Saida karoli

Saida karoli

chabuso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
6,379
Reaction score
5,887
Nchi nyingi Dunia hata hizi nchi zinazoitwa dunia ya tatu nchi inaweza kutoa msanii ambae anajulikana duania yote,mfano kama Yusoe ndur wa Senegal,Seif Keita mali,kofi Olimide nk,

Katika tafiti zanzgu katika Youtube kutaka kujua ni mwimbaji gani wa kitanzania anaekubalika Dunia kote nilishangaa kuona kuwa hakuna mwingine ispokuwa huyu dada Saida Karoli nyimbo kama Maria salome ilikuwa "big hit" katika nchi ya Equador america Kusini.

Nyimbo zake ambozo ziko kwenye Yuotube zinapata comments kutoka dunia kote,Jamica,USA,Serbie,kuna mpaka waliemfanananisha na MAria Makeba,kuna watu wametoa comments za kuja Tanzania kutembea baada kusikiliza nyimbo za huyu dada.

Swala langu artist kama huyu anaeoiaangaz Tanzania kwa kiwango kikubwa kama hichi,Tanzania wamempa tunzo gani,au wame-mpromoti
vpi,

 
Last edited by a moderator:
Nchi nyingi Dunia hata hizi nchi zinazoitwa dunia ya tatu nchi inaweza kutoa msanii ambae anajulikana duania yote,mfano kama Yusoe ndur wa Senegal,Seif Keita mali,kofi Olimide nk,

Katika tafiti zanzgu katika Youtube kutaka kujua ni mwimbaji gani wa kitanzania anaekubalika Dunia kote nilishangaa kuona kuwa hakuna mwingine ispokuwa huyu dada Saida Karoli nyimbo kama Maria salome ilikuwa "big hit" katika nchi ya Equador america Kusini.

Nyimbo zake ambozo ziko kwenye Yuotube zinapata comments kutoka dunia kote,Jamica,USA,Serbie,kuna mpaka waliemfanananisha na MAria Makeba,kuna watu wametoa comments za kuja Tanzania kutembea baada kusikiliza nyimbo za huyu dada.

Swala langu artist kama huyu anaeoiaangaz Tanzania kwa kiwango kikubwa kama hichi,Tanzania wamempa tunzo gani,au wame-mpromoti
vpi,



sasa sisi ndiyo tumsaidie, mshenz Ruge alimdhulumu mama wa watu. mimi na ww tumsaidie. ni-pm tupange mkakati tunamsaidia vp ktk soko la kimataifa.
 
Last edited by a moderator:
sasa sisi ndiyo tumsaidie, mshenz Ruge alimdhulumu mama wa watu. mimi na ww tumsaidie. ni-pm tupange mkakati tunamsaidia vp ktk soko la kimataifa.

kumtangaza tu kama tunavyotangaza Utalii ni hatua ya mwanzo,kwani huyu dada tayari anajulikana kimataifa,nilishangaa kuona kuwa moja katika nyimbo zake(mwenye wivu ajinyonge) ilikuwa "big hit" Ecudorn na chinyi nyengine Amerila ya kusini.

Ukingia kwenye Youtube ni msanii peke yake wa Kitanzania anaepata "comments" za kimataifa

Kwahiyo akipata fursa ya kufanya matamasha nchi za nje atapata kujitangaza yeye na Tanzania kwa ujumla
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom