Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,045
Hivi litingi na Nsemo hazipo old good days nilikua nafikia hapo mwanawane
Nakusalim Mkuu! Upo humu jamvini? Duh!
Hivi litingi na Nsemo hazipo old good days nilikua nafikia hapo mwanawane
Naona wote mlioko mtwara mnamkaribisha halafu mnamalizia na haitoki, ni nini ambayo haitoki, nahitaji kujua
Ndugu, ninategemea kusafiri kikazi kwenda mikoa wa Lindi na Mtwara wiki ijayo.
Naomba msaada wa bus zuri zinazofanya safari za mikoa ya kusini, na hotel nzuri za kulala na bei zake.
Nasikia kuna kipande cha barabara baada ya kuvuka daraja la Mkapa ambacho bado hakijajengwa kwa kiwango cha lami, je kipindi hiki cha mvua panapitika?
Naona wote mlioko mtwara mnamkaribisha halafu mnamalizia na haitoki, ni nini ambayo haitoki, nahitaji kujua
na mimi nilitaka kuuliza swali hilo hilo asante kwa kuuliza
Machinga Tsh 27,000/-
Buti La Zungu Tsh 22,000/-
Seth Star Tsh 22,000/-
Maning Nice Tsh 22,000/-
Hamanju Tsh 22,000/-
Ng'itu Tsh 22,000/-
Noraiz Tsh 18,000/-
Shillingi Tsh 18,000/-
Southern Exp Tsh 18,000/-
Osaka Tsh 18,000/-
Haitoki !!!! kitu gani? Mnatutisha tusije kwenu.
Be specific unakwenda wapi lindi au mtwara na wilaya gani
Nini hii isiyotoka
Hapo Lindi vp siku hizi?miaka ya nyuma niliwahi pita hapo hakukua na hotel nzuri jirani mtu kuweza pata msosi zaidi ya vibanda vya mantilie.ikabidi tupelekwe nje kidogo ya mji nbc club ndo tulipata msosi angalau
Mkuu umewasahau NAJMA (semi luxury) na WIFI NAE(ordinary)! Ama hawaendi tena kusini?
Mkuu,wewe ni wakala nini wa hayo mabasi?
Kwa Hotel ukiwa Mtwara nenda OCEAN BREEZE LODGE-ni 20000 tu iko pouwa sana, bt mara nyingi huwa iinajaa!!Asanteni sana wakuu, kwa ufafanuzi mzuri wa usafiri wa kwenda Kusini, bado sijaelewa nikifika Lindi na Mtwara nikalale hoteli gani yenye hadhi na huduma nzuri. Naomba ushauri wenu wakuu.
Bus nzuri ni Buti la Zungu, Machinga trans na Maning Nice...na tiket zake ni 3 days before....ukichelewa hupati tikiti!! All the best