MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,736
General Ulimwengu aliwahi sema kwamba yeye akiuliwa ni wapi Makao makuu ya nchi yalipo kwa sasa jibu lake litakuwa ni Katikati ya Dar na Dodoma.
Ni wamati wa Serikali kuamua either irudi Dar au iwe Dodoma moja kwa moja, kupunguza gharama.
Ukiangalia Mama kila siku utamuoma anapokelekwa Dodoma akitokea Dar au anapokelewa Dar akitokea Dodoma.
Kwa Mawaziri ni hivyo hivyo, ni Dodoma to Dar au Dar to Dodoma.
Nadhani ni wakati sasa Mama aamue either Serikali irudi Dar au basi iwe moja kwa moja Dodoma kuliko ya sasa ya Dar to Dodoma na Dodoma to Dar.
Haya ni matumizi makubwa sana, Wanananchi wanapo bana matumizi hata Serikali inapaswa kubana matumizi pia.
Hatuwezi jadili Uchumi wa kati wakati Serikali inafanya Extravagant ya Pesa za Umma kwa Safari zisizo isha za Dar to Dodoma na Dodoma to Dar.
Ni wamati wa Serikali kuamua either irudi Dar au iwe Dodoma moja kwa moja, kupunguza gharama.
Ukiangalia Mama kila siku utamuoma anapokelekwa Dodoma akitokea Dar au anapokelewa Dar akitokea Dodoma.
Kwa Mawaziri ni hivyo hivyo, ni Dodoma to Dar au Dar to Dodoma.
Nadhani ni wakati sasa Mama aamue either Serikali irudi Dar au basi iwe moja kwa moja Dodoma kuliko ya sasa ya Dar to Dodoma na Dodoma to Dar.
Haya ni matumizi makubwa sana, Wanananchi wanapo bana matumizi hata Serikali inapaswa kubana matumizi pia.
Hatuwezi jadili Uchumi wa kati wakati Serikali inafanya Extravagant ya Pesa za Umma kwa Safari zisizo isha za Dar to Dodoma na Dodoma to Dar.