Masoro Said, Boss mpya TISS, ni nani haswa?
Mwenye CV yake tunaiomba!
======
Update:
Hussein Masoro ndani ya TISS:
Masoro alikuwa U1 (Anapokea taarifa za wakurugenzi wote na kuzichakata kisha kumpatia DG ili ampatie Rais)
Then, akapelekwa China kuwa Balozi mdogo.
Aliporejea, akawa DAP (Director of Administration and Personnel).
Akapanda na kuwa Kaimu Mkurugenzi (DDGIS); kabla ya kuteuliwa na Rais Samia kuwa DGIS.
Ana uzoefu mkubwa ndani ya Idara na kuna uwezekano mkubwa akaifanyia transformation ya maana (akiamua).
Nje ya TISS:
Masoro kwa asili, ni mtu toka mkoa wa Kigoma.