Saka hao Panya Nyumba kwa nyumba!

Saka hao Panya Nyumba kwa nyumba!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
10,457
Reaction score
17,807
umefika wakati sasa wa Serikali kuacha upole na kuanza kufanya kazi kama Serikali, tumia vyombo vyote vya Dola ulivyonavyo na kuanza kusaka hao takataka nyumba hadi Nyumba mpaka wote waishe na Amani irejee nchini mwetu, na nashauri anzia na Bungeni!


Nchi Moja, Watu Wamoja, Mtawala mmoja na Lengo moja. Futa Vyama vyama vyote siasa!

orange-NaziPartyDay_1934c.jpg
 
umefika wakati sasa wa Serikali kuacha upole na kuanza kufanya kazi kama Serikali, tumia vyombo vyote vya Dola ulivyonavyo na kuanza kusaka hao takataka nyumba hadi Nyumba mpaka wote waishe na Amani irejee nchini mwetu, na nashauri anzia na Bungeni!
wakimaliza kuchukua gesi wanamuijia mkeo
 
wakati mwingine bora kuadabisha kwa viboko tu! pengine itasaidia wale wanaoshikiwa akili zao na watu wengine wanaweza kuzinduka viboko vikikolea na itakua funzo kwa baadae!
 
Wananchi wamekuwa PANYA ila 2015 mtawaita GOLD maana ndo watakuwa vipusa
 
wakati mwingine bora kuadabisha kwa viboko tu! pengine itasaidia wale wanaoshikiwa akili zao na watu wengine wanaweza kuzinduka viboko vikikolea na itakua funzo kwa baadae!
Bora yao hao unaodhan kuwa wameshikiwa akili kuliko wewe unayetulia ukidhani kuwa mawazo ya viongozi wako ni sahihi kusaini mikataba na kuifungia kwenye makabati yao.
Harvey Fierstein said "Never be bullied into silence. Never allow yourself to be made a victim. Accept no one's definition of your life; define yourself."
Je ulishiriki kuisoma hiyo mikataba hadi viongoz wakaisaini?
 
Dharau zenu wana ccm tumezizoea,ila mwisho wenu unakaribia
 
Majitu shule hayajaenda yanataka gesi sijui yanafikiri nini hata matumizi hawajui
 
Hata Gadafi aliwaita raia wa Libya panya na mende lakini...,.
 
umefika wakati sasa wa Serikali kuacha upole na kuanza kufanya kazi kama Serikali, tumia vyombo vyote vya Dola ulivyonavyo na kuanza kusaka hao takataka nyumba hadi Nyumba mpaka wote waishe na Amani irejee nchini mwetu, na nashauri anzia na Bungeni!
Kijakazi kutumia vyombo vya dola hakuisaidii Serkali kutatua mgogoro uliopo,lakini tukumbuke kuwa hivi vyombo vya dola tunavyoviongelea ni watu na wana ndugu zao na watu hawa hawa wanaishi sehemu moja na wananchi wa kawaida hivyo vyovyote itakavyokuwa hakuna atakayekuwa mshindi bali wote tutakuwa tumeshindwa.
Busara itumike kuliko nguvu ambazo hazitasaidia.
 
umefika wakati sasa wa Serikali kuacha upole na kuanza kufanya kazi kama Serikali, tumia vyombo vyote vya Dola ulivyonavyo na kuanza kusaka hao takataka nyumba hadi Nyumba mpaka wote waishe na Amani irejee nchini mwetu, na nashauri anzia na Bungeni!

uwezo wako wa kufikiri ndio umeishia hapa!!! TZ ina mburula wengi kiasi hiki!!
 
umefika wakati sasa wa Serikali kuacha upole na kuanza kufanya kazi kama Serikali, tumia vyombo vyote vya Dola ulivyonavyo na kuanza kusaka hao takataka nyumba hadi Nyumba mpaka wote waishe na Amani irejee nchini mwetu, na nashauri anzia na Bungeni!
It is better to keep your mouth closed and let people think you are a fool than to open it and remove all the doubt...... By Mark Twin.. Yaani umeniondolea mashaka yangu yote juu yako kwenye uelewa wako, mtazamo wako juu ya nafsi za wengine, etc etc

 
umefika wakati sasa wa Serikali kuacha upole na kuanza kufanya kazi kama Serikali, tumia vyombo vyote vya Dola ulivyonavyo na kuanza kusaka hao takataka nyumba hadi Nyumba mpaka wote waishe na Amani irejee nchini mwetu, na nashauri anzia na Bungeni!

f ***** you
 
It is better to keep your mouth closed and let people think you are a fool than to open it and remove all the doubt...... By Mark Twin.. Yaani umeniondolea mashaka yangu yote juu yako kwenye uelewa wako, mtazamo wako juu ya nafsi za wengine, etc etc

Ngalikihinja umeniudhi kutumia lugha nzuri kwa mtu kama huyu (close ur mounth) nadhani neno shut-up ulilisahau
 
Back
Top Bottom