Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
MATOKEO RASMI
Uchaguzi mkuu umefanyika kwa amani kabisa na yafuatayo ndiyo matokeo rasmi:
Makamu Mwenyekiti zanzibar
Said Issa Mohamed 645
Hamad Mussa Yusuph 163
Makamu Mwenyekiti Bara
Professor Abdallah safari
Kura za Ndiyo 775
Kura za Hapana 34
Zilizoharibika 2
Mwenyekiti Taifa
Freeman Aikael Mbowe 789
Gambaranyera Mong'ateko 20
Zilizoharibika 2
Updates
===================================================================================
Uchaguzi mkuu umefanyika kwa amani kabisa na yafuatayo ndiyo matokeo rasmi:
Makamu Mwenyekiti zanzibar
Said Issa Mohamed 645
Hamad Mussa Yusuph 163
Makamu Mwenyekiti Bara
Professor Abdallah safari
Kura za Ndiyo 775
Kura za Hapana 34
Zilizoharibika 2
Mwenyekiti Taifa
Freeman Aikael Mbowe 789
Gambaranyera Mong'ateko 20
Zilizoharibika 2
Updates
===================================================================================
Makatibu wa chadema wateule
Zanzibar-naibu katibu mkuu
1.salum walimu
mtangazaji wa channel ten na mfanyakazi wa vodacom ateuliwa kuwa naibu katibu mkuu zanzibar-chadema.
Naibu katibu mkuu
1.Johny johny mnyika
amrithi Zitto kabwe awa naibu katibu mkuu chadema.
Katibu mkuu
1. Dr. Wilbrod peter slaa