Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,442
- 11,601
Limeisha. Mshindi amekuwa Askofu Gwajima. Pascal Mayalla kwa mara nyingine tena amepigwa KO. Nakumbuka alivyokuwa akishadadia Gwajima afukuzwe ili yeye Pascal arudi tena kwenda kuomba Kura katika lile jimbo.
Gwajima amebaki na msimamo wake pamoja na wana Kawe ambao walisema wazi wazi bila kumung'unya maneno " HATUCHANJIIIIIIII" mbele ya Rais Samia Suluhu.
Kilichoonekana ni Ujasiri ambao wengine walikosa. Gwajima alikuwa nao na Watanzania wengi wakaungana naye. Sasa niambie wapi zinaimbwa tena zile nyimbo za Chanjo?
Tushapokea msaada nchi imerudi kwenye flight mode. Rais anapangiwa safari tu watu wanagawana zile pesa za msaada. Angalia jinsi ATCL wanavyipana.
Angalia semina ambazo zinatoka Dodoma kuja kufanyika Dar. Angalia jinsi Mawaziri,Makatibu wanapishana Dar kila Uchwao. Haya maisha ndiyo tuliyotaka kwa kweli. Hakuna kufuatiliana. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Yule mama Waziri naona Kampeni naye imemshinda....sasa hatuoni watu wakipost picha na videos wakichanja.nchi hii tunaishi kinafiki sana. Zile chanjo inasemekana zimesha expire. Chanjo Mil 1 katika nchi yenye watu wanaostahili kuchanja zaidi ya milion 20 bado hazijaisha.
Gwajima Askofu ameibuka mshindi kwa KO na bado anashikilia mkanda mwingine wa kuwa na msimamo wa kile anachoamini.
Gwajima amebaki na msimamo wake pamoja na wana Kawe ambao walisema wazi wazi bila kumung'unya maneno " HATUCHANJIIIIIIII" mbele ya Rais Samia Suluhu.
Kilichoonekana ni Ujasiri ambao wengine walikosa. Gwajima alikuwa nao na Watanzania wengi wakaungana naye. Sasa niambie wapi zinaimbwa tena zile nyimbo za Chanjo?
Tushapokea msaada nchi imerudi kwenye flight mode. Rais anapangiwa safari tu watu wanagawana zile pesa za msaada. Angalia jinsi ATCL wanavyipana.
Angalia semina ambazo zinatoka Dodoma kuja kufanyika Dar. Angalia jinsi Mawaziri,Makatibu wanapishana Dar kila Uchwao. Haya maisha ndiyo tuliyotaka kwa kweli. Hakuna kufuatiliana. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Yule mama Waziri naona Kampeni naye imemshinda....sasa hatuoni watu wakipost picha na videos wakichanja.nchi hii tunaishi kinafiki sana. Zile chanjo inasemekana zimesha expire. Chanjo Mil 1 katika nchi yenye watu wanaostahili kuchanja zaidi ya milion 20 bado hazijaisha.
Gwajima Askofu ameibuka mshindi kwa KO na bado anashikilia mkanda mwingine wa kuwa na msimamo wa kile anachoamini.