Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Polisi nchini Tanzania, badala ya kuwalinda raia, wamekuwa wauwaji wakubwa wa raia. Tumechoka, kabla hatujachukua sheria mikononi mwetu kujilinda dhidi ya polisi kupitia nguvu ya umma, tunamuomba IGP, Shemeji yake JK ahachie madaraka.
Mwema tunaomba ujiuzulu.
Kamanda Msangi aliyeshiriki kumtesa Dr. Ulimboka yupo chini yako. Tunaomba awajibishwe haraka iwezekanavyo vinginevyo raia mtutauuwa wengi mwaka huu... "Peoplesssssssss Power"
Mwema tunaomba ujiuzulu.
Kamanda Msangi aliyeshiriki kumtesa Dr. Ulimboka yupo chini yako. Tunaomba awajibishwe haraka iwezekanavyo vinginevyo raia mtutauuwa wengi mwaka huu... "Peoplesssssssss Power"