iko karibu na makutano ya Samora na Morogoro road wanauza jumla mi huwa nanunua hapo wanazo nzuri sana na bei iko fresh, kama uko serious nikupe namba yao.
iko karibu na makutano ya Samora na Morogoro road wanauza jumla mi huwa nanunua hapo wanazo nzuri sana na bei iko fresh, kama uko serious nikupe namba yao.