Muda umefika wajumbe wa nyumba kumi wapatikane kwa kushindanisha vyama vyote kama ilivyo kwa viongozi wa mtaa, Kijiji na kitongoji

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
20,246
49,893
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa ulete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hapo huwa inaleta ukakasi, maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote, katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi.

Au mnaonaje??
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa kete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hspo huwa inaleta ukakasi,maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote,katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi

Au mnaonaje??
Yes
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa kete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hspo huwa inaleta ukakasi,maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote,katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi

Au mnaonaje??
Naunga mkono hoja.
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa kete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hspo huwa inaleta ukakasi,maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote,katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi

Au mnaonaje??
Itasaidia nini kuleta maendeleo?
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa kete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hspo huwa inaleta ukakasi,maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote,katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi

Au mnaonaje??
Kwanza ifutwe maana hawana umuhimu wowote
 
Kuna wakati unahitaji barua ya serikali ya mtaa ila utaambiwa kete barua ya balozi wako wa nyumba kumi.

Hspo huwa inaleta ukakasi,maana mabalozi wote ni wa CCM na serikali ya mtaa ni ya wa vyama vyote.

Umefika muda sasa hawa mabalozi wapatikane kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kushindanisha vyama vyote,katiba iwatambue rasmi sasa kuondoa ukakasi

Au mnaonaje??
Kama hauna chama haina mbaya!
 
Kuna masuala ambayo serikali haijishughulishi nayo ila yanasumbua jamii wao huwajibika sana kama masuala ya kamati za ufundi na mabundi bundi
Dah ngoja yakukute,wanamsaada sana hao,kutambua mipaka ya ardhi ya wananzengo,kutatua migogoro,kuwatambua wakazi nk
 
Back
Top Bottom