Jituoriginal
JF-Expert Member
- Feb 8, 2010
- 350
- 31
Kwa kumuumbua gamba la zenga .poleni sana wana zenga kwa kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kwa kumuumbua gamba la zenga .poleni sana wana zenga kwa kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
anatetea mpango wa ruzuku kwa mbolea wakt jimboni kwake wananch wamechakachuliwa. Dah kweli kamuumbuaZenga ndio nini, na kamuumbuaje?
kinyungu ungekuwaa unafuatilia bunnge saizi ungejua anamaanisha niniMbona mnaongea kimafumbo? Majina yenu mafumbo..hata na thread zenu mafumbo?
hebu tusaidieni kutuambia nini kimetokea, wengine hatuangalii bunge!
linaganga njaa .kuna libunge la magamba linasifia bajeti sasahivi eti sitting allowance si posho za kukaa ni posho za vikao tehe anaitwa sijui naniiii ah taka taka tupu!