123Kape
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 463
- 105
Bora tukose wote ikibidi sisi na nyie maccm
ndugu tukifika pakutafuta silaha jua watu wakutupatia silaha wapo wengi sana lakin masharti yao pia ni bora watanzanie wadai haki zao bila vurugu!
Nikupe mifano ya libia iraq na sudani ambako yalitokea kama unayoyataka lakin muda huu tunavyochart hapa watu hawa wanajutia maamuzi yao japo kwakua walichotarajia kukipata baada ya mapigano hakipo tena au pengine hakina dhamani kama gharama walizopata vitanilakin hata hivyo hawana tena lakufanya zaidi ya kuyapokea matokeo yao!
Je na sisi tumeamua kwa dhati kuwaiga hawa? Tumeridhika kurubuniwa na wanaotamani kuiongoza nchi?
Maamuzi yapo mikononi mwetu ila binafsi staunga mkono kuona kila mtu anachokitaka lazima kiwe hinyo, ukivunja amani unastahili hukumu yako, mbona kuandamana inaruhusiwa kisheria kwanini ubomoe miundombinu ya nchi?