BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,102
- 14,024
Unakuta gari fulani wamiliki wake ni walevi kinoma ukienda kwenye kumbi za starehe unazikuta kibao zimepaki na wanajuana wakikutana stori zao ni bata na kufuta kisahani.
Ukiwa road ukakutana na bike ya Sinoray kaa kijanja Hao ni machalii wa chuga wazee wa michezo muda wowote anakuchomekea upambane na hali yako
Je huu mfanano wa tabia unachangiwa na nini??
Ukiwa road ukakutana na bike ya Sinoray kaa kijanja Hao ni machalii wa chuga wazee wa michezo muda wowote anakuchomekea upambane na hali yako
Je huu mfanano wa tabia unachangiwa na nini??