandaoni, utadhani vyote alivyovijenga na kuvianzisha ameenda navyo kabrini

Sasa kazi moja, kama umeokoka, waachie wasiookoka waibe tafadhari na ukae kimya, lakini kama utaweza kuzuia basi zuia
 
Back
Top Bottom