thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Kamati ya nidhamu ya bunge baada ya kumaliza kazi yake iliwasilisha taarifa yake mbele ya spika na bunge kwa Ujumla na kupitisha azimio dhidi ya Gwajima na Jerry Slaa.
Kwangu mimi sikuona haja ya kuwaadhibu wabunge hao adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili ya bunge,kwani adhabu hiyo imeumiza wananchi waliowachagua kuwawakilisha.
Ni bora wangewaacha wahudhurie mikutano bila posho,ingependeza sana ,kwasababu ingewaathiri wao moja kwa moja .
Leo tena Askofu Gwajima kaeleza kilichojiri kwenye kikaango cha kamati ya nidhamu, na kaelezea msimamo wake na wa familia ya kanisa lake ya kuendelea na hiari ya kutochanja .
Ameongea kwa tahadhari na umakini mkubwa sana bila kushambulia yoyote yule ,akiwa na reference mbalimbali duniani kuhusiana na madhara ya chanjo.
Maswali ya Gwajima ni kwamba anataka wataalamu wafafanue kwa kina madhara ya muda wa kati na mrefu wa chanjo hizi mwendo kasi ,hapa ni muhimu sana.
Kingine, hata bungeni na serikalini kuna viongozi wengi wanaungana na hoja za Gwajima sirini .
Kutunishiana misuli na Gwajima ili kuzima hoja zake si sawa hata kidogo,ikizingatiwa msimamo wa serikali miezi michache kabla ya hayati Magufuli kufariki unajulikana na uko wazi kwa watanzania wote ,teknolojia haiongopi .
Mwisho kwa kuwa imeonekana short moja ya chanjo haitoshi,huu ni mzigo mkubwa sana serikali kuubeba,utaturudisha nyuma sana,tujihadhari nao sana
Kwangu mimi sikuona haja ya kuwaadhibu wabunge hao adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili ya bunge,kwani adhabu hiyo imeumiza wananchi waliowachagua kuwawakilisha.
Ni bora wangewaacha wahudhurie mikutano bila posho,ingependeza sana ,kwasababu ingewaathiri wao moja kwa moja .
Leo tena Askofu Gwajima kaeleza kilichojiri kwenye kikaango cha kamati ya nidhamu, na kaelezea msimamo wake na wa familia ya kanisa lake ya kuendelea na hiari ya kutochanja .
Ameongea kwa tahadhari na umakini mkubwa sana bila kushambulia yoyote yule ,akiwa na reference mbalimbali duniani kuhusiana na madhara ya chanjo.
Maswali ya Gwajima ni kwamba anataka wataalamu wafafanue kwa kina madhara ya muda wa kati na mrefu wa chanjo hizi mwendo kasi ,hapa ni muhimu sana.
Kingine, hata bungeni na serikalini kuna viongozi wengi wanaungana na hoja za Gwajima sirini .
Kutunishiana misuli na Gwajima ili kuzima hoja zake si sawa hata kidogo,ikizingatiwa msimamo wa serikali miezi michache kabla ya hayati Magufuli kufariki unajulikana na uko wazi kwa watanzania wote ,teknolojia haiongopi .
Mwisho kwa kuwa imeonekana short moja ya chanjo haitoshi,huu ni mzigo mkubwa sana serikali kuubeba,utaturudisha nyuma sana,tujihadhari nao sana