Said Kubenea: Mkataba Wa Richmond Ulisainiwa Na Lowassa Kikwete Akiwa Nje Ya Nchi

Unapoandika haya ni vema ukatuambia pia juu ya hiyo kampuni iko wapi kwa sasa na inamilikiwa na nani. Kumbuka kuwa RICHMOND ilibadilika ikawa DOWANS nayo ikabadilika ikawa SYMBION POWER ambayo ipo hadi leo na bado inaendelea kulipwa mabillion ya fedha za waTanzania je ni nani anayepokea fedha hizo kwa sasa? vipi kuhusu ESCROW unaweza kueleza lolote ni nani hasa walihusika vipi juu ya KAGODA, MEREMETA ni nani alihusika? pia usisahau kutuambia juu ya upotevu wa zaidi ya billion 250 kupitia ile Wizara aliyokuwa akiiongoza huyo unayemshabikia leo hii.

Unatumia nguvu nyingi mno

Labda nikusaidie

CCM ni mafisadi tangia enzi hizo na hizo kashfa ni cha mtoto, waliofanya ufisadi huo bado wako kwenye system wao au vizazi vyao na wengi wako hai!!!

Fisadi Lowassa naye hali kadhalika ni wa ccm na uchafu ule wote namhusu na anajua kila mmoja anayehusika na mauchafu!

so CCM na Lowassa wanajuana

Kikubwa ni CDM na wewe ambao hamjui lolote kuwaingilia hawa wezi katika kuwasafisha au kuwatetea kwa namna yeyote ile!! unakuwa punguani na hayawani
 
Mamvi hapelekwi mahakamani, Ataendelea kuadhibiwa hivihivi kwa machapisho , mabandiko na sanduku la kula. Sote Watanzania bila Chembe ya Shaka tunajua maMvi ni Mwizi.

Na ndio maana Alishauriwa na kamati ya bunge iliyochunguza mkataba tata wa Richmond ajiuzuru au Aingie Bungeni na kujibu mijadala ya Wabunge.

Na kwakua alijua yeye anahusika aliamua kujiuzuru. Ndio maana Dr Salaa alifananisha kuhamia kwa maMvi Chadema na Mavi kuyatoa chooni na kuyapeleka chumbani ambako ni Chadema.

Ili swala la kumkaribisha Fisadi maMvi litaendelea kuwatafuna Chadema kizazi na Kizazi.

Kumsafisha maMvi nikama na kujaribu kuupaka mlima Kilimanjaro rangi kwa brashiya mkono.
 
Hawa UKAWA sijui watatwambia nini Watanzania, nmeshangaa sana gazeti la Tanzania Daima eti kutaka kumsafisha Lowassa yani bado tu hawajajifunza kwamba jamaa hasafishiki
....Badala ya kumpeleka mahakama ya mafisadi, kama kweli mna ushahidi, mmekuwa mavuvuzela...
 
Back
Top Bottom